Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Javad Zarif

  • Waziri Zarif afanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara

    Waziri Zarif afanya mazungumzo na Rais wa Uturuki mjini Ankara

    Aug 13, 2016 02:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki huko mjini Ankara katika safari ya kwanza muhimu kufanywa na ujumbe wa ngazi za juu wa kigeni tangu lilipotokea jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini humo.

  • Zarif asisitizia azma ya dhati ya Iran na Mali ya kushirikiana kiuchumi

    Zarif asisitizia azma ya dhati ya Iran na Mali ya kushirikiana kiuchumi

    Jul 28, 2016 15:32

    Waziri wa Mambo ya Nje Muhammad Javad Zarif amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mali zimeazimia kwa dhati kustawisha ushirikiano wa kiuchumi baina yao.

  • Zarif: Marekani ina utendaji dhaifu katika utekelezaji mapatano ya nyuklia na Iran

    Zarif: Marekani ina utendaji dhaifu katika utekelezaji mapatano ya nyuklia na Iran

    Jul 19, 2016 04:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Marekani imekuwa na utendaji dhaifu katika kufungamana na mapatano ya nyuklia yaliyofikiwa mwezi Julai mwaka jana baina ya Iran na madola sita makubwa duniani ya kundi la 5+1.

  • Zarif: Mgogoro wa Syria utatuliwe kwa njia ya kisiasa

    Zarif: Mgogoro wa Syria utatuliwe kwa njia ya kisiasa

    Jun 23, 2016 15:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mgogoro wa Syria unaweza tu kutatuliwa kwa njia ya kisiasa.

  • Zarif: Uhusiano wa Iran na Ufaransa ni kwa maslahi ya dunia

    Zarif: Uhusiano wa Iran na Ufaransa ni kwa maslahi ya dunia

    Jun 23, 2016 08:07

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesisitiza umuhimu wa kuimarishwa uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Ufaransa na kusema kuwa ushirikiano huo utachangia kuleta amani na uthabiti duniani.

  • Duru ya pili ya ziara ya Zarif barani Ulaya

    Duru ya pili ya ziara ya Zarif barani Ulaya

    Jun 13, 2016 11:38

    Muhammad Javad Zarif Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameanza duru yake ya pili ya safari yake barani Ulaya kwa kuitembelea Norway ambapo anatazamiwa kushiriki kikao cha "Oslo Forum".

  • Zarif na De Mistura wajadili hali na matukio yanayoendelea kujiri nchini Syria

    Zarif na De Mistura wajadili hali na matukio yanayoendelea kujiri nchini Syria

    May 17, 2016 07:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif, na Staffan de Mistura, mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu matukio yanayoendelea kujiri nchini humo.

  • Zarif: Iran itakabiliana na hatua zisizo za kisheria za Marekani

    Zarif: Iran itakabiliana na hatua zisizo za kisheria za Marekani

    May 07, 2016 12:52

    Mohammad Javad Zarif Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameshiriki katika kikao cha wabunge wateule wa bunge la 10 la Iran na kutoa hotuba kuhusu maudhui ya "Utunguaji Sheria, Mahitajio na Mbinu".

  • Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA

    Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA

    Apr 30, 2016 16:17

    Rais Hassan Rouhani ameutaka Umoja wa Ulaya utoe ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi na kusisitizia ulazima wa kutekelezwa ipasavyo makubaliano ya nyuklia (JCPOA).

  • Marekani imepora dola bilioni 2 za Iran: Zarif

    Marekani imepora dola bilioni 2 za Iran: Zarif

    Apr 26, 2016 14:26

    Hatua ya mahakama moja ya Marekani kutoa hukumu ya kuchukua udhibiti wa dola bilioni mbili za Iran zinazozuiliwa nchini humo ni sawa na uharamia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS