Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Ongezeko la vitendo vya kigaidi nchini Libya lautia wasiwasi Umoja wa Mataifa

    Ongezeko la vitendo vya kigaidi nchini Libya lautia wasiwasi Umoja wa Mataifa

    Oct 31, 2018 15:44

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa kuongezeka vitendo vya kigaidi katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Tripoli, linatia wasiwasi mkubwa.

  • Ukosoaji wa Bunge la Afrika kwa muamala wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na wahajiri haramu

    Ukosoaji wa Bunge la Afrika kwa muamala wa kindumakuwili wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na wahajiri haramu

    Oct 29, 2018 09:50

    Bunge la Afrika (PAP) limekosoa undumakuwili wa Umoja wa Mataifa katika kuamiliana na nchi za Kiafrika na za Ulaya kwenye kadhia nzima ya kukabiliana na tatizo la wahajiri haramu.

  • Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu

    Naibu Spika wa Bunge la Afrika: Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu

    Oct 29, 2018 08:14

    Naibu Spika wa Bunge la Afrika (PAP) amesema Libya na Algeria ni wahanga wa uhajiri haramu barani humo.

  • Misri yajiandaa kutuma jeshi nchini Libya

    Misri yajiandaa kutuma jeshi nchini Libya

    Oct 22, 2018 14:49

    Duru za habari zimetangaza kuwa, serikali ya Misri imechukua uamuzi wa kutuma jeshi katika nchi jirani ya Libya kwa ajili ya kulisaidia jeshi la Khalifa Haftar linalojulikana kama Jeshi la Taifa.

  • Libya yalalamikia kufanyika kikao cha waungaji mkono wa Jenerali Haftar nchini Misri

    Libya yalalamikia kufanyika kikao cha waungaji mkono wa Jenerali Haftar nchini Misri

    Oct 22, 2018 00:35

    Maafisa usalama wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya wamelalamikia kufanyika kikao cha waungaji mkono wa Jenerali Khalifa Haftar, kamanda wa vikosi viitwavyo Jeshi la Taifa la Libya katika mji mkuu wa Misri, Cairo.

  • Waarabu wataka utatuzi wa kudumu wa mgogoro wa Libya

    Waarabu wataka utatuzi wa kudumu wa mgogoro wa Libya

    Oct 15, 2018 07:45

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League amesisitizia haja ya kutafutwa utatuzi wa kimsingi na wa kudumu wa mgogoro wa Libya.

  • Kaburi la umati lagunduliwa Sirte, Libya, lina zaidi ya maiti 100

    Kaburi la umati lagunduliwa Sirte, Libya, lina zaidi ya maiti 100

    Oct 14, 2018 12:26

    Vyombo vya usalama nchini Libya vimetangaza kuwa, vimegundua kaburi la umati lenye maiti za makumu ya watu lililoko umbali wa kilomita 15 magharibi mwa mji wa Sitre huko kakazini mwa nchi hiyo.

  • Sadiq al Kabir: Kumepatikana hasara ya dola bilioni 48 kutokana na vita vya ndani Libya

    Sadiq al Kabir: Kumepatikana hasara ya dola bilioni 48 kutokana na vita vya ndani Libya

    Oct 12, 2018 16:44

    Gavana wa Benki Kuu ya Libya amesema kuwa vita na mapigano ya ndani nchini humo husababisha hasara ya dola bilioni 48.6 kwa uchumi wa nchi hiyo kila mwaka.

  • Uchunguzi: Libya inakabiliwa na kundi jipya la Daesh

    Uchunguzi: Libya inakabiliwa na kundi jipya la Daesh

    Oct 10, 2018 06:26

    Uchunguzi uliofanywa na mtandao wa al Wasat nchini Libya umebaini kuwa, hali ya kisiasa na kiusalama ya nchi hiyo inaanda mazingira ya kujitokeza kundi jipya la Daesh na kutahadharisha kuwa yumkini nchi hiyo ikawa makimbilio salama ya vinara wa makundi yenye misimamo ya kufurutu mipaka kutoka pembe mbalimbali za dunia.

  • Gaidi hatari zaidi wa Misri atiwa nguvuni Derna, Libya

    Gaidi hatari zaidi wa Misri atiwa nguvuni Derna, Libya

    Oct 09, 2018 02:35

    Msemaji wa Jeshi la Taifa la Libya ametangaza kuwa, jeshi hilo limemtia nguvuni kinara wa makundi ya kigaidi katika mkoa wa Derna huko kaskazini mwa Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS