Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Jeshi la Israel lawapiga risasi makumi ya wanafunzi wa Kipalestina

    Jeshi la Israel lawapiga risasi makumi ya wanafunzi wa Kipalestina

    Nov 12, 2018 00:57

    Makumi ya wanafunzi wa Palestina wanauguza majeraha baada ya kumiminiwa risasi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jihad al-Islami yakosoa harakati za baadhi ya madola ya Kiarabu ya kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Jihad al-Islami yakosoa harakati za baadhi ya madola ya Kiarabu ya kuwa na uhusiano wa kawaida na Israel

    Nov 11, 2018 04:36

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina amekosoa vikali madai batili ya baadhi ya nchi za Kiarabu yenye lengo la kuhalalisha hatua zao za kutaka kuufanya kuwa wa kawaida uhusiano wao na utawala haramu wa Israel.

  • Rais Mahmoud Abbas: Mpango wa Marekani wa 'Muamala wa Karne' hautafanikiwa

    Rais Mahmoud Abbas: Mpango wa Marekani wa 'Muamala wa Karne' hautafanikiwa

    Nov 11, 2018 04:17

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, mpango wa Marekani wa 'Muamala wa Karne' hautafanikiwa na kwamba, njama zilizoanza tangu kutolewa 'Tangazo la Balfour' mwaka 1917 zingali zinaendelea.

  • OIC yalaani mpango wa Brazil wa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi hiyo Quds

    OIC yalaani mpango wa Brazil wa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi hiyo Quds

    Nov 03, 2018 23:09

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC imekosoa vikali kauli ya Rais mteule wa Brazil kuwa nchi hiyo inatathmini mpango wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel kutoka Tel Aviv.

  • Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Nov 02, 2018 04:34

    Rais mteule wa Brazil amekosolewa vikali ndani na nje ya nchi kwa kusema kuwa nchi hiyo inatathmini mpango wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel kutoka Tel Aviv.

  • Siasa zisizo na mantiki za Oman, Muscat yafuata mkumbo na kusombwa na njama ya

    Siasa zisizo na mantiki za Oman, Muscat yafuata mkumbo na kusombwa na njama ya "Muamala wa Karne"

    Nov 02, 2018 02:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mahmoud Abbas huko Ramallah katika Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan.

  • PLO yapiga kura kutaka kusimamishwa uamuzi wa kuitambua Israel na kuhitimishwa makubaliano yote ya pande mbili

    PLO yapiga kura kutaka kusimamishwa uamuzi wa kuitambua Israel na kuhitimishwa makubaliano yote ya pande mbili

    Oct 30, 2018 03:52

    Baraza Kuu la Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO limepiga kura kupitisha uamuzi wa kusimamisha kuitambua rasmi Israel na kuhitimisha makubaliano yote iliyofikia harakati hiyo na Tel Aviv hadi utawala huo wa Kizayuni utakapoitambua nchi ya Palestina kulingana na mipaka ya mwaka 1967, na kuitambua Baitul Muqaddas Mashariki kuwa mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 5 Ghaza

    Oct 27, 2018 02:22

    Kwa akali Wapalestina watano wameuawa shahidi huku mamia ya wengine wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Wazayuni waendelea kuiba viungo vya miili ya watoto Wapalestina

    Wazayuni waendelea kuiba viungo vya miili ya watoto Wapalestina

    Oct 21, 2018 11:03

    Kwa mara nyingine tena utawala haramu wa Israel umetuhumiwa kuiba viungo vya miili ya watoto wa Kipalestina.

  • Katibu Mkuu wa zamani wa Arab League: Kadhia ya Palestina haiwezi kuzimwa

    Katibu Mkuu wa zamani wa Arab League: Kadhia ya Palestina haiwezi kuzimwa

    Oct 20, 2018 23:06

    Katibu Mkuu wa zamani wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amesisitiza kuwa, kadhia ya Palestina haiwezi kufutika kamwe na kwamba ni jambo lisiloyumkinika kabisa kuwahamishia Wapalestina katika jangwa la Sinai.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS