Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Japan

  • Idadi ya waliofariki dunia katika mtetemeko wa ardhi wa Japan wafikia 44, majeruhi ni 660

    Idadi ya waliofariki dunia katika mtetemeko wa ardhi wa Japan wafikia 44, majeruhi ni 660

    Sep 10, 2018 02:45

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliotokea kaskazini mwa Japan wiki iliyopita imefikia watu 44 huku wengine 660 wakijeruhiwa. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa rasmi ya serikali iliyotolewa leo Jumatatu.

  • Jumapili, Septemba 9, 2018

    Jumapili, Septemba 9, 2018

    Sep 09, 2018 03:44

    Leo ni Jumapili tarehe 28 Mfunguo Tatu, Dhul-Hijjah 1439 Hijiria, sawa na tarehe tisa Septemba mwaka 2018 Miladia.

  • Japan yasisitiza kuendelea kununua mafuta ya Iran

    Japan yasisitiza kuendelea kununua mafuta ya Iran

    Sep 04, 2018 09:12

    Waziri wa Uchumi, Biashara na Viwanda wa Japan amesisitiza kufanyika juhudi za kuendelea kuagiza mafuta kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jumamosi, Septemba Mosi, 2018

    Jumamosi, Septemba Mosi, 2018

    Aug 31, 2018 23:36

    Leo ni Jumamosi tarehe 20 Mfunguo Tatu Dhulhija 1439 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Septemba mwaka 2018 Miladia.

  • Hamu ya Korea Kaskazini kuboresha uhusiano wake na Japan

    Hamu ya Korea Kaskazini kuboresha uhusiano wake na Japan

    Aug 28, 2018 03:26

    Mwanzoni mwa mwezi huu, Korea Kaskazini ilimuachilia huru raia wa Japan aliyekamatwa na nchi hiyo kwa tuhuma za kufanya ujasusi.

  • Trump na Shinzo Abe: Tutaendelea kuibana kwa vikwazo Pyongyang

    Trump na Shinzo Abe: Tutaendelea kuibana kwa vikwazo Pyongyang

    Aug 24, 2018 03:26

    Rais Donald Trump wa Marekani na Shinzo Abe, Waziri Mkuu wa Japan wamesema kuwa, wataendeleza vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini ili kutatuliwa kadhia ya silaha za nyuklia katika Rasi ya Korea.

  • Korea Kaskazini yalalamikia undumakuwili wa Marekani katika uga wa nyuklia

    Korea Kaskazini yalalamikia undumakuwili wa Marekani katika uga wa nyuklia

    Aug 06, 2018 08:29

    Serikali ya Korea Kaskazini kupitia gazeti la chama tawala la Rodong Sinmun, imesema kuwa, hatua ya kurefushwa mkataba wa nyuklia kati ya Marekani na Japan ni kitendo kilicho 'dhidi ya ubinaadamu na dhidi ya amani.'

  • Korea Kaskazini yapinga mpango wa Japan wa kuweka ngao ya makombora

    Korea Kaskazini yapinga mpango wa Japan wa kuweka ngao ya makombora

    Jul 30, 2018 00:09

    Serikali ya Korea Kaskazini im imekosoa hatua ya Japan ya kutaka kuweka ngao ya makombora ndani ya nchi hiyo na kuongeza kuwa Shinzō Abe, Waziri Mkuu wa Japan anakusudia kuibadili nchi yake iwe dola lenye nguvu za kijeshi.

  • Jumapili, 29 Julai, 2018

    Jumapili, 29 Julai, 2018

    Jul 28, 2018 20:51

    Leo ni Jumapili tarehe 15 Mfunguo Pili, Dhul-Qaadah 1439 Hijiria, mwafaka na tarehe 29 Julai 2018 Miladia.

  • Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140

    Waliopoteza maisha katika mafuriko, maporomoko Japan ni zaidi ya watu 140

    Jul 10, 2018 03:13

    Watu zaidi ya 140 wamepoteza maisha, huku hatima ya makumi ya wengine ikiwa haijulikani kutokana na athari za mvua kubwa zilizonyesha magharibi na katikati mwa Japan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS