Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Makumi wauawa katika shambulio kaskazini mwa Nigeria

    Makumi wauawa katika shambulio kaskazini mwa Nigeria

    Apr 06, 2019 03:21

    Kwa akali watu 50 wameuawa katika shambulio la wavamizi waliobeba silaha kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Waislamu wa Nigeria waandamana tena kushinikiza Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Waislamu wa Nigeria waandamana tena kushinikiza Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Mar 21, 2019 11:30

    Kwa mara nyingine tena, wananchi Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano ya kutaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • 9 wauawa katika shambulio la silaha Nigeria

    9 wauawa katika shambulio la silaha Nigeria

    Mar 17, 2019 03:39

    Vyombo rasmi nchini Nigeria vimetangaza kuwa watu 9 wameuawa katika shambulio jipya la watu waliokuwa na silaha katika kijiji kimoja kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Walioaga dunia baada ya jengo kuporomoka Nigeria wafika 20

    Walioaga dunia baada ya jengo kuporomoka Nigeria wafika 20

    Mar 15, 2019 12:02

    Kamishna wa Afya katika jimbo la Lagos nchini Nigeria amesema idadi ya watu waliopoteza maisha baada jengo kuporomoka imeongezeka na kufikia watu 20.

  • Magaidi 50 wa kundi la Boko Haram waangamizwa na majeshi ya nchi nne

    Magaidi 50 wa kundi la Boko Haram waangamizwa na majeshi ya nchi nne

    Mar 11, 2019 04:27

    Jeshi la Nigeria limetangaza kwamba magaidi 50 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram wameuawa katika operesheni za kikosi cha pamoja cha Nigeria, Chad, Cameroon na Niger.

  • Mamia ya watu watiwa nguvuni Nigeria kwa uhalifu unaohusiana na uchaguzi

    Mamia ya watu watiwa nguvuni Nigeria kwa uhalifu unaohusiana na uchaguzi

    Mar 06, 2019 03:55

    Polisi ya Nigeria imetangaza kuwa, imewatia nguvuni zaidi ya watu 300 kwa tuhuma za kufanya uhalifu unaohusiana na uchaguzi wa mkuu uliofanyika mwezi uliopita.

  • Kushinda tena Urais

    Kushinda tena Urais "Muhammadu Buhari" na kibarua kigumu anachokabiliwa nacho

    Feb 27, 2019 22:59

    Tume ya Uchaguzi ya Nigeria jana ilitangaza rasmi kuwa Muhammadu Buhari ameibuka mshindi baada ya kumbwaga mshindani wake mkuu Atiku Abubakar na hivyo kupata fursa ya kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa pili.

  • Rais Buhari wa Nigeria kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais

    Rais Buhari wa Nigeria kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais

    Feb 27, 2019 01:18

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amehifadhi kiti chake baada ya kuibuka mshindi wa uchaguzi wa urais wa Jumamosi iliyopita na kumbwaga mpinzani wake karibu kwa karibu kura milioni 4.

  • Uchaguzi Nigeria: Buhari aongoza, upinzani wapinga matokeo

    Uchaguzi Nigeria: Buhari aongoza, upinzani wapinga matokeo

    Feb 26, 2019 04:24

    Tume ya Uchaguzi Nigeria imetangaza kuwa Rais Muhammad Buhari anaongoza kwa kura 280,000 katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais uliofanyika Jumamosi iliyopita.

  • Waangalizi: Makumi ya watu wameuawa Nigeria katika machafuko yanayohusiana na uchaguzi

    Waangalizi: Makumi ya watu wameuawa Nigeria katika machafuko yanayohusiana na uchaguzi

    Feb 25, 2019 12:21

    Makumi ya watu wameuawa katika wimbi la machafuko yanayohusiana na uchaguzi wa rais na bunge nchini Nigeria, wakati nchi hiyo inasubiri kutangazwa matokeo ya uchaguzi huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS