-
Wapinzani wa serikali ya DRC wakutana nchini Ubelgiji
Jun 10, 2016 02:52Vyombo vya habari vimeripoti habari ya kukutana wapinzani wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo nchini Ubelgiji.
-
Raia 100 watekwa nyara na wanamgambo kaskazini mwa Kongo DR
Jun 07, 2016 23:29Viongozi wa kieneo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameonyesha wasi wasi wao juu ya hatma ya raia 100 waliotekwa nyara na wanamgambo huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Ulaya yatofautiana na Marekani kuhusu kuwekewa vikwazo DRC
Jun 07, 2016 03:30Nchi za bara Ulaya zimetilia shaka hatua ya Marekani kushinikiza kuwekewa vikwazo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kumtaka Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo asigombee urais kwa muhula wa tatu.
-
Serikali ya Kongo na wapinzani wasisitiza kuendelea na mazungumzo ya amani
May 29, 2016 02:19Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na wapinzani wa harakati ya zamani ya waasi ya Machi 23 wamesisitiza kuendeleza mazungumzo ya kusaka amani nchini humo.
-
Wafuasi wa upinzani DRC kuandaa maandamano Kinshasa leo
May 25, 2016 22:55Vyombo vya usalama katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo vimeupa idhini muungano wa vyama vya upinzani nchini humo kuandaa maandamano katika mji mkuu Kinshasa hii leo.
-
Mivutano ya kisiasa Kongo yautia wasiwasi Umoja wa Mataifa
May 23, 2016 02:45Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameelezea wasiwasi wa umoja huo kufuatia kuongezeka mizozo ya kisiasa nchini humo.
-
UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada
May 22, 2016 11:52Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi raia wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wanahitajia misaada ya dharura na kwamba idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka nchi mbili hizo na haswa Burundi ni ya kutia wasi wasi.
-
Wanachama wa makundi ya waasi watiwa mbaroni mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
May 22, 2016 03:42Afisa wa jeshi la serikali nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ameelezea habari ya kutiwa mbaroni wanachama kadhaa wa kundi la waasi wa Mai-Mai mashariki mwa nchi hiyo.
-
Waasi kadhaa watiwa mbaroni mashariki mwa DRC
May 21, 2016 11:27Afisa mmoja mwandanamizi wa jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametangaza habari ya kutiwa mbaroni waasi kadhaa wa kundi la Mai Mai, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Serikali ya DRC yamruhusu kiongozi wa upinzani Moise Katumbi akatibiwe nje ya nchi
May 20, 2016 23:42Duru rasmi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinaripoti kwamba, Moise Katumbi mwanasiasa aliyetangaza nia ya kuwania kiti cha urais katika uchaguzi ujao na ambaye anakabiliwa na kesi ya kuajiri mamluki ameruhusiwa kutoka nchini humo kwa ajili ya kwenda kupatiwa matibabu nje ya nchi.