-
Uingiliaji wa kigeni, sababu kuu ya ukosefu wa amani nchini Libya
Apr 17, 2018 03:18Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Libya amekosoa uingiliaji wa madola ya kigeni na kusema kwamba, sababu kuu ya nchi hiyo kushuhudia ukosefu wa usalama na amani ni uingiliaji wa madola hayo katika masuala ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Siyala: Uingiliaji wa nchi ajinabi; chanzo kikuu cha machafuko Libya
Apr 15, 2018 14:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Libya amekosoa uingiliaji wa nchi ajinabii kuwa sababu kuu inayosababisha hali ya machafuko na ukosefu wa amani nchini humo.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya
Apr 11, 2018 12:46Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.
-
UN: Makundi ya wabeba silaha yanawatesa na kuwaua wafungwa katika jela za Libya
Apr 11, 2018 04:36Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.
-
Libya kuitisha kongamano la kitaifa
Apr 06, 2018 14:11Viongozi wa Libya wako mbioni kuandaa utangulizi wa mkutano wa kitaifa wenye lengo la kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Jeshi la Libya laanza kutekeleza operesheni dhidi ya kundi la kigaidi la DAESH
Apr 03, 2018 07:59Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya imetangaza kuwa jeshi lake limeanza kutekeleza operesheni ya mashambulio dhidi ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH magharibi mwa nchi hiyo.
-
Raia watano waliuawa Libya katika mapigano mwezi Machi
Apr 02, 2018 07:27Idara ya Umoja wa Mataifa nchini Libya, UNSMIL, imetoa taarifa na kusema raia watano waliuawa na wengine 11 kujeruhiwa nchini Libya katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita wa Machi.
-
UN: Ni hatari kufanyika uchaguzi sasa hivi nchini Libya
Apr 01, 2018 04:09Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amesema kuwa, ni hatari kufanyika uchaguzi katika mazingira ya hivi sasa nchini Libya.
-
Meya wa mji mkuu wa Libya, Tripoli atekwa nyara na kupelekwa kusikojulikana
Mar 29, 2018 15:33Kundi la watu wenye silaha limemteka nyara na kumpeleka kusikojulikana Meya wa mji mkuu wa Libya, Tripoli Abdulraouf Hassan Baitelmal.
-
Human Rights Watch yatoa wito wa kufanyika uchaguzi huru Libya
Mar 21, 2018 14:14Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limewataka viongozi wa Libya kuchukua hatua madhubuti ili kudhamini uchaguzi huru na wa haki katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.