-
Silaha za waasi zanaswa kusini mashariki mwa Kongo DR
Jul 03, 2016 08:56Duru za kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasa ya Kongo zimearifu habari ya kukamatwa idadi kadhaa ya silaha zilizokuwa zikimilikiwa na waasi huko kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Rais Museveni: Waasi wa ADF ndio wanaowaua Wanazuoni wa Kiislamu
Jul 01, 2016 03:26Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kundi la waasi la ADF-Nalu, linaloendeleza harakati zake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndilo limehusika na mauaji ya hivi karibuni ya viongozi na wasomi wa Kiislamu nchini Uganda.
-
Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja
Jun 30, 2016 03:26Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa wito wa kuanza mazungumzo ya kitaifa mara moja ili kuutafutua ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini humo.
-
Muungano wa upinzani DRC wakataa kufanya mazungumzo na serikali
Jun 27, 2016 03:45Muungano wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umekataa ombi la kufanya mazungumzo na serikali ya nchi hiyo inayoongozwa na Rais Joseph Kabila.
-
Askari wa Kongo DR waharibu ngome ya waasi wa Rwanda
Jun 26, 2016 02:58Duru za habari nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, zimearifu kuharibiwa moja ya ngome za waasi wa Rwanda eneo la mashariki mwa nchi hiyo.
-
Ulaya: Uchunguzi ufanyike kuhusu mauaji ya umati mashariki mwa Kongo
Jun 25, 2016 01:59Bunge la Ulaya limetaka kufanyika uchunguzi kuhusu kuuliwa kwa umati raia huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
UN yarefusha muda wa vikwazo dhidi ya Kongo DR
Jun 24, 2016 10:33Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa, umerefusha muda wa vikwazo dhidi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa mwaka mmoja zaidi.
-
UN yataka uchaguzi mkuu DRC ufanyike mwishoni mwa mwaka huu
Jun 24, 2016 03:43Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limebainisha wasiwasi wake kuhusu kukamatwa kiongozi wa upinzani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, na limetaka uchaguzi wa rais nchini humo ufanyika mwishoni mwa mwaka huu kama inavyotakiwa na katiba ya nchi hiyo.
-
Mkuu wa upinzani Kongo DR ahukumiwa miaka 3 jela
Jun 23, 2016 03:24Mahakama moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imemhukumu miaka mitatu jela, kinara wa upinzani nchini humo ambaye pia ni mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao, Moise Katumbi, aliyekuwa anakabiliwa na tuhuma za mauzo ya nyumba kinyume cha sheria.
-
Mgombea urais wa muungano wa wapinzani DRC atuhumiwa kufanya wizi
Jun 22, 2016 11:05Mgombea urais wa muungano wa wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametuhumiwa kupora nyumba ya raia mmoja wa Ubelgiji.