Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Madagascar yamvua uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo Rajoelina

    Madagascar yamvua uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo Rajoelina

    Oct 25, 2025 14:51

    Rais wa zamani wa Madagascar, Andry Rajoelina, amevuliwa uraia wake baada ya kuikimbia nchi hiyo mapema mwezi huu kufuatia maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana dhidi ya utawala wake.

  • Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Madagascar amteua mfanyabiashara kuwa waziri mkuu mpya

    Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Madagascar amteua mfanyabiashara kuwa waziri mkuu mpya

    Oct 21, 2025 07:01

    Rais wa mpito wa Madagascar Kanali Michael Randrianirina amemteua mfanyabiashara Herintsalama Rajaonarivelo kuwa waziri mkuu mpya wa nchi hiyo na kumuapisha katika hafla rasmi iliyofanyika kwenye Ikulu ya Jimbo la Iavoloha.

  • AU yaisimamishia uanachama Madagascar kufuatia mapinduzi ya kijeshi

    AU yaisimamishia uanachama Madagascar kufuatia mapinduzi ya kijeshi

    Oct 16, 2025 06:24

    Umoja wa Afrika umetengaza kuisimamishia unachama Madagascar "hadi utaratibu wa kikatiba utakaporejeshwa" baada ya mapinduzi yaliyomuondoa madarakani Rais Andry Rajoelina.

  • Mahakama ya Madagascar

    Mahakama ya Madagascar "yamwita" kanali wa jeshi akachukue uongozi na kuitisha uchaguzi

    Oct 15, 2025 06:02

    Mahakama ya Juu ya Katiba ya Madagascar jana Jumanne "ilimwita" kamanda wa Kituo cha Uendeshaji cha Wafanyakazi wa Jeshi (CAPSAT) Kanali Michael Randrianirina "akatekeleze kazi za mkuu wa nchi."

  • Rajoelina atangaza kulivunja Bunge la Madagascar akiwa 'mafichoni'

    Rajoelina atangaza kulivunja Bunge la Madagascar akiwa 'mafichoni'

    Oct 15, 2025 02:34

    Rais wa Madagascar anayesakamwa na mashinikizo ya kujiuzulu, Andry Rajoelina ametangaza kulivunja Bunge kufuatia wiki kadhaa za maandamano dhidi ya serikali yake kote nchini, akisema ni muhimu kurejesha utulivu na kutoa nafasi kwa vijana.

  • Wanajeshi wa Madagascar waungana na waandamanaji wanaoipinga serikali katika mji mkuu

    Wanajeshi wa Madagascar waungana na waandamanaji wanaoipinga serikali katika mji mkuu

    Oct 12, 2025 05:25

    Baadhi ya makundi ya wanajeshi wa Madagascar yamekaidi amri na kuungana na maelfu ya waandamanaji wanaoipinga serikali, ambao wamekusanyika katika mji mkuu, Antananarivo, huku maandamano ya kupinga utawala wa Rais Andry Rajoelina yakizidi kupamba moto.

  • Rais wa Madagascar afanya mazungumzo licha ya waandamanaji kususia

    Rais wa Madagascar afanya mazungumzo licha ya waandamanaji kususia

    Oct 09, 2025 07:13

    Rais Andry Rajoelina wa Madagascar jana aliyaalika makundi na asasi kadhaa za kiraia kwa ajili ya mazungumzo katika ikuu ya Rais.

  • Rais wa Madagascar amteua jenerali wa jeshi kuwa Waziri Mkuu mpya

    Rais wa Madagascar amteua jenerali wa jeshi kuwa Waziri Mkuu mpya

    Oct 07, 2025 03:11

    Rais Andriy Rajoelina wa Madagascar amemteua Jenerali Ruphin Fortunat Zafisambo kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo wiki moja baada ya kulivunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya wananchi ya siku kadhaa.

  • Maandamano yashtadi Madagascar huku Rais akishinikizwa kujiuzulu

    Maandamano yashtadi Madagascar huku Rais akishinikizwa kujiuzulu

    Oct 02, 2025 07:55

    Mitaa mbali ya Madagascar jana Jumatano ilishuhudia maandamano ya wananchi wanaoshinikiza kujiuzulu raia wa nchi hiyo. Polisi ya nchi hiyo kwa upande wake walichukua hatua za kuzuia kuibuka ghasia katika maandamano hayo.

  • Rais wa Madagascar avunja serikali sambamba na watu wasiopungua 22 kuuawa katika maandamano

    Rais wa Madagascar avunja serikali sambamba na watu wasiopungua 22 kuuawa katika maandamano

    Sep 30, 2025 07:05

    Rais wa Madagascar Andry Rajoelina ameivunja serikali yake siku ya Jumatatu kutokana na kupamba moto maandamano ya upinzani yanayoongozwa na vijana ya kulalamikia uhaba mkubwa wa maji na umeme, mgogoro ambao kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa umesababisha vifo vya watu wasiopungua 22 na kujeruhiwa zaidi ya 100 katika kile kinachotajwa kama changamoto kubwa zaidi kuukabili utawala wake baada ya miaka kadhaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS