Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Wanigeria waandamana tena kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Wanigeria waandamana tena kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Nov 10, 2020 03:55

    Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu Abuja wakilalamikia kuendelea kushikiliwa kizuizini kiongozi wao pamoja na mkewe.

  • Wanachama 75 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Wanachama 75 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Nov 04, 2020 08:17

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Umoja wa Afrika wataka Nigeria ichukue hatua za kusitisha ghasia, mauaji

    Umoja wa Afrika wataka Nigeria ichukue hatua za kusitisha ghasia, mauaji

    Oct 27, 2020 08:04

    Umoja wa Afrika umeihimiza serikali ya Nigeria ichukue mara moja hatua za amani za mazungumzo ili kupunguza mvutano unaozidi kupamba moto nchini humo, kufanya uchunguzi kuhusu mauaji na kuwafikisha wahusika mahakamani.

  • Raia 51, maafisa usalama 18 wameuawa katika maandamano ya ghasia Nigeria

    Raia 51, maafisa usalama 18 wameuawa katika maandamano ya ghasia Nigeria

    Oct 24, 2020 04:11

    Makumi ya watu wameuawa katika machafuko na maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Nigeria.

  • Buhari ataka kukomeshwa maandamano, machafuko yaendelea Abuja

    Buhari ataka kukomeshwa maandamano, machafuko yaendelea Abuja

    Oct 23, 2020 06:58

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametoa wito wa kukomesha machafuko na maandamano yanayoendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kufuatia mauaji ya raia waliokuwa wakiandamana kupinga ukatili wa polisi.

  • Umoja wa Afrika walaani mauaji ya raia nchini Nigeria

    Umoja wa Afrika walaani mauaji ya raia nchini Nigeria

    Oct 22, 2020 10:18

    Nchi ya Nigeria inaendelea kukumbwa na hali ya machafuko baada ya askari usalama kuwatawanya kikatili vijana walioandamana dhidi ya ghasia za polisi, na kuua watu kadhaa. hayo yametangaza na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International.

  • AU yatakiwa iingilie kati mgogoro wa Nigeria, ECOWAS yatoa neno

    AU yatakiwa iingilie kati mgogoro wa Nigeria, ECOWAS yatoa neno

    Oct 22, 2020 04:15

    Asasi za kiraia na mashirika ya kutetea haki za binadamu yametoa mwito kwa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini kama Mwenyekiti wa mzunguko wa Umoja wa Afrika, kuingilia kati mgogoro na machafuko ya umwagaji damu yanayoendelea kushuhudiwa nchini Nigeria.

  • Sheria ya kutotoka nje Nigeria yatangazwa baada ya ghasia na kuuawa waandamanaji

    Sheria ya kutotoka nje Nigeria yatangazwa baada ya ghasia na kuuawa waandamanaji

    Oct 21, 2020 09:24

    Sheria ya kutotoka nje imetangazwa katika mji wa Lagos nchini Nigeria huku ghasia zikienea nchini humo kupinga ukatili wa polisi.

  • Watu 10 wauawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili wa polisi

    Watu 10 wauawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili wa polisi

    Oct 14, 2020 04:21

    Watu wasiopungua 10 wameuawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili na ukandamizi unaotekelezwa na polisi ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe yazidi kuzorota

    Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe yazidi kuzorota

    Oct 12, 2020 09:59

    Binti wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, hali ya kiafya ya baba na mama yake ni mbaya mno kutokana na kiongozi huyo kuzuiawa kupatiwa matibabi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS