Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yakosoa wito wa Trump wa kutaka meli za US kupita mfereji wa Suez bila malipo

    Misri yakosoa wito wa Trump wa kutaka meli za US kupita mfereji wa Suez bila malipo

    Apr 29, 2025 23:00

    Wito wa hivi karibuni wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kutaka meli za nchi hiyo zipitie bila malipo kwenye Mfereji wa Suez umezusha shutuma nyingi nchini Misri, ambapo wataalamu wa masuala ya sheria, viongozi wa kisiasa na wananchi wamekosoa vikali matamshi hayo, wakisema kuwa hayana msingi kisheria, na ni tishio kubwa kwa nidhamu ya kimataifa.

  • Rais wa Misri kwa mara nyingine apinga kuhamishwa Wapalestina Gaza

    Rais wa Misri kwa mara nyingine apinga kuhamishwa Wapalestina Gaza

    Apr 25, 2025 23:08

    Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi jana Ijumaa alisisitiza kwa mara nyingine tena kwamba nchi hiyo ya Kiarabu "inapinga kikamilifu" kufurushwa Wapalestina kwenye makazi yao na kuhamishiwa katika nchi nyingine, na kuvitaja vita vya Gaza kuwa "janga la kibinadamu."

  • Misri na Djibouti zalaani mashambulizi mapya ya Israel katika Ukanda wa Gaza

    Misri na Djibouti zalaani mashambulizi mapya ya Israel katika Ukanda wa Gaza

    Apr 24, 2025 07:17

    Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi na mwenzake wa Djibouti, Ismail Omar Guelleh wametangaza uungaji mkono wao kwa juhudi za kumaliza vita katika Ukanda wa Gaza, na kulinda usalama wa baharini katika Bahari Nyekundu.

  • Papa wa Misri: Wapalestina wa Gaza wanakabiliwa na dhulma za kuogofya

    Papa wa Misri: Wapalestina wa Gaza wanakabiliwa na dhulma za kuogofya

    Apr 20, 2025 22:56

    Papa Tawadros II, Kiongozi wa Kanisa la Kiorthodoksi la Coptic la Misri, amelaani vikali mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kama "moja ya aina mbaya zaidi za dhuluma" dhidi ya Wapalestina.

  • Misri yapinga madai ya Marekani kuhusu Ukanda wa Gaza

    Misri yapinga madai ya Marekani kuhusu Ukanda wa Gaza

    Apr 19, 2025 02:42

    Jumuiya ya Wahandishi wa Misri imepinga madai ya Marekani kuhusu Ukanda wa Gaza

  • Viongozi wa Misri na Qatar wakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani nchini Oman

    Viongozi wa Misri na Qatar wakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani nchini Oman

    Apr 14, 2025 23:46

    Rais wa Misri na Amir wa Qatar wametoa taarifa baada ya mazungumzo yao huko Doha, mji mkuu wa Qatar na kukaribisha mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani huko Oman.

  • Misri: Tunatumai mazungumzo ya Iran na Marekani yatasaidia kupunguza mivutano

    Misri: Tunatumai mazungumzo ya Iran na Marekani yatasaidia kupunguza mivutano

    Apr 13, 2025 07:04

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa inatarajiwa mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yataanzisha awamu mpya itakayosaidia kuimarisha amani na kupunguza mivutano katika eneo la Magharibi mwa Asia kwa ujumla hususan Ukanda wa Gaza.

  • Maelfu ya Wamisri waandamana Sinai kuiunga mkono Palestina

    Maelfu ya Wamisri waandamana Sinai kuiunga mkono Palestina

    Apr 09, 2025 10:12

    Maelfu ya wananchi wa Misri kutoka majimbo mbalimbali wamekusanyika karibu na Uwanja wa Ndege wa El-Arish katika Mkoa wa Sinai Kaskazini wakitangaza kuunga mkono kadhia ya Palestina na kupinga jaribio lolote la kuwafurusha Wapalestina kutoka katika ardhi zao.

  • Serikali ya DRC na waasi wa M23 kufanya mazungumzo ya kwanza Aprili 9 nchini Qatar

    Serikali ya DRC na waasi wa M23 kufanya mazungumzo ya kwanza Aprili 9 nchini Qatar

    Apr 02, 2025 07:08

    Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepanga kufanya mazungumzo ya kwanza kabisa na kundi la waasi wa M23, April 9 mwaka huu katika mji mkuu wa Qatar, Doha kwa lengo la kufikia mwafaka wa kurejesha amani katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo.

  • Watalii kadhaa wafa maji baada ya nyambizi kuzama katika Bahari Nyekundu

    Watalii kadhaa wafa maji baada ya nyambizi kuzama katika Bahari Nyekundu

    Mar 28, 2025 03:42

    Raia sita wa Russia wamepoteza maisha huku watalii 39 wa kigeni wakiokolewa wakati nyambizi ya kitalii ilipozama kwenye eneo la kitalii la Hurghada kwenye maji ya Bahari Nyekundu pwani ya Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS