Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • Kimbunga Batsirai kusababisha watu 150,000 kupoteza makazi Madagascar

    Kimbunga Batsirai kusababisha watu 150,000 kupoteza makazi Madagascar

    Feb 05, 2022 04:42

    Huenda watu 150,000 wakakosa pahala pa kuishi kutokana athari za Kimbunga cha Batsirai kinachotazamiwa kukipiga kisiwa cha Madagascar leo Jumamosi.

  • Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Jan 27, 2022 07:49

    Idara ya Kitaifa ya Kupambana na Majanga ya Malawi imesema watu 19 wamefariki dunia kutokana na kimbunga kikali cha kitropiki kilichopewa jina la Ana katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.

  • Kimbunga 'Ana' chaua watu 34 Madagascar, 2 Msumbiji

    Kimbunga 'Ana' chaua watu 34 Madagascar, 2 Msumbiji

    Jan 26, 2022 12:13

    Makumi ya watu wameaga dunia kutokana na kimbunga kikali kilichoipiga Madagascar kwa siku kadhaa sasa.

  • UN yatahadharisha: Madagascar inakaribia kukumbwa na njaa kutokana na ukame mkubwa

    UN yatahadharisha: Madagascar inakaribia kukumbwa na njaa kutokana na ukame mkubwa

    Sep 03, 2021 11:43

    Kisiwa cha Madagascar kinachopatikana katika Bahari ya Hindi barani Afrika kwa miaka minne sasa kimeathiriwa na ukame uliosabbaishwa na mabadiliko ya tabianchi. Watu nchini humo wanalazimika kula nzige na majani ya mwituni ili kubakia hai.

  • Majenerali wa kijeshi Madagascar waswekwa ndani kwa 'kutaka kumuua Rais'

    Majenerali wa kijeshi Madagascar waswekwa ndani kwa 'kutaka kumuua Rais'

    Aug 02, 2021 11:04

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Madagascar ametangaza habari ya kutiwa mbaroni majenerali watano wa jeshi na maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa polisi ya nchi hiyo wakituhumiwa kuhusika na njama iliyofeli ya kutaka kumuua Rais wa nchi hiyo, Andry Rajoelina.

  • Wafaransa wawili watiwa mbaroni kwa kufanya njama za kumuua rais wa Madagascar

    Wafaransa wawili watiwa mbaroni kwa kufanya njama za kumuua rais wa Madagascar

    Jul 22, 2021 11:17

    Duru za habari zimeripoti kutiwa mbaroni raia wawili wa Ufaransa kwa tuhuma za kufanya njama za kutaka kumuua Rais wa Madagascar.

  • Jumamosi, Juni 26, 2021

    Jumamosi, Juni 26, 2021

    Jun 26, 2021 02:28

    Leo ni Jumamosi tarehe 15 Mfunguo Pili Dhulqaada 1442 Hijria sawa 5 Tir mwaka 1400 Hijria Shamsiya inayosadifiana na Juni 26 mwaka 2021 Milaadia.

  • Wafungwa 20 wauawa katika jaribio la kutoroka gerezani Madagascar

    Wafungwa 20 wauawa katika jaribio la kutoroka gerezani Madagascar

    Aug 24, 2020 11:54

    Wafungwa 20 wameuawa katika makabiliano ya risasi baina yao na askari gereza katika jaribo la kukimbia jela nchini Madagascar.

  • Wabunge wawili na maseneta wawili wafariki dunia Madagascar kutokana na corona

    Wabunge wawili na maseneta wawili wafariki dunia Madagascar kutokana na corona

    Jul 13, 2020 13:02

    Wabunge wawili, seneta mmoja na naibu seneta wa Madagascar wameaga dunia kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.

  • Madagascar yaendelea kugawa dawa ya Corona licha ya kuwepo shaka na upinzani juu yake

    Madagascar yaendelea kugawa dawa ya Corona licha ya kuwepo shaka na upinzani juu yake

    May 10, 2020 04:11

    Licha ya kuwepo shaka na upinzani dhidi ya dawa inayodaiwa kutibu ugonjwa wa Covid-19, serikali ya Madagascar inaendelea kugawa dawa hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS