Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Jumatatu tarehe 18 Disemba 2017

    Jumatatu tarehe 18 Disemba 2017

    Dec 18, 2017 01:14

    Leo ni Jumatatu tarehe 29 Rabiul Awwal 1439 Hijria sawa na tarehe 18 Disemba 2017.

  • Sisisitizo la Ufaransa na Misri la kuimarisha uhusiano wao wa kijeshi

    Sisisitizo la Ufaransa na Misri la kuimarisha uhusiano wao wa kijeshi

    Dec 17, 2017 08:57

    Paris na Cairo zimesisitizia azma yao ya kuimarisha ushirikiano baina yao katika nyuga tofauti za kijeshi na kiusalama.

  • Al Azhar yataka kufanyika mkutano wa kimataifa kujadili suala la Quds

    Al Azhar yataka kufanyika mkutano wa kimataifa kujadili suala la Quds

    Dec 10, 2017 10:57

    Sheikh Mkuu wa al Azhar ya Misri ametahadharisha kuhusu taathira za uamuzi wa Trump wa kuutambua rasmi mji mtakatifu wa Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni na kutaka kufanyika mkutano wa kimataifa wa kujadili suala hilo.

  • Mkuu wa Wakristo wa Misri akataa kuonana na Naibu wa Trump

    Mkuu wa Wakristo wa Misri akataa kuonana na Naibu wa Trump

    Dec 09, 2017 23:25

    Mkuu wa Wakristo wa Qibti nchini Misri amekataa kuonana na Makamu wa Rais wa Marekani, Mike Pence, kutokana na Donald Trump kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa eti ni mji mkuu wa Israel.

  • Sheikh Mkuu wa Azhar afuta mkutano na Makamu wa Rais wa Marekani

    Sheikh Mkuu wa Azhar afuta mkutano na Makamu wa Rais wa Marekani

    Dec 09, 2017 03:59

    Imam Mkuu wa Msikiti wa al Azhar nchini Misri amefutilia mbali mkutano uliotazamiwa kufanyika hivi karibuni kati yake na Makamu wa Rais wa Marekani, Mike Pence, ikiwa ni radiamali kwa kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Misri, Algeria, Tunisia zalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Misri, Algeria, Tunisia zalaani uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Dec 07, 2017 04:05

    Nchi za Kiafrika za Misri, Tunisia na Algeria zimetoa taarifa tofauti za kulaani uamuzi wa rais wa Marekani, Donald Trump wa kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Misri yamuonya Trump dhidi ya kuvuruga mambo Mashariki ya Kati

    Misri yamuonya Trump dhidi ya kuvuruga mambo Mashariki ya Kati

    Dec 06, 2017 04:20

    Rais Abdulfattah al-Sisi wa Misri amemtahadharisha mwenzake wa Marekani Donald Trump dhidi ya kuhamishia ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv hadi mji mtukufu wa Quds, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Jeshi la Misri laangamiza magaidi 5 kaskazini mwa Cairo

    Jeshi la Misri laangamiza magaidi 5 kaskazini mwa Cairo

    Dec 05, 2017 04:36

    Jeshi la Misri limefanikiwa kuangamiza wanachama watano wa magenge ya ukufurishaji baada ya kushambulia maficho yao kaskazini mwa mji mkuu, Cairo.

  • Uzayuni wa kimataifa ndio uliofanya shambulizi la kigaidi Sinai Misri

    Uzayuni wa kimataifa ndio uliofanya shambulizi la kigaidi Sinai Misri

    Nov 29, 2017 12:53

    Mchambuzi mkuu wa gazeti kubwa zaidi binafsi la nchini Misri amesema kuwa, Uzayuni wa kimataifa ndio uliohusika katika mauaji ya umati yaliyofanyika Ijumaa iliyopita katika msikiti mmoja mkubwa kwenye Rasi ya Sinai, kaskazini mwa Misri.

  • Shakhsia 270 wa kisiasa wa Misri waanzisha kampeni ya kususia uchaguzi ujao wa rais

    Shakhsia 270 wa kisiasa wa Misri waanzisha kampeni ya kususia uchaguzi ujao wa rais

    Nov 29, 2017 01:35

    Mamia ya shakhsia wa kisiasa nchini Misri wameanzisha kampeni maalumu ya kuwahamasisha wananchi wasusie kushiriki uchaguzi ujao wa rais wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS