Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Madagascar

  • EU: Uchaguzi wa rais Madagascar ni wenye itibari

    EU: Uchaguzi wa rais Madagascar ni wenye itibari

    Nov 10, 2018 04:43

    Waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi wa rais uliomalizikka nchini Madagascar wamesema kuwa ukiukaji ulioshuhudiwa katika duru ya kwanza ya uchaguzi huo ulikuwa mdogo sana.

  • Kiongozi wa zamani Madagascar aongoza matokeo ya awali uchaguzi wa rais

    Kiongozi wa zamani Madagascar aongoza matokeo ya awali uchaguzi wa rais

    Nov 08, 2018 04:56

    Zoezi la kuhesabu kura katika uchaguzi wa rais limekuwa likiendelea mapema leo huko Madagascar huku kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Andry Rajoelina akiongoza matokeo ya awali kwa mujibu wa kura zilizohesabiwa katika vituo vichache nchini humo.

  • Kampeni za uchaguzi wa rais Madagascar zamalizika

    Kampeni za uchaguzi wa rais Madagascar zamalizika

    Nov 05, 2018 12:01

    Wagombea urais Madagascar wamemaliza kampeni zao leo huku upigaji kura ukitazamiwa kufanyika Jumatano tarehe saba.

  • Amnesty: Watu 52 wameaga dunia wakiwa kizuizini Madagascar

    Amnesty: Watu 52 wameaga dunia wakiwa kizuizini Madagascar

    Oct 23, 2018 10:00

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema watu 52 walifariki dunia katika mazingira ya kutatanisha wakiwa korokoroni wakisubiri kesi zao mwaka jana 2017 nchini Madagascar.

  • Rais wa Madagascar ajiuzulu ili kuwania urais mwezi Novemba

    Rais wa Madagascar ajiuzulu ili kuwania urais mwezi Novemba

    Sep 08, 2018 10:51

    Rais Hery Rajaonarimampianina wa Madagascar amejiuzulu, ili aweze kupata fursa ya kuwania urais kwa muhula wa pili mfululizo.

  • Rais wa sasa na wawili wa zamani wa Madagascar kugombea urais

    Rais wa sasa na wawili wa zamani wa Madagascar kugombea urais

    Aug 18, 2018 23:39

    Rais wa sasa wa Madagascar na watangulizi wake wawili watachuana katika kinyang'anyiro cha kuwania kiti cha rais wa nchi hiyo katika uchaguzi uliopangwa kufanyika tarehe 7 Novemba.

  • Jumanne tarehe 26 Juni, 2018

    Jumanne tarehe 26 Juni, 2018

    Jun 26, 2018 10:02

    Leo ni Jumanne tarehe 12 Shawwal 1439 Hijria saw ana Juni 26, 2018.

  • Waziri Mkuu wa Madagascar atangaza kujiuzulu

    Waziri Mkuu wa Madagascar atangaza kujiuzulu

    Jun 04, 2018 09:58

    Waziri Mkuu wa Madagascar, Olivier Mahafaly Solonandrasana ametangaza kujiuzulu wadhifa wake leo Jumatatu, ikiwa ni katika kufuata agizo la mahakama la kutaka kuundwa serikali mpya ya muungano wa kitaifa kwa ajili ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoendelea kutokota katika kisiwa hicho.

  • Jeshi la Madagascar latishia 'kuzima mgogoro wa kisiasa'

    Jeshi la Madagascar latishia 'kuzima mgogoro wa kisiasa'

    Jun 01, 2018 09:16

    Waziri wa Ulinzi wa Madagascar ametishia kuwa, ikilazimu, jeshi la nchi hiyo litaingilia kati iwapo serikali na upinzani zitashindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa nchini humo kwa muda sasa.

  • Amri ya Mahakama ya Katiba ya Madagascar ya kubuniwa nchini serikali ya umoja wa kitaifa

    Amri ya Mahakama ya Katiba ya Madagascar ya kubuniwa nchini serikali ya umoja wa kitaifa

    May 26, 2018 08:25

    Mahakama ya Katiba ya Madagascar imetoa amri ya kubuniwa serikali mpya ya umoja wa kitaifa kwa ajili ya kumaliza mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS