Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Ufaransa kufunga ubalozi wake nchini Niger

    Ufaransa kufunga ubalozi wake nchini Niger

    Dec 22, 2023 07:56

    Wanadiplomasia wa Ufaransa wameeleza kuwa nchi hiyo imechukua uamuzi wa kufunga ubalozi wake huko Niamey mji mkuu wa Niger.

  • Mahakama ya Ecowas yaamuru kuachiwa huru Rais wa Niger aliyepinduliwa

    Mahakama ya Ecowas yaamuru kuachiwa huru Rais wa Niger aliyepinduliwa

    Dec 16, 2023 03:22

    Mahakama ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) jana iliamuru kuachiliwa mara moja na bila masharti Rais aliyepinduliwa wa Niger Mohamed Bazoum.

  • Niger: Askari wote wa Ufaransa wawe wameondoka nchini ndani ya siku 10

    Niger: Askari wote wa Ufaransa wawe wameondoka nchini ndani ya siku 10

    Dec 13, 2023 11:16

    Jeshi la Niger limetangaza kuwa, askari wote wa Ufaransa walioko nchini humo watakuwa wameondoka kikamilifu katika ardhi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kufikia Disemba 22.

  • Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS yaitambua rasmi serikali ya Niger

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS yaitambua rasmi serikali ya Niger

    Dec 12, 2023 05:26

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imeitambua rasmi serikali mpya ya Niger ikiwa ni katika kulegeza misimamo yake ya kisiasa na kiuchumi kuhusiana na nchi hiyo.

  • ECOWAS yatambua rasmi Baraza la Kijeshi la Niger

    ECOWAS yatambua rasmi Baraza la Kijeshi la Niger

    Dec 11, 2023 11:55

    Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imelitambua rasmi kwa njia isiyo ya moja kwa moja Baraza la Kijeshi linalotawala Niger.

  • Mahakama ya Afrika Magharibi yatupilia mbali pingamizi la vikwazo kwa uongozi wa kijeshi wa Niger

    Mahakama ya Afrika Magharibi yatupilia mbali pingamizi la vikwazo kwa uongozi wa kijeshi wa Niger

    Dec 08, 2023 03:17

    Mahakama ya Afrika Magharibi Jana imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa na uongozi wa kijeshi wa Niger kwa ajili ya kuiondolea nchi hiyo vikwazo ilivyowekewa na jumuiya ya kikanda ya Ecowas baada ya mapinduzi nchini humo.

  • Umoja wa Ulaya wakubaliana juu ya fremu ya vikwazo kwa Niger

    Umoja wa Ulaya wakubaliana juu ya fremu ya vikwazo kwa Niger

    Oct 24, 2023 02:22

    Umoja wa Ulaya umepitisha mfumo wa kuwawekea vikwazo viongozi wa serikali ya kijeshi iliyochukua mamlaka ya uongozi huko Niger mwezi Julai mwaka huu.

  • Niger yamtaka Balozi wa UN aondoke nchini humo ndani ya saa 72

    Niger yamtaka Balozi wa UN aondoke nchini humo ndani ya saa 72

    Oct 11, 2023 12:09

    Baraza la kijeshi linalotawala Niger limemtaka Balozi wa Umoja wa Mataifa nchini humo kuondoka katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi katika kipindi cha saa 72 zijazo.

  • Ufaransa yaanza kuondoa wanajeshi wake Niger

    Ufaransa yaanza kuondoa wanajeshi wake Niger

    Oct 10, 2023 13:36

    Ufaransa imeanza zoezi la kuwaondoa wanajeshi wake nchini Niger, baada ya kutimuliwa na baraza la kijeshi linalotawala nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Baraza la Kijeshi Niger: Kituo cha kijeshi cha Ufaransa kitavunjwa mwisho wa mwaka huu

    Baraza la Kijeshi Niger: Kituo cha kijeshi cha Ufaransa kitavunjwa mwisho wa mwaka huu

    Oct 05, 2023 13:46

    Baraza la kijeshi la Niger limetangaza katika taarifa kwamba kituo cha kijeshi cha Ufaransa kilichoko katika mji mkuu Niamey, ambako ndiko waliko wanajeshi wengi wa Ufaransa kitavunjwa ifikapo mwisho wa mwaka huu wa 2023.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS