Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Amnesty yaikosoa Kenya kwa kuwafukuza wakimbizi kutoka Somalia

    Amnesty yaikosoa Kenya kwa kuwafukuza wakimbizi kutoka Somalia

    Nov 15, 2016 10:45

    Shirika la haki za binadmau la Amnesty International limeikosoa serikali ya Kenya kwa kuwalazimisha wakimbizi kutoka Somalia kurejea katika nchi yao inayokumbwa na vita na hivyo kuhatarisha maisha yao.

  • Kuondoka askari wa kulinda amani wa Kenya huko Sudan Kusini

    Kuondoka askari wa kulinda amani wa Kenya huko Sudan Kusini

    Nov 10, 2016 09:39

    Katika hali ambayo, vita na mapigano yanaendelea kushuhudiwa katika nchi ya Sudan Kusini, suala la kuondoka nchini humo baadhi ya askari wa kusimamani amani limegeuka na kuwa changamoto nyingine inayoikabili nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Ulimwengu wa Michezo, Nov 7

    Ulimwengu wa Michezo, Nov 7

    Nov 07, 2016 04:28

    Mkusanyiko wa matukio kem kem ya spoti yalitoawala anga mbali mbali ndani ya siku saba zilizopita......................

  • Machar aikosoa Kenya kwa kumtimua msemaji wake

    Machar aikosoa Kenya kwa kumtimua msemaji wake

    Nov 05, 2016 00:06

    Kiongozi wa waasi nchini Sudan Kusini ameijia juu serikali ya Kenya kwa kumtimua nchini humo msemaji wake James Gatdet Dak na kusisitiza kuwa hatua hiyo imekiuka Hati ya makubaliano ya Geneva.

  • Uhuru: Kenya haijutii kuwaondoa wanajeshi wake Sudan Kusini

    Uhuru: Kenya haijutii kuwaondoa wanajeshi wake Sudan Kusini

    Nov 03, 2016 12:57

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema taifa hilo halijuti kwa uamuzi wake wa kuwaondoa wanajeshi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki walioko Sudan Kusini chini ya mwavuli wa kikosi maalumu cha kusimamia amani cha Umoja wa Mataifa (UNMISS).

  • Tanzania na Kenya zakubaliana kujenga barabara mbili unganishi

    Tanzania na Kenya zakubaliana kujenga barabara mbili unganishi

    Nov 01, 2016 04:27

    Tanzania na Kenya zimekubaliana kuanza kwa wakati ujenzi wa barabara mbili unganishi ambazo zitaboresha usafirishaji wa bidhaa na safari za raia kati ya nchi mbili hizo.

  • Jeshi la Kenya laua magaidi 140 wa Al Shabab nchini Somalia

    Jeshi la Kenya laua magaidi 140 wa Al Shabab nchini Somalia

    Oct 31, 2016 23:13

    Jeshi la Ulinzi la Kenya, KDF, limetangaza kuwaua magaidi 140 wa kundi la kitakfiri la Al Shabab katika jimbo la Lower Jubba, mjini Afamadow nchini Somalia.

  • Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika

    Rais Magufuli: Kenya, mshirika nambari moja wa Tanzania kibiashara barani Afrika

    Oct 31, 2016 11:43

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amekanusha madai kuwa serikali yake inazipuuza nchi jirani na kujikita zaidi katika masuala ya ndani.

  • UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela

    UN yaipongeza Kenya kwa kubadili adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela

    Oct 30, 2016 03:49

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Kenya ya kubadilisha adhabu ya kifo kuwa kifungo cha maisha jela kwa maelfu ya watu waliokuwa wakisubiri kutekelezwa hukumu hiyo dhidi yao.

  • Kenya yapiga marufuku kutoka nje usiku mjini Mandera

    Kenya yapiga marufuku kutoka nje usiku mjini Mandera

    Oct 28, 2016 01:09

    Serikali ya Kenya imetangaza marufuku ya kutotembea majira ya usiku kwa muda wa siku 60 eneo la Mandera, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS