Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mripuko

  • Watu kumi wafariki dunia katika mlipuko wa bomu nchini Ethiopia

    Watu kumi wafariki dunia katika mlipuko wa bomu nchini Ethiopia

    Dec 20, 2018 07:54

    Kwa akali watu 10 wamefariki dunia nchini Ethiopia na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa kando ya barabara moja magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mripuko katika mji mkuu wa Somalia waua watu wanane na kujeruhi wengine 10

    Mripuko katika mji mkuu wa Somalia waua watu wanane na kujeruhi wengine 10

    Nov 26, 2018 15:47

    Jeshi la polisi nchini Somalia limetangaza habari ya kuuawa na kujeruhiwa watu wasiopungua 18 baada ya gari lililokuwa limetegwa mabomu kuripuka mjini Mogadishu leo Jumatatu.

  • Mbunge auawa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Mbunge auawa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Nov 08, 2018 15:48

    Polisi ya Somalia imesema mbunge mmoja wa eneo la HirShabelle amepoteza maisha katika mripuko wa bomu uliotokea adhuhuri ya leo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Mripuko wa bomu Sinai, Misri waua wafanyakazi watatu

    Mripuko wa bomu Sinai, Misri waua wafanyakazi watatu

    Oct 25, 2018 13:52

    Wafanyakazi watatu raia wa Misri wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea leo Alkhamisi katika eneo linalokumbwa na misukosuko na ukosefu wa usalama la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watu 50 wafa, 100 wachomwa na moto wa lori la mafuta DRC

    Watu 50 wafa, 100 wachomwa na moto wa lori la mafuta DRC

    Oct 06, 2018 15:29

    Watu wasiopungua 50 wamepoteza maisha na wengine 100 wamepata majeraha ya moto baada ya lori la mafuta lililopinduka kuanza kuwaka moto huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanajeshi 8 wauawa katika mripuko kaskazini mwa Burkina Faso

    Wanajeshi 8 wauawa katika mripuko kaskazini mwa Burkina Faso

    Sep 27, 2018 03:00

    Askari wanane wa jeshi la Burkina Faso wamepoteza maisha kufuatia mripuko wa bomu uliotokea jana Jumatano kaskazini mwa nchi.

  • Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Sep 02, 2018 13:23

    Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya gaidi mmoja kushambulia kwa bomu ofisi ya serikali za mitaa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Wanajeshi 3 Wasomali wauawa katika hujuma ya kigaidi nje ya Mogadishu

    Wanajeshi 3 Wasomali wauawa katika hujuma ya kigaidi nje ya Mogadishu

    Aug 05, 2018 15:33

    Wanajeshi wasiopungua watatu wa Somalia wameuawa kufuatia hujuma ya kigaidi katika wilaya ya Afgoye iliyo kilomita 30 kaskaini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Jumatano Julai 25, 2018

    Jumatano Julai 25, 2018

    Jul 25, 2018 01:18

    Leo ni Jumatano tarehe 11 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 25, 2018.

  • Mripuko wa bomu watokea karibu na ikulu ya rais wa Somalia

    Mripuko wa bomu watokea karibu na ikulu ya rais wa Somalia

    Jul 07, 2018 14:25

    Polisi ya Somalia imetangaza habari ya kutokea mripuko wa bomu karibu na ikulu ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa nchi hiyo mjini Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS