Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wahaiti waandamana kulaani kauli ya kebehi ya Trump dhidi ya nchi yao

    Wahaiti waandamana kulaani kauli ya kebehi ya Trump dhidi ya nchi yao

    Jan 22, 2018 23:56

    Wananchi wa Haiti wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani katika mji mkuu wa nchi hiyo, Port-au-Prince, kulaani matamshi ya kudhalilisha na ya kibaguzi yaliyotolewa na Donald Trump hivi karibuni.

  • Polisi Kongo DR yajiweka tayari kuzima maandamano dhidi ya Kabila

    Polisi Kongo DR yajiweka tayari kuzima maandamano dhidi ya Kabila

    Jan 21, 2018 04:05

    Maafisa wa polisi wameonekana wakilinda doria katika kila kona ya mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa, masaa machache kabla ya kuanza maandamano ya kumshinikizi Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo aachie ngazi.

  • Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru

    Wanigeria waendeleza maandamano ya kutaka Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru

    Jan 20, 2018 03:37

    Wananchi wa Nigeria Ijumaa waliendeleza maandamano ya kutaka serikali ya nchi hiyo imuachilie Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Warohingya walioko Bangladesh wakataa kurejeshwa nchini Myanmar

    Warohingya walioko Bangladesh wakataa kurejeshwa nchini Myanmar

    Jan 19, 2018 10:23

    Mamia ya wakimbizi wa Kirohingya walioko nchini Bangladesh leo Ijumaa wamefanya maandamano wakipinga mpango wa kuwarejesha nchini Myanmar, ambako walikimbia mauaji na mashambulizi kutoka kwa jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali.

  • Ijumaa tarehe 19 Januari, 2018

    Ijumaa tarehe 19 Januari, 2018

    Jan 18, 2018 22:55

    Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Jamadil Awwal 1439 Hijria sawa na 19 Januari 2018.

  • Polisi Sudan watumia mabomu na bakora kuzima maandamano

    Polisi Sudan watumia mabomu na bakora kuzima maandamano

    Jan 16, 2018 11:08

    Maafisa usalama nchini Sudan wametumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji, wanaolalamikia ughali wa maisha na hali ngumu ya kiuchumi.

  • Bandera za Israel zachomwa moto kumkaribisha Netanyahu India

    Bandera za Israel zachomwa moto kumkaribisha Netanyahu India

    Jan 14, 2018 04:32

    Maandamano makubwa yameshuhudiwa katika mji mkuu wa India, New Delhi, kabla ya kuanza safari ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu katika nchi hiyo.

  • Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano

    Rais wa Tunisia afanya mkutano wa kusitisha maandamano

    Jan 14, 2018 04:23

    Rais wa Tunisia amevunja kimya chake na kufanya mkutano na vyama vya siasa, miungano ya wafanyakazi na shirikisho la waajiri kwa shabaha yan kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kiuchumi na maandamano yanayoshuhudiwa nchini humo kwa siku kadhaa sasa.

  • Maandamano ya kulalamikia mfumko wa bei yashtadi Tunisia

    Maandamano ya kulalamikia mfumko wa bei yashtadi Tunisia

    Jan 09, 2018 12:21

    Mtu mmoja ameuawa, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya wananchi wa Tunisia wanaolalamikia mfumko wa bei za bidhaa na kile wanachokitaja kama 'bajeti isiyo ya uadilifu'.

  • Wairani waandamana kupinga fujo na machafuko na kuunga mkono Mfumo wa Kiislamu

    Wairani waandamana kupinga fujo na machafuko na kuunga mkono Mfumo wa Kiislamu

    Jan 03, 2018 12:08

    Wananchi wa Iran kutoka pembe mbalimbali za nchi wamefanya maandamano hii leo kuuunga mkono Mfumo wa Kiislamu unaotawala sambamba na kulaani ghasia zinazoshuhudiwa katika baadhi ya maeneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS