Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Javad Zarif

  • Zarif: Palestina ni kipimo cha haki; Iran imesimama na Wapalestina kwa fahari

    Zarif: Palestina ni kipimo cha haki; Iran imesimama na Wapalestina kwa fahari

    May 06, 2021 12:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Palestina ni kigezo na kipimo cha haki na uadilifu, lakini ni nchi chache zimeweza kupasi katika kipimo hicho.

  • Zarif: Kukishambulia kituo cha nyuklia cha Iran ni jinai ya kivita

    Zarif: Kukishambulia kituo cha nyuklia cha Iran ni jinai ya kivita

    Apr 13, 2021 06:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kitendo cha Jumapili alfajiri cha kushambuliwa kwa makusudi mfumo wa usambazaji umeme wa kituo cha urutubishaji urani cha kituo cha nyuklia cha Natanz hapa nchini ni jinai ya kivita.

  • Zarif: Enzi za ukiritimba wa Wamagharibi duniani zimekwisha

    Zarif: Enzi za ukiritimba wa Wamagharibi duniani zimekwisha

    Mar 30, 2021 03:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria juu ya kuimarika nafasi chanya ya mataifa ya Asia duniani na kueleza bayana kuwa, ukiritimba wa nchi za Magharibi katika uhusiano wa kimataifa umefikia ukingoni.

  • Iran yakosoa undumakuwili wa Uingereza, yataka silaha zote za nyuklia ziharibiwe

    Iran yakosoa undumakuwili wa Uingereza, yataka silaha zote za nyuklia ziharibiwe

    Mar 17, 2021 06:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali undumakuwili wa Uingereza; ambayo kwa upande mmoja inatoa madai yasiyo na msingi dhidi ya miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani na kwa upande mwingine, inasema kuwa inataka kuongeza akiba ya silaha zake za nyuklia.

  • Zarif: Marekani sharti itekeleze wajibu wake kwa kurejea katika JCPOA

    Zarif: Marekani sharti itekeleze wajibu wake kwa kurejea katika JCPOA

    Feb 02, 2021 03:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani haina budi kutekeleza wajibu na majukumu yake kwa kurejea katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele

    Zarif: Mlango wa fursa kwa utawala mpya wa Marekani hautabaki wazi milele

    Jan 23, 2021 11:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuasa Rais mpya wa Marekani Joe Biden, ahitimishe sera za mashinikizo zilizogonga mwamba za mtangulizi wake Donald Trump na kusisitiza kuwa, "dirisha la fursa kwa timu mpya ya Ikulu ya White House halitabakia wazi milele."

  • Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu ndege za kivita aina ya B-52

    Iran yaitahadharisha Marekani kuhusu ndege za kivita aina ya B-52

    Jan 18, 2021 04:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameashiria uwepo wa ndege za kivita za Marekani aina ya B-52 katika eneo la Asia Magharibi na kuonya kuwa, Iran haitasita kutungua chombo chochote kinachokiuka anga yake.

  • Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq

    Zarif amshambulia Trump kwa kuihusisha Iran na mashambulio ya Iraq

    Dec 24, 2020 08:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemjia juu Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ameituhumu Tehran kuwa imehusika na mashambulio ya maroketi dhidi ya ubalozi wa US mjini Baghdad, Iraq.

  • Zarif: Nchi za Ulaya zimekiuka wajibu wao katika JCPOA

    Zarif: Nchi za Ulaya zimekiuka wajibu wao katika JCPOA

    Dec 22, 2020 03:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema data za miamala ya kibiashara baina ya nchi hii na Ulaya kati ya mwaka 2014 na 2019 zinaonesha wazi kuwa nchi tatu za Ulaya washiriki wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA zilikiuka wajibu wao wa kisheria.

  • Zarif: Vikwazo vya Washington vimewadhuru Wamarekani wenyewe

    Zarif: Vikwazo vya Washington vimewadhuru Wamarekani wenyewe

    Dec 18, 2020 04:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema sera ya vikwazo ya Washington imekuwa na madhara makubwa hata kwa wananchi wa Marekani wenyewe na kampuni zao na hivyo kusababisha ukosefu wa ajira miongoni mwa Wamarekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS