Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

makombora ya Iran

  • Meja Jenerali Mousavi: Tumeimarisha uwezo wa makombora yetu

    Meja Jenerali Mousavi: Tumeimarisha uwezo wa makombora yetu

    Feb 06, 2026 02:56

    Afisa mwandamizi wa Jeshi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imeimarisha mifumo yake ya kujilinda kwa kuboresha makombora ya balestiki yaliyotengenezwa ndani ya nchi.

  • "Uwezo wa makombora ya Iran umeimarika, tayari kukabili adui"

    Dec 24, 2025 02:40

    Msemaji wa Jeshi la Iran amesema kwamba, uwezo wa vikosi vya majini, ardhini, na makombora vya Jamhuri ya Kiislamu viko tayari kikamilifu kukabiliana na senario yoyote tarajiwa ya adui, akisisitiza kwamba Tehran bado haijatumia nguvu yake halisi ya makombora.

  • Iran yazindua makombora ya Emad, Ghadr yaliyoboreshwa

    Iran yazindua makombora ya Emad, Ghadr yaliyoboreshwa

    Oct 19, 2025 06:36

    Kikosi cha Wanaanga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimezindua makombora yaliyoboreshwa ya Emad na Ghadr katika miji ya makombora ya chini ya ardhi.

  • Mji wa Bat Yam umekuwa kama Gaza baada ya mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya Israel

    Mji wa Bat Yam umekuwa kama Gaza baada ya mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya Israel

    Jun 30, 2025 11:27

    Gazeti la Israel la lugha ya Kiibrania limeripoti kuwa mji wa Bat Yam katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) sasa unafanana na maeneo yaliyoathiriwa na vita ya Ukanda wa Gaza baada ya mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran dhidi ya utawala wa Israel.

  • IRGC: Tutazindua karibuni kombora la 'supersonic cruise'

    IRGC: Tutazindua karibuni kombora la 'supersonic cruise'

    Feb 11, 2025 02:46

    Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu karibuni hivi itazindua kombora la kisasa la cruise lenye uwezo wa kusafiri kwa mwendo kasi wa supersonic, lililotengenezwa na wataalamu wa humu nchini.

  • Ujue Mfumo wa Kisasa wa Iran wa Bavar 373 uliotumika kuzima hujuma ya Israel

    Ujue Mfumo wa Kisasa wa Iran wa Bavar 373 uliotumika kuzima hujuma ya Israel

    Nov 03, 2024 09:41

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika Makala hii ambayo huangazia baadhi ya matukio muhimu ya sayansi nchini Iran na maeneo mengine duniani. Leo Makala yetu maalumu itaangazia mfumo wa kujihami angani wa Iran ujulikanao kama Bavar 373 ambao uwezo wake mkubwa umewashangaza wengi duniani.

  • Kamanda: Iran inaona fakhari kumiliki makombora yanayopiga kilomita 2000

    Kamanda: Iran inaona fakhari kumiliki makombora yanayopiga kilomita 2000

    Sep 26, 2024 03:58

    Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran alisema amesema jeshi la Jamhuri ya Kiislamu linajivunia makombora yenye uwezo wa kupiga shabaha kwa usahihi mkubwa, umbali wa zaidi ya kilomita 2000.

  • Iran yazindua kombora la balestiki la masafa marefu

    Iran yazindua kombora la balestiki la masafa marefu

    Feb 13, 2024 03:11

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza habari ya kufanyia majaribio kwa mafanikio kombora la masafa marefu lililovurumishwa kutoka kwenye moja ya manowari za kivita za jeshi hilo la Iran.

  • Iran yazindua kombora la hypersonic la 'Fattah 2'

    Iran yazindua kombora la hypersonic la 'Fattah 2'

    Nov 19, 2023 13:21

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezindua kombora jipya la hypersonic lililopewa jina la 'Fattah 2'.

  • Muda wa vikwazo kwa makombora ya balestiki ya Iran umemalizika

    Muda wa vikwazo kwa makombora ya balestiki ya Iran umemalizika

    Oct 19, 2023 02:26

    Vikwazo kwa mradi wa makombora ya balestiki ya Iran vilivyokuwa vimewekwa na Umoja wa Ulaya vilifikia kikomo Jumatano ya jana Oktoba 18, chini ya Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo liliidhinisha mkataba wa nyuklia wa JCPOA wa mwaka 2015.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS