Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

nchi za Magharibi

  • Russia: Hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija

    Russia: Hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija

    Jun 09, 2019 03:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija yoyote.

  • Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani zaiomba radhi Afrika Kusini

    Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani zaiomba radhi Afrika Kusini

    Feb 05, 2019 16:00

    Balozi za nchi tano za Magharibi nchini Afrika Kusini zimemuandikia barua ya kuomba radhi Rais Cyril Ramaphosa wa nchi hiyo, baada ya kukiuka protokali za kibalozi.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 33 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 33 na sauti

    Apr 03, 2018 13:55

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 33 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 31 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 31 na sauti

    Apr 03, 2018 13:15

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 31 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita Yemen

    Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita Yemen

    Mar 23, 2018 14:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani mwenendo wa nchi za Magharibi hususan Marekani wa kuendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia ikisisitiza kuwa utawala wa Riyadh umefanya jinai za kivita nchini Yemen.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 27 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 27 na sauti

    Feb 18, 2018 16:26

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 27 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 22 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 22 na sauti

    Jan 11, 2018 10:28

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 22 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 18 na sauti

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 18 na sauti

    Nov 29, 2017 12:12

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 18 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Ujerumani: Tulitamani kumpindua Bashar al Assad lakini tumeshindwa vibaya

    Ujerumani: Tulitamani kumpindua Bashar al Assad lakini tumeshindwa vibaya

    Sep 26, 2017 08:15

    Balozi wa Ujerumani mjini Washington, Marekani sambamba na kukiri kwamba nchi za Magharibi zinawasaidia magaidi kufanya jinai nchini Syria, amesema kwamba, tulikuwa na hamu kubwa ya kuipindua serikali ya Bashar al Assad lakini tumeshindhwa vibaya sana.

  • Waarabu wapinga nchi za Magharibi kuingilia kati Libya

    Waarabu wapinga nchi za Magharibi kuingilia kati Libya

    Mar 05, 2016 17:14

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa raia wa nchi za Kiarabu wanapinga uingiliaji kijeshi wa nchi za Magharibi huko Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS