Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Wanaharakati Misri wataka kuachiwa huru wapinzani

    Wanaharakati Misri wataka kuachiwa huru wapinzani

    Aug 28, 2018 04:35

    Muungano wa wanaharakati wa kisekulari na mrengo wa kushoto nchini Misri umekemea hatua ya vyombo vya usalama nchini humo ya kuwatia nguvuni shakhsia kadhaa wa upinzani na kutoa wito wa kuachiwa huru wafungwa wote wasiokabiliwa na tuhuma za kuhusika na machafuko.

  • Saudia inadhamini nakisi ya bajeti yake kwa kuongeza gharama za Hija

    Saudia inadhamini nakisi ya bajeti yake kwa kuongeza gharama za Hija

    Aug 18, 2018 23:38

    Saudi Arabia inakidhi nakisi ya bajeti yake ya mwaka kwa kuzidisha gharama za ibada ya Hija, suala ambalo limewakasirisha mahujaji kutoka nchi mbalimbali hususan mahujaji kutoka Misri.

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Serikali ya al Sisi inakandamiza wapinzani

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Serikali ya al Sisi inakandamiza wapinzani

    Aug 16, 2018 23:19

    Jumuiya saba za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimeikosoa serikali ya nchi hiyo zikisisitiza kuwa mienendo yake dhidi ya wapinzani inakiuka sheria.

  • Kiongozi wa Ikhwanul Muslimina ahukumiwa kifungo cha maisha jela, Misri

    Kiongozi wa Ikhwanul Muslimina ahukumiwa kifungo cha maisha jela, Misri

    Aug 12, 2018 22:22

    Kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimina ya Misri na maafisa wengine kadhaa wa ngazi za juu wa harakati hiyo wamehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa tuhuma za kuchochea mauaji na machafuko katika ghasia zilizotokea nchini humo miaka mitano iliyopita.

  • Al Sisi aanza mikakati ya kurefusha kipindi cha urais Misri

    Al Sisi aanza mikakati ya kurefusha kipindi cha urais Misri

    Aug 06, 2018 21:49

    Rais Abdul Fattah al Sisi wa Misri ameanzisha mikakati ya kurefusha kipindi cha rais wa nchi hiyo kutoka vipindi viwili hadi vitatu.

  • Wanamgambo 52 wauawa Sinai Misri

    Wanamgambo 52 wauawa Sinai Misri

    Aug 05, 2018 11:11

    Jeshi la Misri limetangaza kuwa limefanikiwa kuua wanamgambo 52 katika siku za hivi karibuni kwenye eneo la kaskazini mwa Rasi ya Sinai.

  • Gazeti la Al-Ahram: Siku zote Trump anaibua mgogoro duniani

    Gazeti la Al-Ahram: Siku zote Trump anaibua mgogoro duniani

    Aug 03, 2018 02:52

    Gazeti la Al-Ahram la nchini Misri limeashiria siasa za Rais Donald Trump wa Marekani duniani kwa kuandika kuwa, daima Trump anazusha migogoro duniani.

  • Askari wa Misri waliotekwa nyara Libya wakombolewa

    Askari wa Misri waliotekwa nyara Libya wakombolewa

    Jul 31, 2018 09:15

    Maafisa usalama wa Sudan wametangaza kuwa wanajeshi wa Misri waliokuwa wametekwa nyara katika mpaka wa kusini mwa Libya wamekombolewa.

  • Misri yatoa hukumu ya kunyongwa wafuasi 75 wa Ikhwanul Muslimin

    Misri yatoa hukumu ya kunyongwa wafuasi 75 wa Ikhwanul Muslimin

    Jul 28, 2018 09:36

    Mahakama ya Misri leo imetoa hukumu ya kunyongwa wafuasi 75 wa chama cha Ikhwanul Muslimin na sasa hukumu hiyo inasubiri idhini ya mufti wa nchi hiyo kabla ya kutekelezwa.

  • Rais wa Misri asaini sheria inayowapa kinga majenerali wa jeshi

    Rais wa Misri asaini sheria inayowapa kinga majenerali wa jeshi

    Jul 27, 2018 03:16

    Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameidhinisha sheria inayowapa kinga ya kufikishwa mahakamani majenerali wa jeshi wanaohusishwa na machafuko yaliyotokea baada ya mapinduzi ya Rais wa kwanza kuchaguliwa kwa njia za kidemokrasia nchini humo; siku 10 baada ya Bunge la nchi hiyo kupasisha kwa kishindo muswada wa sheria hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS