Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Baraza la mawaziri Libya lafanyiwa mabadiliko, mawaziri wanne wapigwa kalamu nyekundu

    Baraza la mawaziri Libya lafanyiwa mabadiliko, mawaziri wanne wapigwa kalamu nyekundu

    Oct 08, 2018 07:45

    Waziri Mkuu wa serikali ya maafikiano ya kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri kwa kuteua mawaziri wanne wapya kushika nyadhifa za Wizara ya Mambo ya Ndani, Fedha, Uchumi na Viwanda na Vijana na Michezo.

  • Ujumbe wa UN nchini Libya wapongeza utangulizi wa mipango mipya ya kiusalama

    Ujumbe wa UN nchini Libya wapongeza utangulizi wa mipango mipya ya kiusalama

    Oct 07, 2018 15:17

    Ujumbe wa usaidizi wa Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNSMIL) umepongeza mipango mipya ya kiusalama katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli iliyobuniwa na Baraza la serikali la uongozi.

  • Libya yapinga uingiliaji wa kijeshi wa madola ajinabi nchini humo

    Libya yapinga uingiliaji wa kijeshi wa madola ajinabi nchini humo

    Oct 06, 2018 15:13

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amepinga njama za jeshi la nchi za Magharibi NATO za kutaka kuingilia tena kijeshi nchini humo na kusema kuwa, Libya inapinga uingiliaji wowote wa kijeshi wa madola ya kigeni.

  • Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yaunga mkono mchakato wa uchaguzi

    Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yaunga mkono mchakato wa uchaguzi

    Sep 30, 2018 14:25

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amekutaja kufanyika chaguzi za bunge na rais nchini humo kuwa njia bora zaidi kwa ajili ya kurejesha amani nchini humo.

  • Mapigano yaanza upya mjini Tripoli, Libya

    Mapigano yaanza upya mjini Tripoli, Libya

    Sep 29, 2018 15:24

    Vyombo mbalimbali vya habari vimetangaza kuwa, utulivu katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, haukudumu ila kwa siku chache tu kwani tayari mapigano yameanza upya mjini humo.

  • Mahasimu wakubaliana kusitisha vita vilivyoua 117 Tripoli, Libya

    Mahasimu wakubaliana kusitisha vita vilivyoua 117 Tripoli, Libya

    Sep 27, 2018 03:00

    Makundi mawili hasimu ya waasi nchini Libya yamekubaliana kusitisha mapigano yaliyopelekea kuuawa makumi ya watu katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Al Sirraj aahidi kuandaa mazingira mazuri ya kufanyika uchaguzi Libya

    Al Sirraj aahidi kuandaa mazingira mazuri ya kufanyika uchaguzi Libya

    Sep 25, 2018 13:44

    Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amesema kuwa serikali yake itaandaa mazingira mazuri ya kufanyka uchaguzi licha ya mapigano yanayoendelea sasa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • UN: Mapigano Libya yawaweka watoto laki 5 katika hatari kubwa

    UN: Mapigano Libya yawaweka watoto laki 5 katika hatari kubwa

    Sep 25, 2018 07:58

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umetadharisha kuwa, watoto laki tano wapo katika hatari kubwa ya kupoteza maisha kutokana na mapigano yaliyoshtadi katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Mapigano yaanza tena karibu na matangi ya mafuta huko Tripoli, Libya

    Mapigano yaanza tena karibu na matangi ya mafuta huko Tripoli, Libya

    Sep 24, 2018 02:57

    Duru za kiusalama za Libya zimetangaza habari ya kuanza tena mapigano kandokando ya matangi ya mafuta huko Tripoli mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Mapigano yashtadi Libya, waliouawa Tripoli wapindukia 96

    Mapigano yashtadi Libya, waliouawa Tripoli wapindukia 96

    Sep 21, 2018 13:52

    Wizara ya Afya nchini Libya imetoa indhari juu ya kushadidi mapigano katika mji mkuu Tripoli, ambapo idadi ya waliouawa katika ghasia hizo imeongezeka na kufikia watu 96, wakiwemo raia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS