-
Ripoti: Sera mbovu za Trump ziliua maelfu ya Wamarekani
Feb 11, 2021 09:04Sera mbovu na ghalati za utawala uliopita wa Donald Trump nchini Marekani zilipelekea mamia ya maelfu ya Wamarekani kupoteza maisha.
-
Rouhani: Iran haijaona nia njema ya utawala mpya wa Marekani
Feb 11, 2021 08:59Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema taifa hili halijashuhudia nia njema wala mabadiliko ya kivitendo ya sera za Marekani mkabala wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Hashdu Shaabi kubuni mipango mipya ya kuwafukuza askari wa US Iraq
Feb 09, 2021 23:00Harakati ya kujitolea wananchi ya Hashdu Shaabi ya Iraq imeonya kuwa, iwapo wanajeshi vamizi wa Marekani hawataheshimu uamuzi wa bunge la nchi hiyo wa kuwataka waondoke, basi itazindua mipango mipya ya kuwatimua askari hao katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Wamarekani wana wasiwasi wa kuanza vita vya ndani sambamba na kukaribia kusailiwa kwa Trump
Feb 09, 2021 02:28Sambamba na kukaribia siku ya kuanza kikao cha kumsaili na kumshtaki aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump, raia wengi wa nchi hiyo wana wasiwasi wa kuanza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo.
-
Madai ya Marekani kuhusu kusitisha himaya yake katika vita dhidi ya Yemen
Feb 05, 2021 23:04Marekani na baadhi ya waitifaki wake wa Ulaya wamekuwa na nafasi kubwa katika kudumisha vita vya Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen vilivyoanza mwezi Machi mwaka 2015. Tangu wakati huo Marekani na waitifaki wake wamekuwa wakiisaidia Saudia na washirika wake kwa misaada ya aina mbalimbali ya silaha, upelelezi na misaada ya kilojistiki. Sasa serikali ya Washington inadai kuwa, inasitisha misaada hiyo.
-
Iran: Marekani ingali inakiuka azimio 2231 kwa vikwazo haramu
Feb 05, 2021 09:00Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Marekani inaendelea kukanyaga azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la umoja huo kwa kuliwekea taifa hili vikwazo kinyume cha sheria.
-
EU: Diplomasia ichukue nafasi ya mashinikizo ya kiwango cha juu
Feb 05, 2021 08:18Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema 'diplomasia ya kiwango cha juu' inapaswa kuchukua nafasi ya 'mashinikizo ya kiwango cha juu.'
-
Meja Jenerali Salami: Adui hawezi kuvumilia kuona Iran inastawi
Feb 04, 2021 23:23Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema maadui wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanahamaki na kushindwa kuvumilia hatua za maendeleo na ustawi zinazopigwa na taifa hili.
-
Waziri: Magaidi wa ndani ya Marekani ndilo tishio kubwa kwa usalama wetu
Feb 04, 2021 23:22Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani amekiri kwamba kuna magaidi ndani ya nchi hiyo na kwamba, magaidi hao ni tishio kubwa sana kwa nchi hiyo.
-
Misafara 2 ya kijeshi ya Marekani yashambuliwa nchini Iraq
Feb 04, 2021 23:21Duru za kiusalama zimeripoti habari ya kushambuliwa misafara miwili ya kilojistiki ya jeshi vamizi la Marekani katikati na kusini mwa Iraq.