-
Khalifa Haftar anajaribu kueneza wigo wa kimataifa wa mgogoro wa Libya
Jan 01, 2020 07:52Baada ya kupinduliwa utawala wa Muammar Gaddafi huko Libya mwaka 2011, nchi hiyo ilitumbukia katika vita vya ndani na hivi sasa kuna serikali mbili hasimu, moja ya mashariki na nyingine ya magharibi mwa nchi hiyo ambapo vikosi vya pande hizo mbili vinaendelea kupigana,
-
Umoja wa Mataifa walaani mashambulizi ya Haftar dhidi ya raia huko Libya
Dec 30, 2019 03:14Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametoa taarifa jana usiku akilaani mashambulizi ya anga yanayofanywa na kundi kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya dhidi ya raia wa nchi hiyo chini ya uongozi wa Khalifa Haftar.
-
Uturuki yaonya kuhusu hatari ya Libya kugeuka kuwa Syria
Dec 29, 2019 13:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu, ambaye nchi yake inajitayarisha kutuma wanajeshi Libya ameonya kuwa, kuendelea mgogoro wa Libya kwa muda mrefu kunaweza kuitumbukiza nchi hiyo katika hali mbaya zaidi na kuigeuza kuwa sawa na Syria.
-
Mawaziri wanne wa Ulaya kutembelea Libya
Dec 29, 2019 02:53Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya imetangaza kuwa, mawaziri wa mambo ya nje wa Italia, Uingereza, Ufaransa na Ujerumani wanatazamiwa kutembelea mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
Putin asisitiza ulazima wa kutatuliwa kwa amani mgogoro wa Libya
Dec 27, 2019 07:25Rais wa Russia amemhutubu na kumsisitizia Waziri Mkuu wa Italia kuwa mgogoro wa Libya unapasa kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani.
-
Al Sisi: Misri inaunga mkono ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Libya
Dec 27, 2019 02:23Rais wa Misri amesema kuwa nchi yake inataka kulinda ardhi kamili ya Libya na inakaribisha utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa nchi hiyo.
-
Rais Erdogan wa Uturuki afanya safari ya ghafla Tunisia kujadili usitishaji vita nchini Libya
Dec 26, 2019 07:52Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki jana alifanya safari ya ghafla nchini Tunisia kujadili namna ya kushirikiana na nchi hiyo ili kutafuta uwezekano wa kufanikisha usitishaji vita katika nchi jirani ya Libya, ambapo Ankara ni muungaji mkono wa serikali ya nchi hiyo inayotambuliwa rasmi kimataifa.
-
Jumanne, tarehe 24 Disemba, 2019
Dec 24, 2019 04:28Leo ni Jumanne tarehe 27 Rabiuthani 1441 Hijria sawa na Disemba 24 mwaka 2019.
-
Mgogoro wa Libya na uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo
Dec 24, 2019 04:26Tukio la kutiwa saini makubaliano ya kijeshi na kiusalama na ushirikiano wa baharini kati ya Uturuki na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya limezikasirisha nchi kadhaa za kikanda na nje ya kanda hiyo.
-
Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yapinga mazungumzo ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Ugiriki na Haftar
Dec 23, 2019 13:46Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amelaani safari ya waziri mwenzake wa Ugiriki huko mashariki mwa Libya na mazungumzo aliyofanya na Khalifa Haftar na viongozi wa serikali inayomuunga mkono.