Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Kan’ani: Madai ya NATO ya Iran kuisaidia Russia katika vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Kan’ani: Madai ya NATO ya Iran kuisaidia Russia katika vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Jul 11, 2024 13:24

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, madai ya Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO kwamba, Iran inaisadia kijeshi Russia katika vita vya Ukraine hayana msingi wowote.

  • Russia: Ukraine katu haitajiunga na shirika la kijeshi la NATO

    Russia: Ukraine katu haitajiunga na shirika la kijeshi la NATO

    Jun 19, 2024 12:17

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema ni jambo lisiloyumkinika kwa Ukraine kuwa mwanachama wa shirika la kijeshi la nchi za Magharibi NATO.

  • Mkuu wa NATO: Hatutatuma wanajeshi Ukraine

    Mkuu wa NATO: Hatutatuma wanajeshi Ukraine

    Jun 07, 2024 02:45

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la nchi za Magharibi NATO amesema muungano huo wa kijeshi wa Wamagharibi hauna mpango wa kutuma wanajeshi wake nchini Ukraine.

  • NATO yaituhumu China kuwa inachochea moto wa vita Ulaya kwa kuiunga mkono Russia

    NATO yaituhumu China kuwa inachochea moto wa vita Ulaya kwa kuiunga mkono Russia

    May 26, 2024 11:15

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la Magharibi NATO Jens Stoltenberg ameituhumu China kwamba inachochea vita barani Ulaya kwa kuiunga mkono Russia dhidi ya Ukraine.

  • Marekani kuipa Kenya hadhi ya mshirika wake mkuu asiye mwanachama wa NATO

    Marekani kuipa Kenya hadhi ya mshirika wake mkuu asiye mwanachama wa NATO

    May 23, 2024 07:20

    Rais Joe Biden wa Marekani anatarajiwa kuipa Kenya hadhi ya mshirika wake mkuu asiye mwanachama wa NATO wakati wa ziara ya kiserikali ya siku tatu ya Rais wa Kenya William Ruto nchini humo, ambaye amekaribishwa na Biden katika Ikulu ya White House mapema leo kabla ya mapokezi rasmi yatakayoanza kwa ukaguzi wa gwaride la heshima na kufikia kielele chake kwa dhifa ya kifahari ya chakula cha usiku.

  • Onyo jipya kuhusu kuingia  NATO katika vita vya Ukraine

    Onyo jipya kuhusu kuingia NATO katika vita vya Ukraine

    Apr 23, 2024 04:25

    Viktor Orbán, Waziri Mkuu wa Hungary amesema katika taarifa kwamba viongozi wa Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Kujihami ya Kijeshi ya Magharibi (NATO) wanauchukulia mzozo wa Moscow na Kyiv kuwa ni wao na wala hawazingatii hatari ya kujihusisha na mzozo huo. Ameonya kuwa NATO inakaribia kutuma askari wake huko Ukraine.

  • Alkhamisi, tarehe 4 Aprili, 2024

    Alkhamisi, tarehe 4 Aprili, 2024

    Apr 04, 2024 04:45

    Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Ramadhani 1445 Hijria sawa na 04 Aprili mwaka 2024.

  • Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO

    Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO

    Mar 28, 2024 10:08

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake haina nia ya kuingia kwenye makabiliano ya kijeshi na vibaraka wa Marekani wa Ulaya Mashariki.

  • Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya

    Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya

    Jan 09, 2024 02:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Antonio Tajani, amesema kwamba Umoja wa Ulaya unapaswa kuunda jeshi lake la pamoja ambalo linaweza kuwa na jukumu la kudumisha amani na kuzuia migogoro.

  • Kiongozi wa upinzani nchini Ufaransa atoa wito wa kuvunjwa shirika la kijeshi la NATO

    Kiongozi wa upinzani nchini Ufaransa atoa wito wa kuvunjwa shirika la kijeshi la NATO

    Jan 07, 2024 12:13

    Kiongozi wa chama cha Wazalendo (Patriots Party) nchini Ufaransa ametoa wito wa kuvunjwa shirika la kijeshi la nchi za Magharibi la NATO ili amani iweze kudhihiri duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS