Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Picha za satalaiti zaonyesha nyumba za Waislamu wa Mynamar zikichomwa moto

    Picha za satalaiti zaonyesha nyumba za Waislamu wa Mynamar zikichomwa moto

    May 27, 2020 03:50

    Shirika la kutetea haki za binadmau la Human Rights Watch (HRW) limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi baada ya picha za satalaiti kuonyesha nyumba za Waislamu katika mkoa wa Rakhine nchini Mynamar zikiteketea kwa moto.

  • Waislamu Warohingya waliotangatanga baharini kwa miezi kadhaa wapelekwa kisiwa kisichokalika cha Bangladesh

    Waislamu Warohingya waliotangatanga baharini kwa miezi kadhaa wapelekwa kisiwa kisichokalika cha Bangladesh

    May 04, 2020 14:17

    Waislamu Warohingya kadhaa waliokuwa wakitanga tanga baharini kwa miezi kadhaa hatimaye wamepelekwa kwenye kisiwa kimoja cha mbali katika Ghuba ya Bengal.

  • UN: Jeshi la Myanmar linaendelea kuwafanyia jinai Waislamu Warohingya

    UN: Jeshi la Myanmar linaendelea kuwafanyia jinai Waislamu Warohingya

    Apr 30, 2020 08:01

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Myanmar amelituhumu jeshi la nchi hiyo kuwa lingali linawatendea jinai za kivita na zilizo dhidi ya binadamu Waislamu wa jamii ya Rohingya katika majimbo mawili ya nchi.

  • Makumi ya Waislamu wa Rohingya wafa kwa njaa ndani ya boti

    Makumi ya Waislamu wa Rohingya wafa kwa njaa ndani ya boti

    Apr 17, 2020 04:25

    Makumi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya wamepoteza maisha kutokana na njaa baada ya boti yao kukwama baharini kwa majuma kadhaa.

  • Warohingya 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Bangladesh

    Warohingya 16 wapoteza maisha katika ajali ya boti Bangladesh

    Feb 11, 2020 12:02

    Kwa akali Waislamu 16 wa jamii ya Rohingya wamefariki dunia baada ya boti yao kuzama katika Pwani ya Bengal, kaskazini mwa Bangladesh.

  • ICJ: Myanmar imewasababishia Waislamu wa Rihongya maumivu yasiyofidika

    ICJ: Myanmar imewasababishia Waislamu wa Rihongya maumivu yasiyofidika

    Jan 24, 2020 02:53

    Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imeitaka serikali ya Myanmar kuchukua hatua za dharura za kuzuia mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Rohingya, ikisisitiza kuwa Warohingya hao wamesababishiwa machungu na maumivu yasiyoweza kufutika au kurekebishika.

  • Myanmar yawapandisha kizimbani makumi ya watoto Warohingya

    Myanmar yawapandisha kizimbani makumi ya watoto Warohingya

    Dec 21, 2019 02:43

    Watoto 23 ni miongoni mwa Waislamu wa Rohingya 93 waliofikishwa mahakamani jana Ijumaa nchini Myanmar, wakikabiliwa na mashitaka ya 'kusafiri bila vibali.'

  • HRW: Bangladesh inawanyima elimu watoto laki 4 wa Kirohingya

    HRW: Bangladesh inawanyima elimu watoto laki 4 wa Kirohingya

    Dec 04, 2019 07:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema serikali ya Bangladesh imewanyima haki ya kupata elimu watoto laki nne Waislamu Warohingya wanaoishi kama wakimbizi nchini humo.

  • Gambia yafungua faili la mauaji ya Warohingya katika mahakama ya ICJ

    Gambia yafungua faili la mauaji ya Warohingya katika mahakama ya ICJ

    Nov 11, 2019 11:35

    Gambia imewasilisha faili la kesi ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Warohingya katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).

  • UN yataka kufunguliwa kesi ya jinai zinazofanywa dhidi ya Waislamu Myanmar

    UN yataka kufunguliwa kesi ya jinai zinazofanywa dhidi ya Waislamu Myanmar

    Oct 25, 2019 02:51

    Maafisa wawili wa Umoja wa Mataifa wametoa wito wa kufunguliwa kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ili kushughulikia jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS