-
Ijumaa, Julai 4, 2025
Jul 04, 2025 03:11Leo ni Ijumaa tarehe 8 Mfunguo Nne Muharram 1447 Hijria sawa na tarehe 4 Julai 2025.
-
Hamasa ya Imam Hussein (as)
Jul 16, 2024 16:50Nukuu za historia zinasema, Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib, mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (SAW) aliingia Karbala siku ya Alhamisi tarehe Pili Muharram, 61 Hijiria.
-
Jumapili, 14 Julai, 2024
Jul 14, 2024 03:49Leo ni Jumapili 8 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria mwafaka na 14 Julai 2024 Miladia.
-
Jumatatu, 08 Julai, 2024
Jul 08, 2024 04:34Leo ni Jumatatu tarehe Pili Mfunguo Nne Muharram 1445 Hijria, mwafaka na tarehe 8 Julai 2024.
-
Jumamosi, 15 Juni, 2024
Jun 18, 2024 10:33Leo ni Jumamosi 8 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria mwafaka na 15 Juni 2024 Miladia.
-
Gavana wa Karbala: Mazuwari wa Arubaini mwaka huu kupindukia milioni 30
Sep 05, 2023 12:18Gavana wa jiji la Karbala nchini Iraq amesema mji huo mtakatifu utapokea wafanyaziara zaidi ya milioni 30 katika Arubaini ya Imam Hussein AS mwaka huu.
-
Nchi 65 zashiriki kongamano la kuiunga mkono Palestina katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq
Aug 29, 2023 06:55Mkutano wa kimataifa wenye anuani ya Wito wa Al-Aqsa umefanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq, kwa kuhudhuriwa na wajumbe kutoka nchi 65 duniani.
-
Kumbukumbu za Tasua ya Imam Husain AS zafanyika kona zote za Iran
Jul 28, 2023 03:00Jana Alkhamisi ilisadifiana na mwezi Tisa Mfunguo Nne, Muharram, siku ya maombolezo ya Tasua ya Imam Husain AS na mashahidi wengine wa mapambano ya Karbala ya mwaka 61 Hijria.
-
Akhamisi, tarehe Pili Machi, mwaka 2023
Mar 02, 2023 02:20Leo ni Alkhamisi tarehe 9 Shaaban 1444 Hijri inasadifiana na tarehe Pili Machi mwaka 2023.
-
Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (55)
Nov 05, 2022 10:28Ni wasaa na wakati mwingine tunapokutana tena wapenzi wasikilizaji katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu ili kwa pamoja tuweze kufungua ukurasa mwingine katika kurasa za historia ya Maulamaa na wanazuoni wa Kishia pamoja na mchango wao katika Uislamu.