Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Raia 21 wa Nigeria waachiliwa huru kutoka mikononi mwa kundi la Boko Haram

    Raia 21 wa Nigeria waachiliwa huru kutoka mikononi mwa kundi la Boko Haram

    Sep 08, 2018 02:35

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuachiliwa huru raia 21 kutoka mikononi mwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram

    Jeshi la Nigeria laua magaidi 14 wa kundi la Boko Haram

    Sep 07, 2018 09:51

    Magaidi 14 wa kundi la Boko Haram wameuawa kwenye operesheni iliyofanywa na jeshi la Nigeria jana katika kijiji cha Pulka, wilaya ya Gwoza, mkoani Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Askari 30 wauawa na makumi wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Askari 30 wauawa na makumi wajeruhiwa katika shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Sep 01, 2018 21:53

    Askari 30 wa Nigeria wameuliwa katika shambulio lililofanywa na magaidi wa kundi la Boko Haram dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Amnesty International yalalamikia kutiwa nguvuni Waislamu nchini Nigeria

    Amnesty International yalalamikia kutiwa nguvuni Waislamu nchini Nigeria

    Aug 30, 2018 23:26

    Shirika la haki za binadamu la Amnesty International limelaani hatua ya serikali ya Abuja ya kuwaweka kizuizini kinyume sheria Waislamu hasa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Umoja wa Mataifa walaani shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Umoja wa Mataifa walaani shambulio la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 21, 2018 22:20

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani shambulio la kigaidi la kundi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria ambalo lilipelekea kuuawa makumi ya raia wasio na hatia.

  • Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya

    Nigeria yawarahisishia raia wake kurejea nyumbani kwa hiari kutokea Libya

    Aug 21, 2018 03:10

    Serikali ya Nigeria kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) imeamua kuwarahishia njia za kurejea nyumbani kwa hiari raia wake waliokwama nchini Libya.

  • Watu 19 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 19 wauawa katika shambulio la wanamgambo kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 20, 2018 03:19

    Duru za habari zimeripoti kuwa watu 19 wameuliwa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo katika kijiji kimoja kilichoko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watoto 33 wafariki katika kambi za wakimbizi wa ndani nchini Nigeria

    Watoto 33 wafariki katika kambi za wakimbizi wa ndani nchini Nigeria

    Aug 18, 2018 03:04

    Watoto wasiopungua 33 wamepoteza maisha katika kipindi cha wiki mbili kati ya tarehe 2 na 15 Agosti katika kambi moja ya wakimbizi wa ndani ya nchi (IDP) kaskazini mwa Nigeria.

  • Kaimu Rais wa Nigeria alaani kuzuiwa wabunge kuingia bungeni

    Kaimu Rais wa Nigeria alaani kuzuiwa wabunge kuingia bungeni

    Aug 08, 2018 04:38

    Hatua ya kuzingirwa Bunge la Taifa la Nigeria jana Jumanne kulikofanywa na askari usalama wa nchi hiyo ambao waliwazuia wabunge kuingia bungeni kwa muda wa karibu saa nzima ilifanywa bila ya ofisi ya Rais kuwa na taarifa. Hayo yamesemwa na Kaimu Rais wa Nigeria ambaye amemfuta kazi mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa.

  • Mahakama ya Kaduna kusikiliza kesi ya  Sheikh Zakzaky Oktoba 4

    Mahakama ya Kaduna kusikiliza kesi ya Sheikh Zakzaky Oktoba 4

    Aug 03, 2018 23:52

    Mahakama Kuu ya jimbo la Kaduna nchini Nigeria imetangaza kuwa, itasikiliza ombi la kuachiliwa huru kwa dhamana Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kkiislamu ya Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS