Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Wanamgambo wa Mai-Mai washambulia kambi ya wakimbizi mashariki mwa DRC

    Wanamgambo wa Mai-Mai washambulia kambi ya wakimbizi mashariki mwa DRC

    Aug 07, 2016 03:01

    Wanamgambo wa Mai-Mai wameshambulia kambi moja ya wakimbizi katika mkoa wa Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Raia wa mashariki mwa Kongo watakiwa kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi

    Raia wa mashariki mwa Kongo watakiwa kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi

    Aug 06, 2016 23:11

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amewatolea wito raia wa mashariki mwa nchi hiyo kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi ujao.

  • Uganda yaahidi kuisaidia DRC kupambana na waasi wa ADF

    Uganda yaahidi kuisaidia DRC kupambana na waasi wa ADF

    Aug 05, 2016 00:22

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameahidi kuwa serikali yake itaisaidia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kukabiliana na kundi la waasi la ADF-Nalu ambalo limekuwa tishio la muda mrefu la nchi mbili hizo jirani.

  • Polisi na wapinzani wakabiliana Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Polisi na wapinzani wakabiliana Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Aug 03, 2016 09:46

    Msemaji wa polisi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa, vikosi vya polisi vimekabiliana na wapinzani wa serikali na kusababnisha mtafaruku mkubwa.

  • Katumbi: Uchaguzi Kongo DR unapasa kufanyika kama ilivyopangwa

    Katumbi: Uchaguzi Kongo DR unapasa kufanyika kama ilivyopangwa

    Aug 02, 2016 21:54

    Kiongozi wa upinzani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye sasa yupo uhamisoni amesema uchaguzi wa Rais nchini humo ni lazima ufanyike katika muda ulioainishwa.

  • Maandamano ya kumuunga mkono Rais Kabila wa DRC

    Maandamano ya kumuunga mkono Rais Kabila wa DRC

    Jul 30, 2016 03:37

    Maelfu ya wafuasi wa Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walijitokeza mabarabarani hapo jana Ijumaa na kufanya maandamano ya kumuunga mkono kiongozi huyo, siku mbili baada ya wafuasi wa Etienne Tshishekedi, kiongozi mkongwe wa upinzani kurejea nchini baada ya kuwa nje ya nchi kwa zaidi ya miaka miwili na kukaribishwa kwa maandamano makubwa ya kumuunga mkono.

  • Etienne Tshisekedi arejea Congo baada ya kuwa nje  kwa miaka miwili

    Etienne Tshisekedi arejea Congo baada ya kuwa nje kwa miaka miwili

    Jul 28, 2016 03:12

    Kiongozi mkongwe wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Etienne Tshisekedi amerejea Kinshasa kutoka Ubelgiji alikokwenda kwa ajili ya matibabu miaka miwili iliyopita.

  • Wakazi wa vijiji 5 wahama Ituri kwa kuhofia usalama wao

    Wakazi wa vijiji 5 wahama Ituri kwa kuhofia usalama wao

    Jul 24, 2016 23:57

    Duru za habari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimeripoti kwamba, wakazi wa vijiji vitano vya mkoa wa Ituri, wamelazimika kuhama myumba zao kutokana na wasi wasi wa kushambuliwa na makundi ya wabeba silaha wasiojulikana.

  • Mapigano mengine yaibuka mashariki mwa Congo kati ya jeshi na waasi wa Mai-Mai

    Mapigano mengine yaibuka mashariki mwa Congo kati ya jeshi na waasi wa Mai-Mai

    Jul 22, 2016 23:44

    Mapigano mapya yameripotiwa kutokea kati ya waasi wa Mai-Mai na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Mapigano ya kikabila yauwa na kujeruhi watu kadhaa Kivu Kaskazini

    Mapigano ya kikabila yauwa na kujeruhi watu kadhaa Kivu Kaskazini

    Jul 20, 2016 11:41

    Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyojiri katika kijiji kimoja mkoani Kivu ya Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS