-
HAMAS: Badala ya mazungumzo mapya, Wazayuni walazimishwe kutekeleza usitishaji vita
Aug 13, 2024 02:10Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema utawala ghasibu wa Kizayuni umethibitisha kuwa hautaki kufikia makubaliano; na kwa sababu hiyo, harakati hiyo imewataka wapatanishi wa Misri na Qatar wawalazimishe Wazayuni watekeleze pendekezo la hivi karibuni la usitishaji vita badala ya kutaka yaanzishwe mazungumzo mengine mapya.
-
Borrell: Mauaji ya umati ya Israel Ukanda wa Gaza hayawezi kutetewa
Aug 11, 2024 07:52Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amelaani shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina waliokuwa katika Swala ya Alfajiri katika shule ya al-Tabi’in katika mji wa Gaza.
-
Ufaransa, Misri na Jordan zapinga shambulio la Rafah na kuunga mkono usitishaji vita Gaza
Mar 31, 2024 22:47Mkutano wa pande tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa Misri, Jordan na Ufaransa ulifanyika Jumamosi Cairo, mji mkuu wa Misri, kuhusiana na matukio ya hivi karibuni katika vita vya Gaza na mashauriano ya kusitisha mapigano hayo.
-
Mamia ya maelfu waandamana barani Ulaya wakitaka kusitishwa vita Gaza
Mar 03, 2024 22:59Mamia ya maelfu ya watu jana waliandamana katika barabara za miji mikuu ya nchi mbalimbali za Ulayakwa wakitaka kusitishwa vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza haraka iwezekanavyo; huku idadi ya vifo katika eneo hilo ikipindukia 30,000 kufuatia mashambulizi ya Israel tangu Oktoba 7 mwaka jana.
-
Maaskofu wa Kanisa la Uingereza watoa wito wa kusitishwa mapigano mara moja huko Gaza
Feb 14, 2024 23:33Maaskofu wa Kanisa la Uingereza wametoa wito wa kusitishwa mara moja mapigano katika eneo la Ukanda wa Gaza. Wito huo umetolewa kabla ya shambulio la anga la jeshi la Israel lililosababisha mauaji ya halaiki huko Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Hakutafikiwa makubaliano bila ya kusimamishwa vita na jeshi la Kizayuni kuondoka Gaza
Feb 02, 2024 10:42Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ametoa mjibizo kwa mpango uliopendekezwa wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza na kutangaza kwamba, hakutafikiwa makubaliano bila ya kusimamishwa vita na jeshi la utawala wa Kizayuni kuondoka Gaza.
-
Wananchi Uingereza waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Gaza
Jan 20, 2024 23:09Maelfu ya watu nchini Uingereza kwa siku ya 15 mtawalia wamemiminika katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulaani na kupinga jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza.
-
Baada ya kubanwa kila upande Israel, sasa Umoja wa Ulaya waomba kusimamishwa vita Ghaza
Jan 19, 2024 04:40Baada ya utawala wa Kizayuni kubanwa kila upande, kutokea Ghaza hadi kwenye mipaka ya Lebanon na kutokea Iraq hadi Yemen na Bahari Nyekundu, sasa Umoja wa Ulaya umetaka kusimamishwa vita kikamilifu katika Ukanda wa Ghaza na hii ikiwa ni mara ya kwanza kwa umoja huo unaoiunga mkono kikamilifu Israel, kuomba jambo kama hilo.
-
Uhalalishaji Marekani kura yake ya turufu kuhusu mauaji ya kimbari ya Wazayuni huko Gaza
Dec 11, 2023 23:09Licha ya matakwa ya kimataifa ya kusitishwa mara moja vita vya mauaji ya kimbari ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza, lakini Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni, imepinga maombi hayo na inaendelea kuwasha moto wa vita hivyo vya umwagaji damu kwa kutuma silaha za kila aina huko Gaza.
-
Wito wa Umoja wa Mataifa kuhusu usitishaji vita wa kudumu huko Gaza na onyo la kuenea mapigano
Nov 30, 2023 06:13Siku ya Jumanne, ikiwa ni siku ya tano ya usitishaji vita wa muda huko Gaza, Umoja wa Mataifa ulifanya vikao viwili, kimoja katika Baraza Kuu kuhadili vita kati ya Israel na Hamas na kingine katika Baraza la Usalama kuhusu hali ya Mashariki ya Kati na Syria, ambapo vikao vyote viwili vilizungumzia kuenea mapigano katika eneo na kusisitiza juu ya udhrura wa kutekelezwa usitishaji vita wa kudumu.