Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mufti wa Syria: Ushindi wa nchi yetu ni ushindi wa Palestina

    Mufti wa Syria: Ushindi wa nchi yetu ni ushindi wa Palestina

    Oct 06, 2018 11:43

    Mufti Mkuu wa Syria, Sheikh Ahmad Badreddin Hassoun amesema kuwa ushindi wa Syria dhidi ya ugaidi ni ushindi wa Palestina.

  • Naibu Waziri wa zamani wa US: Serikali ya Trump haitaki mkataba wowote wa kimataifa

    Naibu Waziri wa zamani wa US: Serikali ya Trump haitaki mkataba wowote wa kimataifa

    Oct 04, 2018 03:43

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani Wendy Sherman amekosoa hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kujitoa kwenye Mkataba wa Uhusiano Mwema wa mwaka 1955 iliyosaini baina yake na Iran na kueleza kwamba si kitu cha ajabu kwa serikali isiyopenda kuheshimu makubaliano yoyote ya kimataifa kuchukua hatua hiyo.

  • Israel yakerwa baada ya Madrid kumuenzi mwanaharakati wa Palestina

    Israel yakerwa baada ya Madrid kumuenzi mwanaharakati wa Palestina

    Sep 30, 2018 23:09

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhabishwa mno na hatua ya klabu mashuhuri ya soka ya Uhispania ya Real Madrid kumuenzi kwa kumtunuku jezi nambari 9 Ahed Tamimi, binti mwanamapambano wa Kipalestina.

  • Hatua ya Wapalestina kuishitaki Marekani katika Mahakama ya Uadilifu ya The Hague

    Hatua ya Wapalestina kuishitaki Marekani katika Mahakama ya Uadilifu ya The Hague

    Sep 30, 2018 23:06

    Kwa mujibu wa tangazo la Mahakama ya Uadilifu ya The Hague yenye makao yake nchini Uholanzi, serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, sambamba na kuashiria hatua ya Marekani ya kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv, Israel kwenda Quds inayokaliwa kwa mabavu, imeishitaki Washington katika mahakama hiyo.

  • Palestina yaishtaki Marekani ICJ kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Palestina yaishtaki Marekani ICJ kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Sep 29, 2018 04:47

    Palestina imewasilisha faili la malalamiko dhidi ya Marekani katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), ikitaka kuangaliwa upya hatua ya Washington ya kuuhamishia ubalozi wake wa Israel katika mji mtukufu wa Quds, kutoka Tel Aviv.

  • Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza

    Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza

    Sep 29, 2018 04:43

    Kwa akali Wapalestina saba wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya 500 wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Ziyad Al-Nakhalah achaguliwa Katibu Mkuu mpya wa Jihadul-Islami ya Palestina

    Ziyad Al-Nakhalah achaguliwa Katibu Mkuu mpya wa Jihadul-Islami ya Palestina

    Sep 28, 2018 23:15

    Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imetangaza kuwa katika uchaguzi wa ofisi ya kisiasa ya harakati hiyo, Ziyad Al-Nakhalah amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu mpya, nafasi iliyokuwa ikishikiliwa na Dakta Ramadhan Abdullah Shalah.

  • Stratijia ya Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na

    Stratijia ya Wapalestina kwa ajili ya kukabiliana na "Muamala wa Karne"

    Sep 27, 2018 22:52

    Vyama na makundi ya mapambano ya ukombozi wa Palestina Jumatano iliyopita yaliandika na kutayarisha mpango wa "Uokovu wa Taifa" kwa ajili ya kukabiliana na kile kilichopewa jina la "Muamala wa Karne" uliotayarishwa na Marekani kwa shabaha ya kumaliza kabisa kadhia ya Palestina.

  • Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Afrika Kusini yakanusha taarifa za kurejea tena balozi wake mjini Tel Aviv

    Sep 26, 2018 23:30

    Serikali ya Afrika Kusini imekanusha taarifa zilizoenea kwamba, imemrejesha huko Tel Aviv balozi wake ambaye ilimwita nyumbani mwezi Mei mwaka huu.

  • Ismail Hania ataka kuhitimishwa masaibu na machungu ya taifa la Palestina

    Ismail Hania ataka kuhitimishwa masaibu na machungu ya taifa la Palestina

    Sep 26, 2018 23:29

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameyataka mataifa ya dunia, kufanya hima kwa ajili ya kuhitimisha masaibu na machungu wanayokabiliwa nayo wananchi madhulumu wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS