Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu wenye silaha wameua watu wasiopungua 12 kaskazini mwa Nigeria

    Watu wenye silaha wameua watu wasiopungua 12 kaskazini mwa Nigeria

    Oct 12, 2020 04:13

    Watu kadhaa waliokuwa na silaha wamevamia vijiji viwili kaskazini mwa Nigeria na kuua watu wasiopungua 12 na kujeruhi wengine 8.

  • Maandamano ya kutaka kuvunjwa kikosi katili cha polisi Nigeria yashtadi

    Maandamano ya kutaka kuvunjwa kikosi katili cha polisi Nigeria yashtadi

    Oct 11, 2020 08:58

    Maandamano ya nchi nzima ya wananchi wa Nigeria wanaotaka kuvunjwa Kikosi Maalumu cha Kupambana na Ujambazi (SARS) cha Jeshi la Polisi yamechachamaa.

  • Alkhamisi tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020

    Alkhamisi tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020

    Oct 01, 2020 03:00

    Leo ni Alkhamisi tarehe 13 Safar 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020.

  • Wanachama 13 wa Boko Haram wajisalimisha kwa jeshi la Nigeria

    Wanachama 13 wa Boko Haram wajisalimisha kwa jeshi la Nigeria

    Sep 28, 2020 08:17

    Wanachama 13 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wamejisalimisha kwa jeshi la Nigeria, katika operesheni iliyolenga kusafisha mabaki ya wanamgambo hao huko kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Waliouawa katika shambulizi la Boko Haram Nigeria waongeza

    Waliouawa katika shambulizi la Boko Haram Nigeria waongeza

    Sep 27, 2020 04:29

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulizi la kundi la kigaidi la Boko Haram dhidi ya msafara wa Gavana wa jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka na kufikia watu 30.

  • 28 wauawa katika mripuko wa lori la mafuta Nigeria

    28 wauawa katika mripuko wa lori la mafuta Nigeria

    Sep 24, 2020 00:01

    Kwa akali watu 28 wamepoteza maisha katika mripuko wa lori la mafuta katika jimbo la Kogi, katikati mwa Nigeria.

  • Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati

    Iran na Nigeria kushirikiana zaidi katika masuala ya nishati

    Sep 23, 2020 23:13

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Nigeria zimetilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano wao katika nyuga mbalimbali hasa za nishati kwa kadiri inavyowezekana.

  • Magaidi 16 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Magaidi 16 wa Boko Haram waangamizwa na jeshi la Nigeria

    Sep 19, 2020 08:17

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa wanachama 16 wa kundi la kigaidi la Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Mafuriko yaua watu zaidi ya 70 nchini Nigeria

    Mafuriko yaua watu zaidi ya 70 nchini Nigeria

    Sep 18, 2020 03:36

    Kwa akali watu 77 wameaga dunia kufuatia mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Nigeria.

  • Wanaobaka watoto wadogo jimboni Kaduna, Nigeria kuhasiwa

    Wanaobaka watoto wadogo jimboni Kaduna, Nigeria kuhasiwa

    Sep 12, 2020 06:59

    Wabunge katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria wamepasisha muswada wa sheria inayotoa adhabu ya kuwahasi wale wataokutwa na hatia ya kuwabaka watoto walio chini ya umri wa miaka minne.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS