Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mashia

  • Waislamu 10 wauawa Nigeria katika kumbukumbu ya Ashura

    Waislamu 10 wauawa Nigeria katika kumbukumbu ya Ashura

    Oct 12, 2016 15:59

    Watu wasiopungua 10 wameuawa leo katika mapigano yaliyotokea baina ya jeshi la Nigeria na Waislamu waliokuwa katika maombolezo na kumbukumbu ya mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein bin Ali katika jimbo la Katsina huko kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Jeshi la Nigeria lawazingira Waislamu wa madehebu ya Shia katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Jeshi la Nigeria lawazingira Waislamu wa madehebu ya Shia katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Oct 12, 2016 04:24

    Jeshi la Nigeria limewazingria Waislamu wa madheebu ya Shia waliokuwa wamekusanyika msikitini katika hafla ya maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS.

  • Bahrain yawahujumu Mashia wanaoomboleza

    Bahrain yawahujumu Mashia wanaoomboleza

    Oct 08, 2016 14:14

    Kwa mara nyingine tena vyombo vya usalama vya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain vimewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia wanaojumuika katika sehemu mbali mbali kwa ajili ya marasimu ya Ashura.

  • Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Oct 04, 2016 07:59

    Wanazuoni wakuu wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na watawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehenu ya Shia hususan wakati huu wanapofanya marasimu mbali mbali ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW.

  • Amnesty International yakosoa kukandamizwa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain

    Amnesty International yakosoa kukandamizwa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain

    Sep 02, 2016 04:16

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limekosoa na kulaani ukandamizaji mkubwa unaofanywa na utawala wa Bahrain dhidi ya Waislamu wa Kishia wa nchi hiyo.

  • Kuendelea dhuma dhidi ya Waislamu wa Kishia Bahrain

    Kuendelea dhuma dhidi ya Waislamu wa Kishia Bahrain

    Aug 22, 2016 03:57

    Shirika la pamoja la kutetea haki za binadamu na demokrasia la Bahrain na Ujerumani limeripoti kuwa utawala wa Aal Khalifa umewaita kuwasaili maulamaa 70 wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • UN yaitaka Bahrain ikomeshe ukandamizaji dhidi ya Mashia

    UN yaitaka Bahrain ikomeshe ukandamizaji dhidi ya Mashia

    Aug 16, 2016 15:23

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameutaka utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain uache kuwakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia na kusisitiza kuwa dhulma hizo ni ukiukaji wa haki za msingi za binadamu.

  • Shakhsia wa kidini Bahrain wazidi kuswekwa korokoroni

    Shakhsia wa kidini Bahrain wazidi kuswekwa korokoroni

    Aug 07, 2016 13:16

    Polisi ya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain imewatia mbaroni wanazuoni wanne mashuhuri wa Kiislamu, katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa dhulma na ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Bahrain yaendeleza ubabe, yamkamata kiongozi mwingine wa Kiislamu

    Bahrain yaendeleza ubabe, yamkamata kiongozi mwingine wa Kiislamu

    Jul 30, 2016 08:10

    Licha ya makelele ya jamii ya kimataifa na watetezi wa haki za binadamu, utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain umemtia nguvuni kiongozi mwingine wa Kiislamu.

  • Maandamano ya Waislamu nchini Pakistan

    Maandamano ya Waislamu nchini Pakistan

    Jul 23, 2016 13:47

    Maelfu ya wananchi wa Pakistan wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kupinga mauaji ya Waislamu wenzao wa madhehebu ya Shia na serikali ya nchi hiyo kushindwa kuwachukulia hatua wahusika wa mauaji hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS