-
Raia 51, maafisa usalama 18 wameuawa katika maandamano ya ghasia Nigeria
Oct 24, 2020 04:11Makumi ya watu wameuawa katika machafuko na maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Nigeria.
-
Buhari ataka kukomeshwa maandamano, machafuko yaendelea Abuja
Oct 23, 2020 06:58Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametoa wito wa kukomesha machafuko na maandamano yanayoendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kufuatia mauaji ya raia waliokuwa wakiandamana kupinga ukatili wa polisi.
-
Umoja wa Afrika walaani mauaji ya raia nchini Nigeria
Oct 22, 2020 10:18Nchi ya Nigeria inaendelea kukumbwa na hali ya machafuko baada ya askari usalama kuwatawanya kikatili vijana walioandamana dhidi ya ghasia za polisi, na kuua watu kadhaa. hayo yametangaza na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International.
-
AU yatakiwa iingilie kati mgogoro wa Nigeria, ECOWAS yatoa neno
Oct 22, 2020 04:15Asasi za kiraia na mashirika ya kutetea haki za binadamu yametoa mwito kwa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini kama Mwenyekiti wa mzunguko wa Umoja wa Afrika, kuingilia kati mgogoro na machafuko ya umwagaji damu yanayoendelea kushuhudiwa nchini Nigeria.
-
Sheria ya kutotoka nje Nigeria yatangazwa baada ya ghasia na kuuawa waandamanaji
Oct 21, 2020 09:24Sheria ya kutotoka nje imetangazwa katika mji wa Lagos nchini Nigeria huku ghasia zikienea nchini humo kupinga ukatili wa polisi.
-
Watu 10 wauawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili wa polisi
Oct 14, 2020 04:21Watu wasiopungua 10 wameuawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili na ukandamizi unaotekelezwa na polisi ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe yazidi kuzorota
Oct 12, 2020 09:59Binti wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, hali ya kiafya ya baba na mama yake ni mbaya mno kutokana na kiongozi huyo kuzuiawa kupatiwa matibabi.
-
Watu wenye silaha wameua watu wasiopungua 12 kaskazini mwa Nigeria
Oct 12, 2020 04:13Watu kadhaa waliokuwa na silaha wamevamia vijiji viwili kaskazini mwa Nigeria na kuua watu wasiopungua 12 na kujeruhi wengine 8.
-
Maandamano ya kutaka kuvunjwa kikosi katili cha polisi Nigeria yashtadi
Oct 11, 2020 08:58Maandamano ya nchi nzima ya wananchi wa Nigeria wanaotaka kuvunjwa Kikosi Maalumu cha Kupambana na Ujambazi (SARS) cha Jeshi la Polisi yamechachamaa.
-
Alkhamisi tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020
Oct 01, 2020 03:00Leo ni Alkhamisi tarehe 13 Safar 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020.