Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Imam wa msikiti auawa katika shambulio la kigaidi mkoani Sistan na Baluchistan kusini mwa Iran

    Imam wa msikiti auawa katika shambulio la kigaidi mkoani Sistan na Baluchistan kusini mwa Iran

    Nov 04, 2022 06:45

    Mkuu wa Polisi wa Sistan na Baluchistan ya Iran amesema: Kabla ya Sala ya Magharibi hapo jana Imamu wa msikiti wa Moulay-e-Mottaqian katika mji wa Zahedan, kusini mashariki mwa Iran, aliuawa shahidi kwa kupigwa risasi na magaidi.

  • Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

    Ukosoaji mkali wa Putin kwa mauaji ya kigaidi ya shahidi Luteni Jenerali Soleimani

    Oct 29, 2022 11:15

    Akizungumza juzi Alhamisi katika Kongamano la Valdai, Rais Vladmir Putin wa Russia amekosoa mfumo na siasa za Magharibi na kueleza kuwa nchi za Magharibi zilimuua Luteni Jenerali Soleimani; katika hali ambayo shakhsia huyo alikuwa kiongozi rasmi nchini mwake na kuongeza kwamba Wamagharibi si tu hawajakana jambo hilo bali wanajifakharisha nalo.

  • Wanamgambo wa ADF washambulia vituo vya afya na kuua watu 7 DRC

    Wanamgambo wa ADF washambulia vituo vya afya na kuua watu 7 DRC

    Oct 21, 2022 11:28

    Watu wasiopungua saba wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha katika eneo moja la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Askari walinda amani 3 wa UN wauawa nchini Mali

    Askari walinda amani 3 wa UN wauawa nchini Mali

    Oct 18, 2022 07:46

    Askari watatu walinda amani wa Umoja wa Mataifa wameuawa baada ya msafara wao wa magari kukanyaga bomu huko kaskazini mwa Mali.

  • Wanajeshi 7 wa Djibouti wauawa katika shambulio la wabeba silaha

    Wanajeshi 7 wa Djibouti wauawa katika shambulio la wabeba silaha

    Oct 09, 2022 14:34

    Askari saba wa jeshi la Djibouti wameuawa katika shambulio la genge moja la waasi wanaobeba silaha kaskazini mwa nchi.

  • Maelfu waandamana Uingereza kulaani mauaji ya raia mweusi

    Maelfu waandamana Uingereza kulaani mauaji ya raia mweusi

    Sep 11, 2022 12:06

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza, London kulaani mauaji ya mtu mmoja mwenye asili ya Afrika yaliyofanywa na askari polisi wa nchi hiyo.

  • Kadhaa wauawa katika mapigano mapya ya kikabila Blue Nile, Sudan

    Kadhaa wauawa katika mapigano mapya ya kikabila Blue Nile, Sudan

    Sep 02, 2022 12:00

    Kwa akali watu saba wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila yaliyozuka katika jimbo la Blue Nile, kusini mwa Sudan.

  • Magaidi wa ADF waua wanavijiji 40 mashariki ya DRC

    Magaidi wa ADF waua wanavijiji 40 mashariki ya DRC

    Aug 31, 2022 07:27

    Raia wasiopungua 40 wameuawa katika wimbi la mashambulzi yaliyofanywa na kundi moja la kigaidi mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine

    Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine

    Aug 24, 2022 09:38

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu zake za rambirambi kwa wazazi wa Darya Dugina, binti ya Alexander Dugin, mwananadharia mashuhuri wa Russia. Putin ameutaja uhalifu huo kuwa "mbaya na ukatili" na akamuelezea Darya Dugina kama mtu aliyekuwa mwerevu, mwenye talanta na moyo wa kweli wa utaifa wa Russia.

  • Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7

    Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7

    Aug 05, 2022 01:14

    Mamia ya raia wameuawa na askari polisi wa Marekani tokea mwanzoni mwaka huu 2022 hadi sasa, huku duru mbalimbali zikiendelea kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya raia hususan Wamarekani wenye asili ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS