-
Kamanda wa jeshi la Libya anayesakwa na ICC akamatwa
Aug 18, 2017 08:06Maafisa usalama mashariki mwa Libya wamemtia nguvuni kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya (LNA), siku chache baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa waranti wa wa kumatawa kwake kwa tuhuma za kuua makumi ya wafungwa
-
UNICEF: Watoto nusu milioni wa Libya wanahitaji msaada wa dharura
Aug 11, 2017 07:18Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema watoto zaidi ya laki tano nchini Libya wanakabiliwa na hali mbaya ya kibinadamu kutokana na mapigano ya pande hasimu za kisiasa nchini humo.
-
Der Spiegel: Mazingira ya kambi za wakimbizi Libya ni mabaya sana
Aug 07, 2017 07:56Imeelezwa kuwa, mazingira yanayotawala katika kambi za wakimbizi nchini Libya ni mabaya sana.
-
Italia: Vitisho vya Khalifa Haftar havitazuia operesheni zetu katika Bahari ya Mediterania
Aug 05, 2017 13:20Balozi wa Italia nchini Libya, Giuseppe Perrone amesema kuwa vitisho vilivyotolewa na kamanda wa Jeshi la Taifa la nchi hiyo Khalifa Haftar, havitazuia majukumu ya Italia katika maji ya eneo hilo.
-
Al Mijabri akosoa makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali ya umoja wa kitaifa na Italia
Aug 04, 2017 08:56Kamanda Mkuu wa jeshi la Libya mwenye mfungamano na serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya yenye makao yake katika mji mkuu Tripoli amekosoa makubaliano yaliyofikiwa kati ya Waziri Mkuu wa serikali hiyo na na Italia.
-
Maiti 8 za wahajiri zapatikana katika boti ya plastiki Libya
Aug 02, 2017 08:16Miili 8 ya wahajiri waliokuwa wakielekea barani Ulaya imepatikana ndani ya boti ya plastiki na wapiga mbizi wa shirika moja lisilo la serikali katika pwani ya Libya.
-
Mipaka ya Libya na Tunisia yatajwa kuwa maficho ya wanachama wa Daesh
Aug 02, 2017 02:37Mipaka ya Libya na Tunisia imetajwa kuwa maficho ya wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Serikali ya maridhiano ya kitaifa Libya yakaribisha kupitishwa rasimu ya katiba
Aug 01, 2017 03:21Fayez al-Sarraj, Waziri Mkuu wa serikali ya maridhiano ya kitaifa ya Libya amekaribisha kupitishwa rasimu ya katiba mpya na Baraza la Kutunga Katiba la nchi hiyo na kutoa wito wa kuitishwa kura ya maoni ya kupitisha rasmi katiba hiyo.
-
Juhudi za Italia za kuwepo katika pwani ya Libya kwa ajili ya kuzuia wimbi la wahajiri
Jul 30, 2017 07:46Italia imechukua uamuzi mpya wa kutuma kikosi cha Gadi ya Pwani ili kuwazuia wahajiri wanaotokea pwani ya Libya.
-
Kurejea kwa Seiful Islam katika ulingo wa siasa Libya, kifo cha uadilifu
Jul 29, 2017 07:41Kamanda wa Jeshi la Taifa la Libya, Jenerali Khalifa Haftar ametoa matamshi ya kustaajabisha pale alipodai kuwa, mwana wa dikteta wa zamani wa Libya, Seiful Islam Gaddafi anaweza kuwa na nafasi katika mustakbali wa kisiasa wa nchi hiyo.