-
Ufaransa kufunga ubalozi wake nchini Niger
Dec 22, 2023 07:56Wanadiplomasia wa Ufaransa wameeleza kuwa nchi hiyo imechukua uamuzi wa kufunga ubalozi wake huko Niamey mji mkuu wa Niger.
-
Mahakama ya Ecowas yaamuru kuachiwa huru Rais wa Niger aliyepinduliwa
Dec 16, 2023 03:22Mahakama ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) jana iliamuru kuachiliwa mara moja na bila masharti Rais aliyepinduliwa wa Niger Mohamed Bazoum.
-
Niger: Askari wote wa Ufaransa wawe wameondoka nchini ndani ya siku 10
Dec 13, 2023 11:16Jeshi la Niger limetangaza kuwa, askari wote wa Ufaransa walioko nchini humo watakuwa wameondoka kikamilifu katika ardhi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufikia Disemba 22.
-
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS yaitambua rasmi serikali ya Niger
Dec 12, 2023 05:26Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imeitambua rasmi serikali mpya ya Niger ikiwa ni katika kulegeza misimamo yake ya kisiasa na kiuchumi kuhusiana na nchi hiyo.
-
ECOWAS yatambua rasmi Baraza la Kijeshi la Niger
Dec 11, 2023 11:55Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imelitambua rasmi kwa njia isiyo ya moja kwa moja Baraza la Kijeshi linalotawala Niger.
-
Mahakama ya Afrika Magharibi yatupilia mbali pingamizi la vikwazo kwa uongozi wa kijeshi wa Niger
Dec 08, 2023 03:17Mahakama ya Afrika Magharibi Jana imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa na uongozi wa kijeshi wa Niger kwa ajili ya kuiondolea nchi hiyo vikwazo ilivyowekewa na jumuiya ya kikanda ya Ecowas baada ya mapinduzi nchini humo.
-
Umoja wa Ulaya wakubaliana juu ya fremu ya vikwazo kwa Niger
Oct 24, 2023 02:22Umoja wa Ulaya umepitisha mfumo wa kuwawekea vikwazo viongozi wa serikali ya kijeshi iliyochukua mamlaka ya uongozi huko Niger mwezi Julai mwaka huu.
-
Niger yamtaka Balozi wa UN aondoke nchini humo ndani ya saa 72
Oct 11, 2023 12:09Baraza la kijeshi linalotawala Niger limemtaka Balozi wa Umoja wa Mataifa nchini humo kuondoka katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi katika kipindi cha saa 72 zijazo.
-
Ufaransa yaanza kuondoa wanajeshi wake Niger
Oct 10, 2023 13:36Ufaransa imeanza zoezi la kuwaondoa wanajeshi wake nchini Niger, baada ya kutimuliwa na baraza la kijeshi linalotawala nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Baraza la Kijeshi Niger: Kituo cha kijeshi cha Ufaransa kitavunjwa mwisho wa mwaka huu
Oct 05, 2023 13:46Baraza la kijeshi la Niger limetangaza katika taarifa kwamba kituo cha kijeshi cha Ufaransa kilichoko katika mji mkuu Niamey, ambako ndiko waliko wanajeshi wengi wa Ufaransa kitavunjwa ifikapo mwisho wa mwaka huu wa 2023.