-
Madagascar: Ushirikiano wetu na BRICS utatupa fursa mpya
Feb 24, 2026 22:54Rais wa mpito wa Madagascar, Michael Randrianirina amesema kwamba, nchi hiyo inatazama ushirikiano na jumuya ya BRICS kama njia ya kuelekea kwenye fursa mpya za kiuchumi na ushirikiano wa kimataifa.
-
Idadi ya waliofariki dunia kutokana na kimbunga nchini Madagascar imefikia 59
Feb 16, 2026 22:58Idara yaMaafa ya Majanga ya Kimaumbile ya Madagascar imetangaza kuwa hadi sasa watu 59 wamefariki dunia kutokana na kimbunga cha Gezani kilichoathiri maeneo ya pwani ya mashariki mwa nchi hiyo tarehe 10 mwezi huu huku watu 15 hawajulikani walipo. Wakati huo huo watu zaidi ya 16,000 wamepoteza makazi yao kufuatia kimbunga hicho.
-
Madagascar yatangaza kimbunga Gezani janga la kitaifa
Feb 15, 2026 04:27Serikali ya Madagascar jana ilitangaza kuwa kimbunga cha Gezani kilichoiathiri nchi hiyo ni janga la kitaifa. Kimbunga hicho cha kitropiki kmesasabisha vifo vya watu 43, majeruhi kadhaa, uharibifu wa miundombinu na makazi na hasara kubwa katika baadhi ya maeneo.
-
Machungu ya ukoloni; safari za kifo na jinai za kikatili za Ufaransa nchini Madagascar
Feb 13, 2026 22:48Madagascar, kisiwa kikubwa zaidi barani Afrika na makao ya jamii ya Malagasy, iliingia katika moja ya vipindi vya giza zaidi katika historia yake mwishoni mwa karne ya 19.
-
Kimbunga Gezani chaikumba Madagascar, chaua 20 na kujeruhi 33
Feb 11, 2026 22:59Kimbunga cha Tropiki cha Gezani kimepiga mji wa bandari wa Toamasina ulioko kwenye pwani ya mashariki mwa Madagascar, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine 33 katika jiji hilo la pili kwa ukubwa kwenye kisiwa hicho cha Bahari ya Hindi, huku mvua kali na upepo vikisababisha uharibifu mkubwa. Hayo ni kwa mujibu wa mamlaka husika ya nchi hiyo.
-
Mvua, mafuriko yaua na kujeruhi makumi ya watu Madagascar
Jan 07, 2026 06:46Wau wasiopungua 11 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na athari za mvua kubwa ambazo zimekuwa zikinyesha nchini Madagacar kwa wiki kadhaa sasa.
-
Madagascar yamvua uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo Rajoelina
Oct 25, 2025 11:21Rais wa zamani wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevuliwa uraia wake baada ya kuikimbia nchi hiyo mapema mwezi huu kufuatia maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana dhidi ya utawala wake.
-
Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Madagascar amteua mfanyabiashara kuwa waziri mkuu mpya
Oct 21, 2025 03:31Rais wa mpito wa Madagascar Kanali Michael Randrianirina amemteua mfanyabiashara Herintsalama Rajaonarivelo kuwa waziri mkuu mpya wa nchi hiyo na kumuapisha katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Ikulu ya Jimbo la Iavoloha.
-
AU yaisimamishia uanachama Madagascar kufuatia mapinduzi ya kijeshi
Oct 16, 2025 02:54Umoja wa Afrika umetengaza kuisimamishia unachama Madagascar "hadi utaratibu wa kikatiba utakaporejeshwa" baada ya mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Rais Andry Rajoelina.
-
Mahakama ya Madagascar "yamwita" kanali wa jeshi akachukue uongozi na kuitisha uchaguzi
Oct 15, 2025 02:32Mahakama ya Juu ya Katiba ya Madagascar jana Jumanne "ilimwita" kamanda wa Kituo cha Uendeshaji cha Wafanyakazi wa Jeshi (CAPSAT) Kanali Michael Randrianirina "akatekeleze kazi za mkuu wa nchi."