Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watoto wa Nigeria watangaza mshikamano wao na watoto wa Palestina

    Watoto wa Nigeria watangaza mshikamano wao na watoto wa Palestina

    Apr 07, 2023 23:50

    Watoto wa Nigeria wamekusanyika katika mikoa ya Kaduna na Bauchi na kupiga nara za kuwaunga mkono na kuwatetea watoto wenzao wa Kipalestina, hasa wale wanaoishi katika eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Harakati ya Kiislamu Nigeria: Shekh Zakzaky agawa misaada ya chakula kwa wahitaji

    Harakati ya Kiislamu Nigeria: Shekh Zakzaky agawa misaada ya chakula kwa wahitaji

    Apr 02, 2023 23:51

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa imegawa vifurushi mbaimbali bidhaa za chakula kwa watu wanohitajia nchini humo.

  • Matokeo ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky nchini Nigeria

    Matokeo ya mashambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Zakzaky nchini Nigeria

    Mar 19, 2023 22:47

    Mashinikizo dhidi ya Waislamu wa Nigeria na wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky bado yanaendelea. Kuhusiana na hilo, vikosi vya usalama katika jimbo la Kaduna vimewaua watu wasiopungua 6 katika shambulio dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Wafuasi 5 wa Sheikh Zakzaky wauawa katika hujuma ya polisi, Kaduna, Nigeria

    Wafuasi 5 wa Sheikh Zakzaky wauawa katika hujuma ya polisi, Kaduna, Nigeria

    Mar 17, 2023 03:27

    Askari usalama wa jimbo la Kaduna wamewaua watu wasiopungua 5 katika shambulizi dhidi ya wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN).

  • Boko Haram yafanya mashambulizi ya kushtukiza na kuua 26 Borno, Nigeria

    Boko Haram yafanya mashambulizi ya kushtukiza na kuua 26 Borno, Nigeria

    Mar 10, 2023 03:46

    Kwa akali watu 26 wameuawa katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria kufuatia mashambulio ya kushtukiza yaliyofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram.

  • Waislamu Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mazazi ya Imam Mahdi (AF)

    Waislamu Nigeria waadhimisha kumbukumbu ya mazazi ya Imam Mahdi (AF)

    Mar 08, 2023 06:56

    Waislamu wa madhehebu ya Shia na wafuasi na wapenzi wa Ahlu Bait (AS) nchini Nigeria wamejiunga na wenzao kote duniani katika maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Imam wa Zama, Mahdi (AF).

  • Ushindi wa mgombea wa chama tawala katika uchaguzi wa Nigeria na mustakbali wa nchi hiyo

    Ushindi wa mgombea wa chama tawala katika uchaguzi wa Nigeria na mustakbali wa nchi hiyo

    Mar 01, 2023 10:39

    Kwa mujibu wa tangazo la Tume Huru ya Uchaguzi ya Nigeria (INEC), "Bola Ahmed Tinubu" aliyekuwa mgombea wa chama tawala cha "All Progressives Congress" ameshinda uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Tinubu wa chama tawala Nigeria atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais

    Tinubu wa chama tawala Nigeria atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais

    Mar 01, 2023 00:38

    Mgombea wa chama tawala nchini Nigeria, Bola Tinubu ametangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi iliyopita.

  • Wananchi wa Nigeria wapiga kura kuchagua Rais mpya na Wabunge

    Wananchi wa Nigeria wapiga kura kuchagua Rais mpya na Wabunge

    Feb 25, 2023 03:48

    Mamilioni ya wapigakura nchini Nigeria wameelekea katika masanduku ya kupigia kura leo Jumamosi kushiriki uchaguzi wa rais wenye mchuano mkali, kumtafuta mrithi wa Muhammadu Buhari, ambaye anamaliza mihula yake miwili ya uongozi.

  • Atiku Abubakar Mgombea kiti cha urais Nigeria anajaribu tena karata yake katika uchaguzi wa Jumamosi

    Atiku Abubakar Mgombea kiti cha urais Nigeria anajaribu tena karata yake katika uchaguzi wa Jumamosi

    Feb 22, 2023 23:37

    Atiku Abubakar Makamu wa Rais wa zamani wa Nigeria kwa mara nyingine tena anawania wadhifa wa ngazi ya juu katika uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo uliopangwa kufanyika Jumamosi keshokutwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS