-
Japan yasisitiza kuendelea kununua mafuta ya Iran
Sep 04, 2018 13:42Waziri wa Uchumi, Biashara na Viwanda wa Japan amesisitiza kufanyika juhudi za kuendelea kuagiza mafuta kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jumamosi, Septemba Mosi, 2018
Sep 01, 2018 04:06Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Tatu Dhulhija 1439 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Septemba mwaka 2018 Miladia.
-
Hamu ya Korea Kaskazini kuboresha uhusiano wake na Japan
Aug 28, 2018 07:56Mwanzoni mwa mwezi huu, Korea Kaskazini ilimuachilia huru raia wa Japan aliyekamatwa na nchi hiyo kwa tuhuma za kufanya ujasusi.
-
Trump na Shinzo Abe: Tutaendelea kuibana kwa vikwazo Pyongyang
Aug 24, 2018 07:56Rais Donald Trump wa Marekani na Shinzo Abe, Waziri Mkuu wa Japan wamesema kuwa, wataendeleza vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini ili kutatuliwa kadhia ya silaha za nyuklia katika Rasi ya Korea.
-
Korea Kaskazini yalalamikia undumakuwili wa Marekani katika uga wa nyuklia
Aug 06, 2018 12:59Serikali ya Korea Kaskazini kupitia gazeti la chama tawala la Rodong Sinmun, imesema kuwa, hatua ya kurefushwa mkataba wa nyuklia kati ya Marekani na Japan ni kitendo kilicho 'dhidi ya ubinaadamu na dhidi ya amani.'
-
Korea Kaskazini yapinga mpango wa Japan wa kuweka ngao ya makombora
Jul 30, 2018 04:39Serikali ya Korea Kaskazini im imekosoa hatua ya Japan ya kutaka kuweka ngao ya makombora ndani ya nchi hiyo na kuongeza kuwa Shinzō Abe, Waziri Mkuu wa Japan anakusudia kuibadili nchi yake iwe dola lenye nguvu za kijeshi.
-
Jumapili, 29 Julai, 2018
Jul 29, 2018 01:21Leo ni Jumapili tarehe 15 Mfunguo Pili, Dhul-Qaadah 1439 Hijiria, mwafaka na tarehe 29 Julai 2018 Miladia.
-
Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140
Jul 10, 2018 07:43Watu zaidi ya 140 wamepoteza maisha, huku hatima ya makumi ya wengine ikiwa haijulikani kutokana na athari za mvua kubwa zilizonyesha magharibi na katikati mwa Japan.
-
27 wapoteza maisha katika mafuriko Japan, makumi ya wengine watoweka
Jul 08, 2018 02:25Watu wasiopungua 27 wamepoteza maisha, watano wakiwa mahututi na wengine 47 hawajulikani waliko baada ya mvua kali kunyesha magharibi na katikati mwa Japan na kusababisha mafuriko.
-
Jumapili, Mei 20, 2018
May 20, 2018 02:21Leo ni Jumapili tarehe nne Ramadhan mwaka 1439 Hijiria, inayosadifiana na tarehe 20 Mei mwaka 2018 Miladia.