-
UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea
Oct 05, 2019 12:23Mchunguzi huru wa Umoja wa Mataifa kuhusu Myanmar amesema mamia ya maelfu ya Waislamu wa jamii ya Rohingya waliorejea mkoani Rakhine wakitokea Bangladesh wanakandamizwa na kuandamwa na kila aina ya dhuluma na kwa msingi huo, Myanmar sio salama kwa Warohingya zaidi kurejea.
-
Askari wa Bangladesh wambaka binti wa miaka 12 wa Rohingya
Oct 04, 2019 01:41Jeshi la Bangladesh limesema kuwa linachunguza malalamiko ya familia moja ya Waislamu wa Rohingya inayoishi katika kambi ya wakimbizi nchini humo inayosema kuwa askari wa Bangladesh wamembaka binti yao wa miaka 12.
-
Bangladesh yataka dunia itatue mgogoro wa wakimbizi Waislamu Warohingya
Sep 21, 2019 07:10Serikali ya Bangladesh imetoa wito kwa jamii ya kimataifa ichukue hatua za kivitendo kutatua mgogoro wa wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya ambao wamelazimika kutafuta hifadhi nchini humo kutokana na mauaji ya kimbari ambayo yamekuwa yakitekelezwa dhidi yao huko Myanmar.
-
UN: Kuna hatari kubwa ya Waislamu laki sita Warohingya waliosalia Myanmar kuuliwa kwa kimbari
Sep 17, 2019 07:57Wachunguzi wa tume ya Umoja wa Mataifa ya kutafuta ukweli wamesisitiza kuwa Waislamu laki sita wa jamii ya Rohingya waliosalia nchini Myanmar wangali wanakabiliwa na hatari kubwa ya kuuliwa kwa kimbari.
-
'Siku ya Mauaji ya Kimbari': Waislamu Warohingya 200,000 waandamana na kuwaombea dua wenzao makambini Bangladesh
Aug 25, 2019 12:33Wakimbizi wapatao laki mbili Waislamu wa jamii ya Rohingya wa nchini Myanmar leo wameshiriki kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili tangu jeshi la Myanmar lilipowakandamiza na kuwalazimisha kuyahama makazi yao kwa umati na kukimbilia nchi jirani ya Bangladesh ili kunusuru maisha yao.
-
Mwendesha Mashtaka wa ICC ataka kuchunguzwa jinai dhidi ya Warohingya
Jul 05, 2019 07:13Mwendesha Mashitaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ametoa mwito wa kuanzishwa uchunguzi wa jinai za kutisha dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar, akisisitiza kuwa wahusika wanapaswa kukabiliwa na mkono wa sheria na kubebeshwa dhima ya jinai hizo.
-
Umoja wa Mataifa wakiri kutotilia maanani suala la wakimbizi wa Myanmar
Jun 18, 2019 13:33Umoja wa Mataifa umekiri kupitia ripoti yake kuhusu kutokuwa na natija utendaji wa taasisi hiyo ya kimataifa mkabala wa wakimbizi wa Myanmar.
-
Bagladesh: Myamar haitaki kuwarejesha nchini wakimbizi wa Rohingya
Jun 11, 2019 07:49Waziri Mkuu wa Bangladesh ameikosoa vikali serikali ya Myanmar kwa kutoonesha nia wala mpango wa kuwa tayari kuwapokea wakimbizi Waislamu wa Rohingya waliokimbilia nchini humo miaka miwili iliyopita.
-
Wanajeshi wa Myanmar waliowaua Waislamu wa Rohingya waliachiwa kabla ya muda
May 27, 2019 07:12Imebainika kuwa, wanajeshi wa Myanmar waliowaua Waislamu wa Rohingya katika mkoa wa Rakhine mwaka 2017, waliachiwa huru kabla ya kukamilisha vifungo vyao.
-
Amnesty yaikosoa Israel kwa kuziuzia silaha nchi zinazokiuka haki za binadamu
May 20, 2019 11:03Shirika la kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limeukosoa vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kuziuzia silaha na suhula za kiintelijensia nchi ambazo zinatambulikwa kwa ukiukakaji wa haki za binadamu.