-
Iran yasema uwezo wake wa makombora ni kwa ajili ya kujilinda
Jul 07, 2018 03:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa hatua ya Iran ya kuimarisha uwezo wake wa makombora ni kwa ajili ya kujihami.
-
Uzalishaji wa makombora umeongezeka mara tatu Iran licha ya mashinikizo ya maadui
Mar 07, 2018 10:41Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uzalishaji wa makombora kwa ajili ya kujiimarisha kiulinzi umeongezeka mara tatu hapa nchini licha ya mashinikizo ya maadui wa taifa hili.
-
Iran: Hakuna yeyote anayeruhusiwa kujadiliana na maajinabi kuhusu uwezo wetu wa makombora
Mar 06, 2018 04:24Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna mtu yeyote aliye na haki au mamlaka ya kujadili au kufanya mazungumzo na madola ajinabi kuhusu uwezo wa makombora wa taifa hili.
-
Iran yakanusha madai ya kukubali mazungumzo kuhusu makombora
Jan 17, 2018 23:02Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekadhibisha ripoti iliyochapishwa kwenye gazeti la The Financial Times kuwa Tehran imekubali kuingia katika mazungumzo kuhusu mradi wake wa makombora.
-
Iran yafanyia majaribio kombora jipya la balistiki
Sep 23, 2017 04:38Iran imefanyia majaribio yaliyofana kombora lake jipya la masafa marefu la balistiki linalojulikana kama Khorramshahr, masaa machache tu baada ya kulizindua katika gwaride la kijeshi mjini Tehran.
-
Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki
Aug 26, 2017 02:31Korea Kaskazini imevurumisha makombora matatu ya masafa mafupi ya balistiki kuelekea pwani yake ya kaskazini.
-
Iran yafanyia majaribio makombora ya Neze’at-10 kwenye luteka ya 'Baitul Muqaddas 28'
May 22, 2016 11:51Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limefanyia majaribio makombora mawili yaliyopewa jina la Neze'at-10 katika mazoezi ya kijeshi yanayoendelea katikati mwa nchi.
-
Dehqan: Katu Iran haitasita kufanyia majaribio makombora
May 10, 2016 00:43Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema katu Jamhuri ya Kiislamu haitachoka kujiimarisha kiulinzi na kusisitiza kuwa haina nia au mpango wa kuacha kuyafanyia majaribio makombora yake.
-
Iran yafanyia majaribio kombora la balistiki
May 09, 2016 10:49Iran hivi karibuni ilifanyia majaribio kombora la balistiki lenye uwezo wa kuruka masafa ya kilomita 2,000 na kulenga shabaha kwa ustadi mkubwa.
-
Zarif: Hatuna cha kujadili kuhusu makombora ya Iran
Apr 10, 2016 03:21Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema katu Jamhuri ya Kiislamu haiwezi kufanya aina yoyote ya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora.