Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Unicef: Watoto zaidi ya 100 wameuawa Lebanon katika siku 11

    Unicef: Watoto zaidi ya 100 wameuawa Lebanon katika siku 11

    Oct 06, 2024 07:36

    Mfuko wa Kuwahudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza kuwa watoto zaidi ya 100 wameuawa huko Lebanon siku 11 zilizopita kufuatia hujuma na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na jeshi la Israel nchini humo.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Usitishaji vita Lebanon na Gaza unapaswa kufanyika kwa wakati mmoja

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Usitishaji vita Lebanon na Gaza unapaswa kufanyika kwa wakati mmoja

    Oct 04, 2024 23:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran inaunga mkono usitishaji vita kwa sharti kwamba, haki za wananchi wa Lebanon ziheshimiwe na kukubaliwa na Muqawama na kusema: Usitishaji huo wa mapigano unapaswa kuwa sawia na usitishaji vita huko Gaza.

  • Israel yaendelea kumwaga damu za Walebanon mjini Beirut

    Israel yaendelea kumwaga damu za Walebanon mjini Beirut

    Oct 04, 2024 03:43

    Wizara ya Afya ya Lebanon imesema takriban watu 37 wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya 150 wakijeruhiwa katika mashambulizi mapya ya anga ya utawala haramu wa Israel, huku uchokozi usio na kikomo wa utawala huo katili dhidi ya Lebanon ukiendelea.

  • UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya  ya watoto wa Lebanon

    UNICEF yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali mbaya ya watoto wa Lebanon

    Oct 01, 2024 10:16

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Lebanon na ameelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya watoto nchini humo.

  • Madai ya Marekani katika muktadha wa kujaribu kuzuia vita Asia Magharibi

    Madai ya Marekani katika muktadha wa kujaribu kuzuia vita Asia Magharibi

    Sep 30, 2024 22:47

    Marekani ambayo ni mdhamini mkubwa zaidi wa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya mashambulizi makubwa dhidi ya watu wa Lebanon na Gaza, sasa inajitokeza kwa unafiki na kutoa wito wa kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani katika eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Abu Sharif: Irada ya muqawama ina nguvu kuliko njama yoyote

    Abu Sharif: Irada ya muqawama ina nguvu kuliko njama yoyote

    Sep 30, 2024 08:31

    Mwakilishi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema baada ya utawalal wa Kizayuni kumuua shahidi Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kwamba: Licha ya kuipoteza nembo hiyo adhimu, lakini si tu muqawama hautadhoofishwa bali utaendeleza njia yake kwa nguvu zaidi na kwa azma kamili.

  • Utawala wa Kizayuni waua kigaidi makamanda 3  wa chama cha PLO

    Utawala wa Kizayuni waua kigaidi makamanda 3 wa chama cha PLO

    Sep 30, 2024 04:27

    Shambulio la kigaidi ambalo limetekelezwa na utawala wa Kizayuni katika eneo la "Al-Kola" mjini Beirut, Lebanon limepelekea kuuawa shahidi makamanda watatu waandamizi wa chama cha Ukombozi wa Palestina PLO.

  • SEPAH: Malengo matukufu ya ukombozi wa Quds yamekaribia kufikiwa

    SEPAH: Malengo matukufu ya ukombozi wa Quds yamekaribia kufikiwa

    Sep 29, 2024 02:40

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) ametoa ujumbe maalumu wa pongezi na wa mkono wa pole kufuatia kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon na kusisitiza kuwa, malengo matukufu ya ukombozi wa Quds yamekaribia kufikiwa na historia itathibitisha hilo.

  • Guardian: Shambulio lolote la ardhini litakalofanywa na Israel dhidi ya Lebanon litafeli

    Guardian: Shambulio lolote la ardhini litakalofanywa na Israel dhidi ya Lebanon litafeli

    Sep 28, 2024 07:50

    Gazeti la Guardian la Uingereza limeandika kuwa operesheni yoyote ya ardhini itakayofanywa na utawala wa Israel dhidi ya Lebanon itafeli na kugonga mwamba.

  • Wazayuni washambulia tena vitongoji vya Beirut, Lebanon

    Wazayuni washambulia tena vitongoji vya Beirut, Lebanon

    Sep 28, 2024 04:28

    Ndega za kivita za utawala wa Kizayuni zinaendelea kumeshambulia kikatili mitaa ya kusini mwa Beirut, mji mkuu wa Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS