-
Waziri Mkuu wa Pakistan kuitembelea Iran, atoa wito wa uhusiano bora
Apr 18, 2019 22:33Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amesema nchi yake inalipa umuhimu mkubwa suala la uhusiano wake na Iran na kuongeza kuwa analenga kuimarisha uhusiano wa nchi hizi mbili jirani katika safari yake tarajiwa mjini Tehran.
-
Serikali ya Pakistan yakiri kwamba Waislamu wa Shia wanafanyiwa dhulma na ukandamizaji
Apr 16, 2019 03:00Serikali ya Pakistan imetuma mawaziri wawili kwenda jimbo la Balochistan kwa ajili ya kuonyesha mshikamano na familia za wahanga wa shambulizi la kigaidi la siku ya Ijumaa iliyopita ambalo lilitekelezwa na genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika soko la matunda la mji wa Quetta.
-
Jumamosi, 23 Machi, 2019
Mar 22, 2019 19:57Leo ni Jumamosi tarehe 16 Rajab 1440 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 23 Machi 2019 Miladia.
-
Tuhuma mpya za Marekani kwa Pakistan kuhusiana na uungaji mkono ugaidi
Mar 11, 2019 09:42Kwa mara nyingine Kamanda Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Marekani ameituhumu serikali ya Pakistan kwamba inaunga mkono makundi ya kigaidi na kuyapa hifadhi.
-
'Utawala wa Kizayuni wa Israel ni adui namba moja wa Pakistan'
Mar 09, 2019 00:52Waziri wa Nchi wa Pakistan anayehusika na masuala ya Bunge amesema, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ni adui namba moja wa nchi hiyo.
-
Rais Arif Alvi wa Pakistan aonya juu ya uwezekano wa kutokea vita kati ya nchi yake na India
Mar 06, 2019 23:23Rais Arif Alvi wa Pakistan ametoa onyo kali juu ya uwezekano wa kutokea vita na mapigano makali kati ya nchi yake na India.
-
Mafuriko yaua watu 45 Afghanistan na Pakistan
Mar 05, 2019 23:16Kwa akali watu 45 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afghanistan na Pakistan.
-
Pakistan yatimua nyambizi za jeshi la India, hali ingali tete
Mar 05, 2019 10:50Pakistan inasema imeitimua kwa mafanikio nyambizi ya Jeshi la Majini la India ambayo ilijaribu kuingia katika mipaka yake ya baharini huku hali ikiwa bado ni tete baina ya madola hayo jirani yanayohasimiana na ambayo yana silaha za nyuklia.
-
OIC yazitaka India na Pakistan zitatue mgogoro kwa njia za amani
Mar 03, 2019 04:12Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imepasisha azimio linalozitaka India na Pakistan zijiepushe na vitendo vinavyoweza kuendelea kuchochea taharuki baina yao, sambamba na kuupatia ufumbuzi mgogoro baina ya nchi mbili hizo jirani kwa njia za amani.
-
Pakistan yaiomba Iran ipatanishe mzozo kati yake na India
Mar 01, 2019 23:18Ubalozi wa Pakistan mjini Tehran umeiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran itumie ushawishi wake kusaidia utatuzi wa amani wa mzozo uliozuka baina ya nchi yake na India.