Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Independent: Wafanyabiashara wa Kimagharibi wamemtapeli Haftar mamilioni ya dola

    Independent: Wafanyabiashara wa Kimagharibi wamemtapeli Haftar mamilioni ya dola

    Jun 12, 2020 02:37

    Gazeti la Independent linalochapishwa nchini Uingereza limefuchua kwamba mamluki wa nchi za kigeni na wafanyabiashara wa nchi za Magharibi wakiwemo Waingereza, wamemtapeli jenerali muasi Khalifa Haftar mamilioni ya dola za Kimarekani.

  • 17 wauawa na kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu Tripoli, Libya

    17 wauawa na kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu Tripoli, Libya

    Jun 11, 2020 07:57

    Kwa akali watu saba wameuawa na wengine zaidi ya kumi wamejeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea karibu na mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Gazeti la Qatar: Kumefikiwa makubaliano ya kimataifa ya kummaliza Khalifa Haftar wa Libya

    Gazeti la Qatar: Kumefikiwa makubaliano ya kimataifa ya kummaliza Khalifa Haftar wa Libya

    Jun 11, 2020 02:25

    Gazeti la al Arabi al Jadid limeripoti habari ya kufikiwa makubliano ya kimataifa ya kummaliza kabisa kisiasa jenerali muasi Khalifa Haftar wa Libya.

  • Umoja wa Afrika wazitaka pande hasimu Libya kuzingatia sheria za kimataifa

    Umoja wa Afrika wazitaka pande hasimu Libya kuzingatia sheria za kimataifa

    Jun 10, 2020 12:09

    Mwenyekiti wa Kamati ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat amezitaka pande zinazopigana nchini Libya zifuate sheria ya kibinadamu ya kimataifa, hasa kuhakikisha usalama wa hospitali na shule, na kuwezesha utoaji wa misaada.

  • UN yasisitiza ulazima wa kutatuliwa mgogoro wa Libya kwa njia za amani

    UN yasisitiza ulazima wa kutatuliwa mgogoro wa Libya kwa njia za amani

    Jun 09, 2020 07:34

    Uingiliaji kati wa nchi za kigeni katika mgogoro wa Libya umezidisha wasiwasi wa kimataifa kuhusu mgogoro huo. Katika mkondo huo Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusiana na hali ya Libya na umezitaka pande zote zinazohusika kuheshimu njia za kisiasa za kutatua mgogoro huo.

  • Morocco yapinga pendekezo la Misri kuhusu Libya

    Morocco yapinga pendekezo la Misri kuhusu Libya

    Jun 08, 2020 12:04

    Serikali ya Morocco imepinga mpango wa Misri kuhusu Libya na kusisitiza kuwa muafaka wa kisiasa wa al Sakhirat ni marejeo asili ya ufumbuzi wa mgogoro wa Libya.

  • Wapiganaji wa Haftar warejea nyuma kutoka mji wa Sirte nchini Libya

    Wapiganaji wa Haftar warejea nyuma kutoka mji wa Sirte nchini Libya

    Jun 07, 2020 04:17

    Askari wa serikali ya mwafaka wa kitaifa yenye makao yake magharibi mwa Libya wameelezea habari ya kukimbia wanamgambo wanaoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar kutoka katika mji wa Sirte hadi umbali wa kati ya Tripoli na Bengazi.

  • Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya Libya yakataa pendekezo la usitishaji vita la Misri na Haftar

    Serikali ya Muafaka wa Kitaifa ya Libya yakataa pendekezo la usitishaji vita la Misri na Haftar

    Jun 07, 2020 03:07

    Jeshi la serikali ya muafaka wa kitaifa ya Libya limekataa pendekezo la kusitisha vita lililotolewa na Misri na vikosi vya mashariki mwa nchi hiyo na badala yake limesisitiza kudhibitiwakudhibitiwa maeneo yote ya nchi hiyo.

  • Kuendelea ushindi wa Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya na mustakabali usiowazi wa Libya

    Kuendelea ushindi wa Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya na mustakabali usiowazi wa Libya

    Jun 06, 2020 08:16

    Vita nchini Libya vimeshadidi na kushika kasi. Serikali ya Muafaka wa Kiataifa (GNU) yenye makao yake mjini Tripoli iko mbioni kukomboa maeneo yote ambayo yanakaliwa na wanamgambo wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar. Katika siku za hivi karibuni vikosi vya Serikali ya Muafaka wa Kitaifa vimepata mafanikio makubwa.

  • Baraza la Usalama larefusha muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Baraza la Usalama larefusha muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Jun 06, 2020 07:56

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena limeongeza muda wa vikwazo vya silaha vilivyowekewa Libya kwa kipindi cha mwaka mmoja mwingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS