Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

  • Silaha za waasi zanaswa kusini mashariki mwa Kongo DR

    Silaha za waasi zanaswa kusini mashariki mwa Kongo DR

    Jul 03, 2016 08:56

    Duru za kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasa ya Kongo zimearifu habari ya kukamatwa idadi kadhaa ya silaha zilizokuwa zikimilikiwa na waasi huko kusini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu

    Jul 01, 2016 03:26

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.

  • Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja

    Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja

    Jun 30, 2016 03:26

    Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa wito wa kuanza mazungumzo ya kitaifa mara moja ili kuutafutua ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Muungano wa upinzani DRC wakataa kufanya mazungumzo na serikali

    Muungano wa upinzani DRC wakataa kufanya mazungumzo na serikali

    Jun 27, 2016 03:45

    Muungano wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umekataa ombi la kufanya mazungumzo na serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Rais Joseph Kabila.

  • Askari wa Kongo DR waharibu ngome ya waasi wa Rwanda

    Askari wa Kongo DR waharibu ngome ya waasi wa Rwanda

    Jun 26, 2016 02:58

    Duru za habari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, zimearifu kuharibiwa moja ya ngome za waasi wa Rwanda eneo la mashariki mwa nchi hiyo.

  • Ulaya: Uchunguzi ufanyike kuhusu mauaji ya umati mashariki mwa Kongo

    Ulaya: Uchunguzi ufanyike kuhusu mauaji ya umati mashariki mwa Kongo

    Jun 25, 2016 01:59

    Bunge la Ulaya limetaka kufanyika uchunguzi kuhusu kuuliwa kwa umati raia huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • UN yarefusha muda wa vikwazo dhidi ya Kongo DR

    UN yarefusha muda wa vikwazo dhidi ya Kongo DR

    Jun 24, 2016 10:33

    Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa, umerefusha muda wa vikwazo dhidi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mwaka mmoja zaidi.

  • UN yataka uchaguzi mkuu DRC ufanyike mwishoni mwa mwaka huu

    UN yataka uchaguzi mkuu DRC ufanyike mwishoni mwa mwaka huu

    Jun 24, 2016 03:43

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limebainisha wasiwasi wake kuhusu kukamatwa kiongozi wa upinzani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, na limetaka uchaguzi wa rais nchini humo ufanyika mwishoni mwa mwaka huu kama inavyotakiwa na katiba ya nchi hiyo.

  • Mkuu wa upinzani Kongo DR ahukumiwa miaka 3 jela

    Mkuu wa upinzani Kongo DR ahukumiwa miaka 3 jela

    Jun 23, 2016 03:24

    Mahakama moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemhukumu miaka mitatu jela, kinara wa upinzani nchini humo ambaye pia ni mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao, Moise Katumbi, aliyekuwa anakabiliwa na tuhuma za mauzo ya nyumba kinyume cha sheria.

  • Mgombea urais wa muungano wa wapinzani DRC atuhumiwa kufanya wizi

    Mgombea urais wa muungano wa wapinzani DRC atuhumiwa kufanya wizi

    Jun 22, 2016 11:05

    Mgombea urais wa muungano wa wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametuhumiwa kupora nyumba ya raia mmoja wa Ubelgiji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS