Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19

    Makabiliano kati ya jeshi na wabeba silaha Nigeria yaua 19

    Aug 07, 2016 08:43

    Watu 19 wameuawa katika makabiliano makali kati ya askari wa jeshi la serikali na kundi la wabeba silaha katika jimbo la Niger nchini Nigeria.

  • Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria

    Buhari akanusha madai ya kuzuka mpasuko wa kidini Nigeria

    Aug 03, 2016 03:27

    Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amekanusha madai kwamba serikali yake inafanya kila iwezalo kuleta mgawanyiko na matafaruku wa kidini nchini humo.

  • Nigeria yasisitiza kurejeshwa uthabiti katika maeneo ya mpaka na Cameroon

    Nigeria yasisitiza kurejeshwa uthabiti katika maeneo ya mpaka na Cameroon

    Aug 02, 2016 11:16

    Rais wa Nigeria amesisitiza kurejeshwa uthabiti katika maeneo ya mpaka wa nchi hiyo na Cameroon.

  • Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Ripoti: Askari walioua Waislamu Nigeria washtakiwe

    Aug 02, 2016 03:00

    Jopo la uchunguzi lililotwika jukumu la kuchunguza mauaji ya Waislamu kaskazini mwa Nigeria limekiri kuwa jeshi la nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika liliuawa Waislamu zaidi ya 300 katika mji wa Zaria jimbo la Kaduna.

  • Umoja wa Mataifa wasimamisha kwa muda utoaji misaada ya kibinadamu Nigeria

    Umoja wa Mataifa wasimamisha kwa muda utoaji misaada ya kibinadamu Nigeria

    Jul 29, 2016 03:44

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, umesimamisha kwa muda shughuli zake za utoaji misaada ya kibinaadamu nchini Nigeria.

  • Nigeria yasifu maendeleo ya Iran

    Nigeria yasifu maendeleo ya Iran

    Jul 27, 2016 09:15

    Msemaji wa Rais wa Nigeria ambaye pia ni Mshauri katika masuala ya habari amesifu na kupongeza maendeleo na mafanikio iliyoyapata Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika miaka 30 ya hivi karibuni.

  • Safari ya Zarif Nigeria: Abuja na Tehran zasisitiza kuimarisha ushirikiano

    Safari ya Zarif Nigeria: Abuja na Tehran zasisitiza kuimarisha ushirikiano

    Jul 25, 2016 12:37

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria wamesisitiza juu ya azma ya nchi zao ya kuimarisha zaidi ushirikiano wa pande mbili katika nyanja mbalimbali.

  • Familia: Afya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky sio nzuri

    Familia: Afya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky sio nzuri

    Jul 25, 2016 03:31

    Familia ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, mwanachuoni na kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeeleza juu ya wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya msomi huyo wa Kiislamu.

  • Waislamu Nigeria wapongeza kuondolewa marufuku ya hijabu

    Waislamu Nigeria wapongeza kuondolewa marufuku ya hijabu

    Jul 24, 2016 03:30

    Waislamu nchini Nigeria wamepongeza uamuzi wa Mahakama ya Rufaa mjini Lagos kufutulia mbali marufuku ya kuvaa hijabu katika shule za umma mjini hapo.

  • UNICEF: Watoto elfu 49 wanakabiliwa na utapiamlo Nigeria

    UNICEF: Watoto elfu 49 wanakabiliwa na utapiamlo Nigeria

    Jul 20, 2016 02:56

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuwa, watoto 49,000 wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na baa la njaa na utapiamlo nchini Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS