Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wapinzani Kenya wakaidi amri na kuandamana kupinga tume ya uchaguzi

    Wapinzani Kenya wakaidi amri na kuandamana kupinga tume ya uchaguzi

    May 09, 2016 10:49

    Wafuasi wa muungano wa upinzani wa Cord nchini Kenya wamekaidi amri ya serikali na kuibua ghasia nje ya makao makuu ya Tume Huru ya Uchaguzi IEBC mjini Nairobi.

  • Wapalestina waandamana Ukanda wa Gaza kulaani mzingiro wa Israel

    Wapalestina waandamana Ukanda wa Gaza kulaani mzingiro wa Israel

    May 08, 2016 08:37

    Mamia ya wananchi wa Palestina wameingia mabarabarani kufanya maandamano ya kulaani mzingiro wa kibaguzi wa takriban mwongo mmoja uliowekwa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Bahrain waandamana kushinikiza kuachiwa Sh. Salman

    Wananchi wa Bahrain waandamana kushinikiza kuachiwa Sh. Salman

    Apr 30, 2016 03:28

    Kwa mara nyingine tena wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano katika barabara za nchi hiyo kushinikiza kuachiwa huru msomi mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Ali Salman.

  • Polisi Uganda: Maandamano ya upinzani hayana kibali

    Polisi Uganda: Maandamano ya upinzani hayana kibali

    Apr 30, 2016 03:27

    Polisi ya Uganda imeonya wafuasi wa upinzani nchini humo dhidi ya kushiriki maandamano ya Mei 5 na kusisitiza kuwa maandamano hayo hayajapata ridhaa ya serikali.

  • Wanaharakati: Mapambano Bahrain kuendelea hadi matakwa yatimizwe

    Wanaharakati: Mapambano Bahrain kuendelea hadi matakwa yatimizwe

    Apr 27, 2016 23:33

    Kiongozi wa mrengo wa Februari 14 nchini Bahrain amelaani wimbi la ukandamizaji na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya wananchi na kusisitiza kuwa mapambano ya wapinzani yataendelea hadi matakwa yao yote yatakapotimizwa.

  • Maandamano ya Siku ya Wafungwa wa Kipalestina

    Maandamano ya Siku ya Wafungwa wa Kipalestina

    Apr 17, 2016 23:41

    Mamia ya wananchi wa Palestina jana Jumapili walifanya maandamano katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Gaza katika maadhimisho ya Siku ya Wafungwa wa Kipalestina.

  • Maandamano dhidi ya serikali yafanyika Ghana

    Maandamano dhidi ya serikali yafanyika Ghana

    Apr 07, 2016 03:50

    Wananchi wa Ghana wameandamana katika mji wa katikati mwa nchi hiyo dhidi ya serikali.

  • Upinzani Kongo Brazzaville waitisha maandamano dhidi ya Rais Nguesso

    Upinzani Kongo Brazzaville waitisha maandamano dhidi ya Rais Nguesso

    Mar 27, 2016 10:03

    Viongozi wa upinzani nchini Kongo Brazzaville wameitisha maandamano ya nchi nzima kupinga kuchaguliwa tena Rais Denis Sassou Nguesso mwenye umri wa miaka 72.

  • Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi

    Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi

    Mar 26, 2016 03:42

    Maelfu ya wananchi wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo kukosoa kile walichokitaja kuwa njama za baadhi ya watu wanaojiita 'mashuhuri' nchini humo kutaka Uislamu usitambuliwe kuwa dini rasmi ya nchi hiyo.

  • Wamarekani waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni wa Israel

    Wamarekani waandamana kuupinga utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mar 21, 2016 03:48

    Idadi kubwa ya Mayahudi ambao ni wafuasi wa Kanisa la Orthodox pamoja na wanaharakati wa Kipalestina wameandamana nchini Marekani na kukusanyika mbele ya Ikulu ya White House wakiulaani utawala haramu wa Israel unaotenda jina kila leo dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS