- 
          Russia: Hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natijaJun 09, 2019 03:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija yoyote. 
- 
          Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani zaiomba radhi Afrika KusiniFeb 05, 2019 16:00Balozi za nchi tano za Magharibi nchini Afrika Kusini zimemuandikia barua ya kuomba radhi Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo, baada ya kukiuka protokali za kibalozi. 
- 
          Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 33 na sautiApr 03, 2018 13:55Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 33 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi. 
- 
          Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 31 na sautiApr 03, 2018 13:15Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 31 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi. 
- 
          Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita YemenMar 23, 2018 14:08Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani mwenendo wa nchi za Magharibi hususan Marekani wa kuendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia ikisisitiza kuwa utawala wa Riyadh umefanya jinai za kivita nchini Yemen. 
- 
          Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 27 na sautiFeb 18, 2018 16:26Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 27 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi. 
- 
          Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 22 na sautiJan 11, 2018 10:28Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 22 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi. 
- 
          Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 18 na sautiNov 29, 2017 12:12Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 18 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi. 
- 
          Ujerumani: Tulitamani kumpindua Bashar al Assad lakini tumeshindwa vibayaSep 26, 2017 08:15Balozi wa Ujerumani mjini Washington, Marekani sambamba na kukiri kwamba nchi za Magharibi zinawasaidia magaidi kufanya jinai nchini Syria, amesema kwamba, tulikuwa na hamu kubwa ya kuipindua serikali ya Bashar al Assad lakini tumeshindhwa vibaya sana. 
- 
          Waarabu wapinga nchi za Magharibi kuingilia kati LibyaMar 05, 2016 17:14Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa raia wa nchi za Kiarabu wanapinga uingiliaji kijeshi wa nchi za Magharibi huko Libya.