-
Shambulio la bomu Benghazi, Libya laua watu saba
May 25, 2018 06:55Kwa akali watu saba wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gari lililokuwa limesheheni mabomu kuripuka katika barabara yenye shughuli nyingi mjini Benghazi, mashariki mwa Libya.
-
Jenerali Khalifa Haftar ahimiza kuendelea mapambano dhidi ya magaidi Libya
May 23, 2018 13:56Mkuu wa vikosi vinavyoitwa Jeshi la Taifa la Libya amesema kuwa jeshi hilo litaendelea na operesheni zake za kupambana na magaidi katika mji wa Derna wa mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watu wanne wauawa, kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi nchini Libya
May 23, 2018 03:42Kwa akali watu wawili wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kufuatia shambulizi la bomu lililotekelezwa na kundi moja la kigaidi katika mji wa Ajdabia, mashariki mwa Libya.
-
Jeshi la Libya latangaza kulitia mbaroni kundi linalomuunga mkono Kanali Muammar Gaddafi
May 21, 2018 14:00Kundi lenye mafungamano na Baraza la Kuu la Serikali ya Maridhiano ya Kitaifa nchini Libya, limetangaza kuwatia mbaroni wanachama wanaouunga mkono utawala wa Kanali Muammar Gaddafi, kiongozi wa zamani wa nchi hiyo.
-
Mashambulizi dhidi ya maeneo ya magaidi yanaendelea nchini Libya
May 21, 2018 02:33Jeshi la taifa la Libya limetangaza kuwa, limeshambulia maficho kadhaa ya magaidi katika mji wa Derna wa mashariki mwa nchi hiyo.
-
Makumi ya maelfu wahajiri haramu wa Ghana wakwama nchini Libya
May 20, 2018 14:39Mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya wakimbizi nchini Libya amesema kuwa, kuna makumi ya maelfu ya wahajiri haramu wa Ghana waliokwama nchini Libya.
-
Hatua za kiusalama zachukuliwa kukabiliana na genge la Daesh nchini Libya
May 19, 2018 13:55Viongozi wa serikali ya Libya wametangaza kuchukua hatua zaidi za kiusalama kwa ajili ya kukabiliana na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ndani ya nchi hiyo.
-
Trump: Huenda kiongozi wa Korea Kaskazini akapatwa na hatima kama ya Gaddafi
May 19, 2018 04:13Rais Donald Trump wa Marekani amemuonya kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un kuwa huenda akapatwa na hatima kama iliyomfika kiongozi wa zamani wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, iwapo Pyongyang haitaachana na mradi wake wa silaha za nyuklia.
-
Watu 9 wauawa katika mapigano mapya mashariki mwa Libya
May 16, 2018 13:49Watu 9 wameuawa kwenye mapigano baina ya jeshi la Libya na magenge ya kigaidi katika mji wa Derna wa mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mamia ya wahajiri haramu waokolewa katika pwani za magharibi mwa Libya
May 13, 2018 15:46Wahajiri haramu wapatao 340 raia wa nchi tofauti za Afrika wameokolewa katika pwani za magharibi mwa Libya.