-
Mgombea urais wa muungano wa wapinzani DRC atuhumiwa kufanya wizi
Jun 22, 2016 11:05Mgombea urais wa muungano wa wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametuhumiwa kupora nyumba ya raia mmoja wa Ubelgiji.
-
ICC yamhukumu Bemba wa DRC miaka 18 jela
Jun 21, 2016 10:32Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemhukumu miaka 18 jela Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Jean-Pierre Bemba ambaye alikuwa anakabiliwa na tuhuma za kutenda jinai za kivita katika nchi jirani ya Jamhuri ya Afrika ya Kati kati ya mwaka 2002-2003.
-
Miili 19 ya Waethiopia yapatikana kwenye lori DRC
Jun 19, 2016 10:12Miili ya raia 19 wa Ethiopia waliofariki dunia kwa kukosa hewa ndani ya lori moja la mizigo la Zambia imepatikana kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Jeshi la Kongo DR lashambuliana na waasi, mkoa wa Kivu Kusini
Jun 18, 2016 23:54Duru za jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimeripoti kujiri mapigano baina ya jeshi la serikali na waasi katika mkoa wa Kivu Kusini, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya hali ya kiusalama DRC
Jun 18, 2016 03:37Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, yumkini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikatumbukia katika wimbi la ghasia za uchaguzi kama Burundi.
-
Mapigano kati ya jeshi la Kongo na wanamgambo mashariki mwa nchi
Jun 17, 2016 10:24Duru za kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimearifu kuhusu kujiri mapigano kati ya askari jeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya makundi yenye silaha mashariki mwa nchi.
-
Wanajeshi kadhaa DRC wakamatwa mkoani Ituri
Jun 13, 2016 02:38Wanajeshi kadhaa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (FARDC) wametiwa mbaroni katika mkoa wa Ituri kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Tuhuma za mapinduzi ya kijeshi za serikali ya Kongo DR dhidi ya wapinzani
Jun 12, 2016 22:25Chama tawala nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kimewatuhumu wapinzani wa nchi hiyo kwa kula njama za kufanya mapinduzi ya kijeshi dhidi ya serikali.
-
Watu wenye silaha washambulia mashariki mwa DRC
Jun 12, 2016 22:08Duru za kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinasema kuwa watu wenye silaha wamefanya shambulizi dhidi ya vijiji vya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
DRC yakosoa ripoti ya HRW kwamba askari wake waliua CAR
Jun 10, 2016 09:46Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imekosoa ripoti ya hivi karibuni ya Human Rights Watch iliyodai kuwa askari wa nchi hiyo wa kulinda amani huko Jamhuri ya Afrika ya Kati waliua na kukandamiza raia wasio na hatia.