Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Tahadhari kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani na Ufaransa nchini Nigeria

    Tahadhari kuhusu uwepo wa wanajeshi wa Marekani na Ufaransa nchini Nigeria

    May 12, 2024 02:35

    Msemaji wa kundi la viongozi wa kaskazini mwa Nigeria amemuonya rais wa nchi hiyo kuhusu madhara hatari ya kuwepo kwa wanajeshi wa Marekani na Ufaransa nchini Nigeria.

  • Wakulima 30 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    Wakulima 30 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    May 11, 2024 11:46

    Kwa akali wakulima 30 wameuawa katika shambulizi la genge la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Mahakama ya Nigeria yatoa hukumu dhidi ya Polisi kwa kushambulia matembezi ya Ashura

    Mahakama ya Nigeria yatoa hukumu dhidi ya Polisi kwa kushambulia matembezi ya Ashura

    May 01, 2024 10:53

    Mahakama Kuu ya Shirikisho ya Nigeria katika Jimbo la Kaduna imetoa hukumu dhidi ya Polisi ya nchi hiyo kwa kushambulia waumini katika matembezi ya amani ya Siku ya Ashura yaliyofanyika katika mji wa Zaria.

  • Mvua kali zabomoa ukuta mbovu wa jela Nigeria na kuwezesha wafungwa zaidi ya 100 kutoroka

    Mvua kali zabomoa ukuta mbovu wa jela Nigeria na kuwezesha wafungwa zaidi ya 100 kutoroka

    Apr 26, 2024 10:49

    Zaidi ya wafungwa 100 wametoroka jela baada ya mvua kali kubomoa ukuta mbovu wa jela hiyo iliyoko karibu na mji mkuu wa Nigeria Abuja.

  • Wazazi Nigeria waungana na watoto wao waliokuwa wametekwa nyara

    Wazazi Nigeria waungana na watoto wao waliokuwa wametekwa nyara

    Mar 28, 2024 07:02

    Wazazi wa watoto wa shule zaidi ya 130 nchini Nigeria wamekombolewa kutoka mikononi mwa watekaji nyara baada ya kushikiliwa mateka kwa zaidi ya wiki mbili. Wazazi hao jana waliungana na watoto wao; ambapo walishindwa kuzuia machozi ya furaha katika tukio hilo walilokuwa wakilisubiri kwa muda mrefu.

  • 17 wapoteza maisha wakigombania chakula cha msaada Nigeria

    17 wapoteza maisha wakigombania chakula cha msaada Nigeria

    Mar 25, 2024 11:22

    Kwa akali watu 17 wameaga dunia katika mkanyagano wa kugombania chakula cha msaada nchini Nigeria.

  • Zaidi ya wanafunzi 200 waliokuwa wametekwa nyara Nigeria wameachiwa huru

    Zaidi ya wanafunzi 200 waliokuwa wametekwa nyara Nigeria wameachiwa huru

    Mar 24, 2024 07:03

    Zaidi ya wanafunzi 200 pamoja na wafanyakazi waliokuwa wametekwa nyara na watu wenye silaha katika skuli moja kaskazini mwa Nigeria mapema mwezi huu wameachiliwa. Hayo ni kwa mujibu wa ofisi ya gavana wa jimbo la Kaduna lililoko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Wahalifu wenye silaha wawateka nyara watu zaidi ya 100 huko Nigeria

    Wahalifu wenye silaha wawateka nyara watu zaidi ya 100 huko Nigeria

    Mar 19, 2024 11:49

    Wahalifu wenye silaha wamewateka nyara zaidi ya watu 100 katika mashambulizi mawili mapya kaskazini magharibi mwa Nigeria, ikiwa zimepita wiki kadhaa baada ya wanafunzi 250 wa shule kutekwa nyara nchini humo.

  • Rais wa Nigeria aliagiza jeshi liwasake walioua askari 16 Delta

    Rais wa Nigeria aliagiza jeshi liwasake walioua askari 16 Delta

    Mar 19, 2024 02:38

    Rais wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu ameliamrisha jeshi la nchi hiyo kuwasaka na kuwafikisha katika vyombo vya dola wahusika wa mauaji ya wanajeshi 16 wa nchi hiyo katika jimbo la kusini la Delta.

  • Visa zaidi vya utekaji nyara vyahofiwa Nigeria

    Visa zaidi vya utekaji nyara vyahofiwa Nigeria

    Mar 12, 2024 02:15

    Serikali ya Shirikisho ya Nigeria imeorodhesha shule kadhaa katika majimbo 14 nchini humo kuwa ni maeneo yaliyoko hatarini kushambuliwa na majambazi na wahalifu wenye silaha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS