Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Raia 51, maafisa usalama 18 wameuawa katika maandamano ya ghasia Nigeria

    Raia 51, maafisa usalama 18 wameuawa katika maandamano ya ghasia Nigeria

    Oct 24, 2020 04:11

    Makumi ya watu wameuawa katika machafuko na maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika maeneo mbalimbali ya Nigeria.

  • Buhari ataka kukomeshwa maandamano, machafuko yaendelea Abuja

    Buhari ataka kukomeshwa maandamano, machafuko yaendelea Abuja

    Oct 23, 2020 06:58

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametoa wito wa kukomesha machafuko na maandamano yanayoendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo kufuatia mauaji ya raia waliokuwa wakiandamana kupinga ukatili wa polisi.

  • Umoja wa Afrika walaani mauaji ya raia nchini Nigeria

    Umoja wa Afrika walaani mauaji ya raia nchini Nigeria

    Oct 22, 2020 10:18

    Nchi ya Nigeria inaendelea kukumbwa na hali ya machafuko baada ya askari usalama kuwatawanya kikatili vijana walioandamana dhidi ya ghasia za polisi, na kuua watu kadhaa. hayo yametangaza na shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International.

  • AU yatakiwa iingilie kati mgogoro wa Nigeria, ECOWAS yatoa neno

    AU yatakiwa iingilie kati mgogoro wa Nigeria, ECOWAS yatoa neno

    Oct 22, 2020 04:15

    Asasi za kiraia na mashirika ya kutetea haki za binadamu yametoa mwito kwa Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini kama Mwenyekiti wa mzunguko wa Umoja wa Afrika, kuingilia kati mgogoro na machafuko ya umwagaji damu yanayoendelea kushuhudiwa nchini Nigeria.

  • Sheria ya kutotoka nje Nigeria yatangazwa baada ya ghasia na kuuawa waandamanaji

    Sheria ya kutotoka nje Nigeria yatangazwa baada ya ghasia na kuuawa waandamanaji

    Oct 21, 2020 09:24

    Sheria ya kutotoka nje imetangazwa katika mji wa Lagos nchini Nigeria huku ghasia zikienea nchini humo kupinga ukatili wa polisi.

  • Watu 10 wauawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili wa polisi

    Watu 10 wauawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili wa polisi

    Oct 14, 2020 04:21

    Watu wasiopungua 10 wameuawa Nigeria katika maandamano ya kulaani ukatili na ukandamizi unaotekelezwa na polisi ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe yazidi kuzorota

    Hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe yazidi kuzorota

    Oct 12, 2020 09:59

    Binti wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, hali ya kiafya ya baba na mama yake ni mbaya mno kutokana na kiongozi huyo kuzuiawa kupatiwa matibabi.

  • Watu wenye silaha wameua watu wasiopungua 12 kaskazini mwa Nigeria

    Watu wenye silaha wameua watu wasiopungua 12 kaskazini mwa Nigeria

    Oct 12, 2020 04:13

    Watu kadhaa waliokuwa na silaha wamevamia vijiji viwili kaskazini mwa Nigeria na kuua watu wasiopungua 12 na kujeruhi wengine 8.

  • Maandamano ya kutaka kuvunjwa kikosi katili cha polisi Nigeria yashtadi

    Maandamano ya kutaka kuvunjwa kikosi katili cha polisi Nigeria yashtadi

    Oct 11, 2020 08:58

    Maandamano ya nchi nzima ya wananchi wa Nigeria wanaotaka kuvunjwa Kikosi Maalumu cha Kupambana na Ujambazi (SARS) cha Jeshi la Polisi yamechachamaa.

  • Alkhamisi tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020

    Alkhamisi tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020

    Oct 01, 2020 03:00

    Leo ni Alkhamisi tarehe 13 Safar 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS