-
Wanaharakati Misri wataka kuachiwa huru wapinzani
Aug 28, 2018 04:35Muungano wa wanaharakati wa kisekulari na mrengo wa kushoto nchini Misri umekemea hatua ya vyombo vya usalama nchini humo ya kuwatia nguvuni shakhsia kadhaa wa upinzani na kutoa wito wa kuachiwa huru wafungwa wote wasiokabiliwa na tuhuma za kuhusika na machafuko.
-
Saudia inadhamini nakisi ya bajeti yake kwa kuongeza gharama za Hija
Aug 18, 2018 23:38Saudi Arabia inakidhi nakisi ya bajeti yake ya mwaka kwa kuzidisha gharama za ibada ya Hija, suala ambalo limewakasirisha mahujaji kutoka nchi mbalimbali hususan mahujaji kutoka Misri.
-
Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Serikali ya al Sisi inakandamiza wapinzani
Aug 16, 2018 23:19Jumuiya saba za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimeikosoa serikali ya nchi hiyo zikisisitiza kuwa mienendo yake dhidi ya wapinzani inakiuka sheria.
-
Kiongozi wa Ikhwanul Muslimina ahukumiwa kifungo cha maisha jela, Misri
Aug 12, 2018 22:22Kiongozi wa harakati ya Ikhwanul Muslimina ya Misri na maafisa wengine kadhaa wa ngazi za juu wa harakati hiyo wamehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa tuhuma za kuchochea mauaji na machafuko katika ghasia zilizotokea nchini humo miaka mitano iliyopita.
-
Al Sisi aanza mikakati ya kurefusha kipindi cha urais Misri
Aug 06, 2018 21:49Rais Abdul Fattah al Sisi wa Misri ameanzisha mikakati ya kurefusha kipindi cha rais wa nchi hiyo kutoka vipindi viwili hadi vitatu.
-
Wanamgambo 52 wauawa Sinai Misri
Aug 05, 2018 11:11Jeshi la Misri limetangaza kuwa limefanikiwa kuua wanamgambo 52 katika siku za hivi karibuni kwenye eneo la kaskazini mwa Rasi ya Sinai.
-
Gazeti la Al-Ahram: Siku zote Trump anaibua mgogoro duniani
Aug 03, 2018 02:52Gazeti la Al-Ahram la nchini Misri limeashiria siasa za Rais Donald Trump wa Marekani duniani kwa kuandika kuwa, daima Trump anazusha migogoro duniani.
-
Askari wa Misri waliotekwa nyara Libya wakombolewa
Jul 31, 2018 09:15Maafisa usalama wa Sudan wametangaza kuwa wanajeshi wa Misri waliokuwa wametekwa nyara katika mpaka wa kusini mwa Libya wamekombolewa.
-
Misri yatoa hukumu ya kunyongwa wafuasi 75 wa Ikhwanul Muslimin
Jul 28, 2018 09:36Mahakama ya Misri leo imetoa hukumu ya kunyongwa wafuasi 75 wa chama cha Ikhwanul Muslimin na sasa hukumu hiyo inasubiri idhini ya mufti wa nchi hiyo kabla ya kutekelezwa.
-
Rais wa Misri asaini sheria inayowapa kinga majenerali wa jeshi
Jul 27, 2018 03:16Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameidhinisha sheria inayowapa kinga ya kufikishwa mahakamani majenerali wa jeshi wanaohusishwa na machafuko yaliyotokea baada ya mapinduzi ya Rais wa kwanza kuchaguliwa kwa njia za kidemokrasia nchini humo; siku 10 baada ya Bunge la nchi hiyo kupasisha kwa kishindo muswada wa sheria hiyo.