Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ndege

  • Miili ya watu 11 waliofariki dunia katika ajali ya ndege Tanzania yapatikana

    Miili ya watu 11 waliofariki dunia katika ajali ya ndege Tanzania yapatikana

    Nov 16, 2017 16:05

    Miili ya abiria 10 na rubani mmoja waliopoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea jana nchini Tanzania imepatikana.

  • 8 waaga dunia na kujeruhiwa baada ya ndege ya mizigo kuanguka Kodivaa

    8 waaga dunia na kujeruhiwa baada ya ndege ya mizigo kuanguka Kodivaa

    Oct 15, 2017 07:54

    Raia wanne wa Moldova wamepoteza maisha huku wengine wanne wakijeruhiwa baada ya ndege ya mizigo iliyokodishwa na jeshi la Ufaransa kuanguka baharini, karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege wa mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • Vikosi vya Yemen vyatungua 'drone' ya Marekani

    Vikosi vya Yemen vyatungua 'drone' ya Marekani

    Oct 01, 2017 15:17

    Vikosi vya Yemen vikishirikiana na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah vimefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya Marekani iliyokuwa inapita katika anga ya mji mkuu Sana'a.

  • Qatar: Tunaishitaki Saudia kwa kutishia kushambulia ndege zetu za abiria

    Qatar: Tunaishitaki Saudia kwa kutishia kushambulia ndege zetu za abiria

    Aug 21, 2017 08:23

    Serikali ya Qatar imetangaza kuwa imekusudia kuishitaki Saudi Arabia katika Umoja wa Mataifa kutokana na nchi hiyo kutishia kuzishambulia ndege zake za abiria.

  • Jeshi la Myanmar lapata miili na mabaki ya ndege yake iliyoanguka

    Jeshi la Myanmar lapata miili na mabaki ya ndege yake iliyoanguka

    Jun 08, 2017 06:49

    Jeshi la Myanmar limetangaza kuwa limepata mabaki ya ndege yake iliyotoweka jana Jumatano ikiwa na watu 122 katika bahari ya Andaman.

  • Iran kuanza kuunda ndege kubwa za abiria

    Iran kuanza kuunda ndege kubwa za abiria

    Apr 15, 2017 14:04

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema, mafanikio ya nchi hii katika kuunda ndege ya kivita ya Qaher 313 na kutoa mafunzo ya Kauthar 88 ni utangulizi wa Iran kuunda ndege kubwa za abiria na mizigo.

  • Rouhani: Iran haitachukua idhini kwa yeyote kuunda makombora na ndege

    Rouhani: Iran haitachukua idhini kwa yeyote kuunda makombora na ndege

    Apr 15, 2017 14:00

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii imekuwa muathirika wa hujuma ya kiuoga na kwa msingi huo haitachukua idhini kutoka kwa yeyote katika kuimarisha vikosi vyake vya ulinzi hasa uundaji wa makombora na ndege za kivita.

  • Ushahidi waonesha: Ndege ya Misri iliangushwa na magaidi

    Ushahidi waonesha: Ndege ya Misri iliangushwa na magaidi

    Dec 16, 2016 03:49

    Kuna uwezekano mkubwa kwamba, ndege ya Misri iliyoanguka mapema mwa mwaka huu na kuua makumi ya watu ililipuliwa na magaidi.

  • Ndege yaanguka ikiwa na timu ya soka ya Brazil, 81 wahofiwa kuaga dunia

    Ndege yaanguka ikiwa na timu ya soka ya Brazil, 81 wahofiwa kuaga dunia

    Nov 29, 2016 07:25

    Ndege iliyokuwa imebeba watu 81, wakiwemo wachezaji wa timu moja ya mpira ya Brazil, imeanguka nchini Colombia.

  • Cyprus yakubali kumrejesha Misri mtekaji nyara wa ndege ya EgyptAir

    Cyprus yakubali kumrejesha Misri mtekaji nyara wa ndege ya EgyptAir

    Oct 01, 2016 04:22

    Mahakam moja nchini Cyprus imetoa hukumu ya kurejeshwa Misri raia mmoja wa nchi hiyo aliyeiteka nyara ndege ya shirika la EgyptAir mwanzoni mwa mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS