Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • NATO yakiri, usalama wa Ulaya uko mashakamani

    NATO yakiri, usalama wa Ulaya uko mashakamani

    Mar 25, 2017 02:24

    Kamanda wa majeshi ya NATO barani Ulaya, Jenerali Curtis Scaparrotti amekiri kuwa bara hilo sasa limekuwa miongoni mwa maeneo hatari zaidi duniani.

  • Ayatullah Makarim: NATO ya Kiarabu ni njama ya Marekani na Uzayuni ya kuangamiza Ulimwengu wa Kiislamu

    Ayatullah Makarim: NATO ya Kiarabu ni njama ya Marekani na Uzayuni ya kuangamiza Ulimwengu wa Kiislamu

    Mar 02, 2017 14:32

    Ayatullah Naser Makarim Shirazi, Marjaa Taqlidi aliyeko katika mji wa Qum kusini mwa mji mkuu Tehran amesema NATO ya Kiarabu ni njama ya Kimarekani na Kizayuni yenye lengo la kuuangamiza Ulimwengu wa Kiislamu na kusisitiza kuwa viongozi wa Kiarabu wanaiona hatima ya Syria, Yemen na kaskazini mwa Iraq lakini wangali wamo kwenye usingizi wa mghafala.

  • Libya yaiomba Nato msaada wa kijeshi

    Libya yaiomba Nato msaada wa kijeshi

    Feb 16, 2017 15:44

    Serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imeuomba Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) usaidie kuimarisha majeshi yake.

  • Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni

    Ulaya: Trump weka wazi siasa zako za masuala ya kigeni

    Jan 20, 2017 06:45

    Waziri wa Ulinzi wa Ujerumini, Ursula Gertrud von der Leyen amemtaka Donald Trump, rais mteule wa Marekani aweke wazi siasa zake za mambo ya kigeni hasa baada ya kujitokeza matamshi ya kugongana baina ya viongozi wa serikali ijayo ya Marekani kuhusu Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi, NATO.

  • Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO

    Serikali ya Russia yaafikiana na Trump kuhusu NATO

    Jan 17, 2017 03:03

    Ikulu ya Russia (Kremlin) imetangaza kuwa serikali ya nchi hiyo inaafiki mtazamo wa Rais Mteule wa Marekani Donald Trump kwamba Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umepitwa na wakati.

  • Vikosi vya jeshi la Marekani vyakiri kuua raia 33 wa Afghanistan

    Vikosi vya jeshi la Marekani vyakiri kuua raia 33 wa Afghanistan

    Jan 12, 2017 15:28

    Vikosi vya jeshi la Marekani vilivyoko chini ya mwavuli wa shirika la kijeshi la NATO vimekiri kuwa viliua raia 33 wa Afghanistan wakiwemo watoto wadogo katika shambulio la mwezi Novemba jana lililofanywa kwa kisingizio cha kupambana na wanamgambo wa kundi la Taliban.

  • Russia yaikosoa vikali Nato kwa kuanzisha mgogoro

    Russia yaikosoa vikali Nato kwa kuanzisha mgogoro

    Jul 13, 2016 07:22

    Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia jana Jumanne aliwasilisha taarifa na kueleza kuwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) una nafasi kubwa katika kuzua migogoro na kuendeleza hali ya mivutano katika maeneo mbalimbali duniani.

  • NATO yaanza mazoezi ya kijeshi baharini karibu na Russia

    NATO yaanza mazoezi ya kijeshi baharini karibu na Russia

    Jul 12, 2016 03:45

    Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) umeanza mazoezi ya kijeshi karibu kabisa na Russia.

  • Radiamali ya Iran kwa matamshi ya Nato kuhusu mpango wake wa makombora

    Radiamali ya Iran kwa matamshi ya Nato kuhusu mpango wake wa makombora

    Jul 11, 2016 07:46

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameitaja taarifa ya mwisho ya kikao cha wakuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (Nato) kuhusu mpango wa makombora wa Iran kuwa ni madai ya kukaririwa na yasiyo na msingi.

  • Russia yalaani NATO kujipania kuelekea Mashariki

    Russia yalaani NATO kujipania kuelekea Mashariki

    Jul 10, 2016 14:37

    Russia imelaani vikali hatua ya muungano wa kijeshi wa NATO kujipanua na kuelekeza nguvu zake Moscow wakati ambapo hakuna tishio lolote kutoka mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS