Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Mapigano makali yajiri baina ya wanajeshi na waasi Kivu Kaskazini

    Mapigano makali yajiri baina ya wanajeshi na waasi Kivu Kaskazini

    Jul 18, 2016 09:40

    Mapigano makali yameripotiwa kujiri baina ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi huko Kivu Kaskazini.

  • Kuanza utekelezaji wa mpango wa kuwapokonya silaha waasi DRC

    Kuanza utekelezaji wa mpango wa kuwapokonya silaha waasi DRC

    Jul 18, 2016 03:40

    Mpango wa kuwapokonya silaha waasi walioko katika mkoa wa Ituri huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umeanza kutekelezwa.

  • Muungano wa waasi washambulia mkoa wa Ituri Kongo DR

    Muungano wa waasi washambulia mkoa wa Ituri Kongo DR

    Jul 16, 2016 11:33

    Duru za kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kuwa, muungano wa makundi ya wabeba silaha umeshambulia eneo katika mkoa wa Ituri nchini humo.

  • WHO: Maambukizi ya homa ya manjano DRC yaongezeka kwa 38%

    WHO: Maambukizi ya homa ya manjano DRC yaongezeka kwa 38%

    Jul 16, 2016 02:16

    Shirika la Afya Duniani WHO lilisema kuwa kesi za maambukizi mapya ya ugonjwa hatari wa homa ya manjano katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimeongezeka kwa asilimia 38 katika kipindi cha wiki tatu zilizopita.

  • UN yataka kuanza mazungumzo ya kitaifa Kongo

    UN yataka kuanza mazungumzo ya kitaifa Kongo

    Jul 16, 2016 00:05

    Mkuu wa kikosi cha kimataifa cha kulinda amani katika Jamhuri yqa Kidemokrasia ya Kongo ametilia mkazo udharura wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa kwa ajili ya kuzuia kushadidi mgogoro nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa wasikitishwa na uvunjaji wa haki za binadamu DRC

    Umoja wa Mataifa wasikitishwa na uvunjaji wa haki za binadamu DRC

    Jul 14, 2016 11:20

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa imeelezea kusikitishwa kwake na kuendelea vitendo vya uvunjanji wa haki za binadamu nchini Kongo na kusema kuwa, zaidi ya kesi elfu mbili za uvunjaji wa haki za binadamu zimeripotiwa nchini humo katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu.

  • Wakongomani waandamana kulalamikia kuuliwa raia wa Kongo nchini India

    Wakongomani waandamana kulalamikia kuuliwa raia wa Kongo nchini India

    Jul 07, 2016 02:54

    Hali ya wasiwasi imetawala Kinshasa, mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya watu kumiminika mitaani kulalamikia kuuawa raia mmoja wa nchi hiyo huko India.

  • Maelfu ya wakimbizi wagawiwa chakula Kivu Kusini DRC

    Maelfu ya wakimbizi wagawiwa chakula Kivu Kusini DRC

    Jul 06, 2016 09:25

    Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, limewagawia chakula maelfu ya wakimbizi katika mkoa wa Kivu Kusini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Waasi wa ADF waua watu 9 kaskazini mwa Kongo DR

    Waasi wa ADF waua watu 9 kaskazini mwa Kongo DR

    Jul 06, 2016 00:01

    Watu 9 wameuawa na kundi la waasi wa ADF-Nalu wa Uganda kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Mkuu wa upinzani DRC apuuza waranti ya kukamatwa dhidi yake

    Mkuu wa upinzani DRC apuuza waranti ya kukamatwa dhidi yake

    Jul 05, 2016 08:52

    Moise Katumbi, kinara wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepuuzilia mbali waranti ya kukamatwa iliyotolewa dhidi yake na serikali ya nchi hiyo na kusema kuwa atarejea nchini karibuni hivi kwa ajili ya kuwania urais.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS